Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,201
Nimekikosa kipindi nilikua naangalia mfalme mwengine wa dunia akipewa tuzo Christiano Ronaldo
poleeee!!! mmh wanaume na mpira, ndio nani huyo sasa?
Nimekikosa kipindi nilikua naangalia mfalme mwengine wa dunia akipewa tuzo Christiano Ronaldo
Nimekikosa kipindi nilikua naangalia mfalme mwengine wa dunia akipewa tuzo Christiano Ronaldo
nimekuja mine nashangaa ujue hvyoo@paula kilaki anapenda shari sana huo ndo ukweli
hahahahaaaa NOT YET?? i can see, ngoma imepata mchezaji, keep it rolling gal, but as for me?? am done!!! uwanja wako bibiee.
nimekuja mine nashangaa ujue hvyoo@paula kilaki anapenda shari sana huo ndo ukweli
Na wewe punguza kudenguwa mpaka uitwe?
Nini ngoma?.......
Kama shuzi limepata mjambaji sasa, hivi huwa mnahisi mashabiki wa huku ni wanyonge kihivyo? Mnatuita Nguchiro sisi tunapotezea sasa leo mmoja tu Avemaria kawatolea uvivu umejaa mapovu kama cobra.
hahahahaaaa NOT YET?? i can see, ngoma imepata mchezaji, keep it rolling gal, but as for me?? am done!!! uwanja wako bibiee.
Nashukuru leo ndio nimemjua sasa Avemaria, ni Jeshi la mtu mmoja. Nilikuwa nafuatilia kwa karibu sana leo. Katisha sana.
Ova
Mimi nilikuwa pale muda wote kama watch dog, nadhani leo salamu zimefika loud n clear kwamba mashabiki wa hapa siyo wajinga na wala siyo wanyonge ni watu wanaojitambuwa walioamua kumantain low profile tu.
Nashukuru leo ndio nimemjua sasa Avemaria, ni Jeshi la mtu mmoja. Nilikuwa nafuatilia kwa karibu sana leo. Katisha sana.
Ova
Hahahah kuwa team Kiba kumetufanya wengine tuwe wakorofi. Lol
asingenichomekea vitu ambavyo sikusema na kugeuza mtazamo wa huu uzi kuwa too personal, tungeenda sawa na mtazamo wa threads ungekuta tofauti.
poleeee!!! mmh wanaume na mpira, ndio nani huyo sasa?
woyoooo hureeeeee
Haukuwa peke i was behind ur back to clear mess just incase mtu mwenyewe nikamuona mwepesi sana na yule mwingine alikuwa anataka tushindane matusi nikaona am too old for that childish. Zile division one za Jangwani, zanaki na Tambaza naziona humu zimesheheni hasa. Nina uwezo wa kusoma mwandiko wa mtu mwenye akili na nikajuwa hilo.
Unamjua Cr7
Unamjua Cr7