Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kiba sio tu kimziki kwa mambo mengi anatisha

1.Hana makuu mwangalieni tu hata akiwa anahojiwa ametulia tuli hana mbwembwe,kiufupi ni gentle man



1743448_68797783794881.jpg





2.He is hot and yet hajidai hana mashauzi



alikiba.jpg





3.Ana sauti ya pekee mpaka gwiji la mziki R.Kelly alinyoosha maelezo,na mziki wake una ujumbe pia,its not just mziki


th





4.Hana majungu ana hekima hata akiulizwa kuhusu wasanii wenzie wengine anaochuana nao anajibu kwa hekima na wala hapondi,keep it up Kiba kiufupi tu you have all what a true man is suppose to have na pia you have kile msanii anapaswa kuwa nacho,voice nzuri,mashairi yenye mafundisho na unajitahidi kuwa kioo cha jamii hauna skendo in such!!!!!!!!!!!!!
 
Ivi kumbe kuzaa watoto nako ni scandal??scandal ni outcome ya tendo fulani ambayo ina mushkeli!au mie sielewi,can u make a scandel out of 'unscandal'?
 
Ubinadam kazi ndugu jamaa amekaa chini kafikiria wazo la kiungwana ajatukana mtu wala kuponda mtu yoyote katengeneza uzi kwa ajiri ya watu wenye mapenzi na kiba wewe auna mapenzi na kiba unaingia kufanya nini mara matusi si poa waungwana vwe wastarabu hata kwa kujilazmisha.

worrrrrd
 
Eti eeh?basi mimi nikinywa yananiumiza tumbo my dear...I don't really know what's wrong with me!

Hahaaaaa,eti umeshalipia tangazo!Ulidhani nitakushushua?akaah....

hilo tumbo litakuwa limeshazoea hayo ya chumvi mama(teh teh teh)
 
Kiba sio tu kimziki kwa mambo mengi anatisha

1.Hana makuu mwangalieni tu hata akiwa anahojiwa ametulia tuli hana mbwembwe,kiufupi ni gentle man



1743448_68797783794881.jpg





2.He is hot and yet hajidai hana mashauzi



alikiba.jpg





3.Ana sauti ya pekee mpaka gwiji la mziki R.Kelly alinyoosha maelezo,na mziki wake una ujumbe pia,its not just mziki


th





4.Hana majungu ana hekima hata akiulizwa kuhusu wasanii wenzie wengine anaochuana nao anajibu kwa hekima na wala hapondi,keep it up Kiba kiufupi tu you have all what a true man is suppose to have na pia you have kile msanii anapaswa kuwa nacho,voice nzuri,mashairi yenye mafundisho na unajitahidi kuwa kioo cha jamii hauna skendo in such!!!!!!!!!!!!!

Ajajajajaaa...Ujue nini BlueG?
You made my day...Umemuelezea King ki Great Thinker!
Yes, our Ali Kiba is a really Gentleman!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa,mimi nilishanyanyua mikono zamani!
Namuachia King style yake aisee maana ni shidah tupu.

aaaah!!h nifah sio wewe tulikuwa tunaandaa shindano mm na ww!!! kumbe ushanawa!!
 
Last edited by a moderator:
Kiba sio tu kimziki kwa mambo mengi anatisha

1.Hana makuu mwangalieni tu hata akiwa anahojiwa ametulia tuli hana mbwembwe,kiufupi ni gentle man



1743448_68797783794881.jpg





2.He is hot and yet hajidai hana mashauzi



alikiba.jpg





3.Ana sauti ya pekee mpaka gwiji la mziki R.Kelly alinyoosha maelezo,na mziki wake una ujumbe pia,its not just mziki


th





4.Hana majungu ana hekima hata akiulizwa kuhusu wasanii wenzie wengine anaochuana nao anajibu kwa hekima na wala hapondi,keep it up Kiba kiufupi tu you have all what a true man is suppose to have na pia you have kile msanii anapaswa kuwa nacho,voice nzuri,mashairi yenye mafundisho na unajitahidi kuwa kioo cha jamii hauna skendo in such!!!!!!!!!!!!!


wera weraaaaaaaa!!!! Kiba waue baba
 
It is hard to work with you atoto, umezaliwa leo,umekua leo leo,umalaya umeuanza leo!!ha ha ha,am kiddiiing!!Happy Birthday sweetfan...

hahahaaaa!!! thanks alot mamii wangu, yaani mm ni noma nimeweka rekodi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom