Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.

Radhia Sweety

Upo? Ulipotea kitambo, hujasomeka muda! Naona unataka kumfundisha uoga Lwakatare. Hii dhambi ilishakataliwa siku nyingi ndani ya CHADEMA.

Kuropoka maana yake ni nini hapa...majanga mapya nini maana yake?
 
Jidanganye kuropoka tena uone,kama hujui umetegwa hapo ulipo.Ushauri wangu kwako Lwakatare kaa tulia na familia yako acha kumtesa mkeo na watoto wako!
mbona mnaogopa sana nyinyi? Mnataka kusema mnapenda sana lwakatare wakati huu kuliko zamani? Nyinyi si ndo mnamwombea mabaya sasa mnajali nini juu ya yatakayomkuta akisema ya moynni mwake? mwacheni afunguke nyeupe iwe nyeupe hakuna kubakiza kitt
 
Ukishakuwa gaidi una yepi ya kuongea zaidi ya kujutia uharamia na uuwaji wako?
Ni lini na ni wapi Lwakatare alipatikana na hatia ya ugaidi? Au unaimba chorus ya Mwigulu Nchemba aliyesema atatoa ushahidi mbinguni?
 
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.

acha woga wewe,katika ukomboz ukiwa mwoga hutafanikiwa wewe,na kumbuka kitu ukiwa nacho moyoni huna budi kukiweka hadharan kama kinakuumiza moyoni ili watu wakusaidie mawazo,
 
funguka mkuu the voices of mass are behind you.
 
Ulimboka alisema atatoa ya moyoni na kweli akayatoa kupitia wakili wake na hakuna lilofanyika,kibanda nae anajua kabisa waliohusika na tukio lake na yeye alisema soon ataweka kila kitu wazi na matokea yake kaenda ikulu kuonana na makamu wa rais,na sasa lwakatare nae anasema alhms ataweka yaliyomoyoni ili ulimwengu ujue what real happend,"nilishikwa siku 6<11/03/2013 baada ya kibanda kutekwa na leo nimetoka siku 6<11/06/2013 baada ya kibanda kurejea toka kwenye matibabu" na kama ilivyo ada Chadema huwa tuna msemo wetu"tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu"

ndugu yangu lwatakare najua wewe uliumia zaidi yetu sisi japo wengine tulifunga kwa maombi kwa ajiri yako sababu tunajua kabisa umeonewa kwani baada ya mda yale mashitaka ya director wa movie yako yalitupwa mbali na mahakama kuu na sasa kesi ya msingi iliyobakia ni ile ya kutishia japo nayo ilipigwa dana dana kibao ila Jopo la mawakili nguli halikukata tamaa kufatilia kesi yako na hatimaye leo hii12/06/2013 uko uraiani,nyumbani kwako wamejaa ndugu na jamaa kuja kukupa pole ila vichwani mwao na hata katika pole zao wanatamka jina la Mandevu"pole ndugu yangu ila huyu mandevu ipo siku yake" hao wageni wamejengewa chuki ya kulipiza,ebu basi niko chini ya miguu yako msamehe huyu mtu,toa yote yaliyo moyoni mwako na mwisho maliza na ile kauli ya chama pamoja na neno "nimemsamehe kwa moyo wa dhati kwani hajui alitendealo" na hapo Mungu atamaliza nae kwani wewe ulianza na Mungu since day1 ulipopelekwa JELA.Amina
 
Hapa ni mwendo mdundo hakuna kuogopa kanyaga magamba twende mkuu, mwigulu ni ni mropokaji na mipango feki.
 
Eeee bhana eeee ! Kweli nimeamini Lwakatare ana Mvuto wa kipekee aisee ! Naona MAPOVU ya kutosha kutoka Lumumba @ Buku 7 fc !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom