Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

cha mno cha kunilisha maneno mdomoni ili tu kunitia doa?? ukiona vema kuniita voda fasta go on ila sijamuita any kiba's fun malaya. i asked you many time uhighlight nilipowaita malaya you did not unalazimisha maneno niliyoyasema kwa kiba kuwa nilikuambia wewe. bahati nzuri hiyo comment #16 uliosema nimekuita malaya hata jina lako sikulitaja wala la yoyote yule. anyway i realize its hard to work with u people.

Ndo ulichomaanisha ofcoz!
Next time ukiamua kuwa kichaa hakikisha unavua nguo zote na si nusunusu!
 
Nipo myn.
Dah kila nikifuatilia conversation humu nakuta mmefika mbali mweeeh!!!

pole sana mpenzi, naona umetuwakilisha vyema leo, nimekupendaje sasa!!!

heshima lazima iwepo sio mtu unajitoa akili tu pasipo sababu, cku nyingine awasiliane na ubongo kabla ta kuropokwa

karibu tena tufanye yetu kwa raha zetu, king katuahidi masuprise ya kufa mtu, mbona wajiandae tu!
 
geniveros oyooo!!nimekupenda bureeE!!njoo huku bampa to bampa achana na @vifurugobe!
 
Last edited by a moderator:
I acted the way you wanted me to. Kama we ndo umefikiria hivyo its up to wewe mi hainihusu!

Done with who? I think not yet, but you can terminate it by yourself!

hahahahaaaa NOT YET?? i can see, ngoma imepata mchezaji, keep it rolling gal, but as for me?? am done!!! uwanja wako bibiee.
 
Back
Top Bottom