Akizingua nakuita mwalimu wangu.
Ila sidhani maana ameshajitoa....
Nimemiss sana ligi zako dear.
Kuona post yako tu,raha yangu!ulikumbukwa sana...
Nimerudi......bize kidogo na mambo ya hapa na pale.
Usiondoke tena pleeeease!
Vipi ulifanikiwa?...
Merudi mpenzi......aliyesema tumeufyata,hajui wenzie tumeufyatua siku nyingi.
Nilifanikiwa.....na hapa nipo katika mkutano wa kuwashukuru wapiga kura
Nilifanikiwa.....na hapa nipo katika mkutano wa kuwashukuru wapiga kura
Wow!Hongera sana Hon. miss strong...
Wish you success katika uongozi wako.
Woyooooooo!
Wanawake tunaweza.....
Hivi kuna mtu ana mimba ya kiba humu jukwaani?
Hahahaaaaa,kwanini umeuliza hivi?
Nilitaka kujua.....anywe jivu itoke.
Nilifanikiwa.....na hapa nipo katika mkutano wa kuwashukuru wapiga kura
Hongera sana.
Hivi kuna mtu ana mimba ya kiba humu jukwaani?