Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Slaa alihangaika weeee kuanika mafisadi lakini hakuna chochote cha maana alicho-achieve
Kwa sababu mmevaa miwani ya mbao juhudi hizo hamuwezi kuziona sasa hivi ila sisi raia tumeshajua masisiem mlivyo na mnavyotufilisi,hizo ni hatua za mwanzo za kuukataa udhalimu kwenye sanduku la kura,hatua itakayofuata ni kukata vichwa vya mafisadi kwa manufaa ya taifa....time will tell....
 
Chadema kwa nini walimpigania lwakatare peke yake na rudovick wamemwacha asote rumande hapo inahitaji akiri ya kawaida sana kuthibitisha kuwa chadema ya lwakatare wamehusika na utekaji wa msack pasipo shaka hata kidogo.

Ludovick ameachiwa watu wake waliomtumia kama DUME wamtoe yaaani Mwigulu & co.
 
Asitake kutuzingua; yeye anatakiwa kuthibitisha aliyekuwa akiongea kwenye video ni yeye Lwakatare au Mwigulu Nchemba; katika video anayonekana akiongea na kutoa maelekezo ni yeye sasa Mwigulu Nchemba anahusika vipi?
 
Last edited by a moderator:
Uliza kwanza Mwigulu alifadhili vifaa vya kurekodi kwa kina nani kama amekiri kuwa kazi ya chama saa ingine hazikamiliki kama zinavyopangwa.
Mlisema Zitto anawekewa sumu akasema si yeye wala hakuwa na kikao na wahusika Mwigulu nae Katubu kwa aliyofanya ww umekazana na Msack ilihali Mtekwaji yeye hazungumzi hata cku moja juu ya plan hyo.
Wewe unamfahamu vizuri msack,kwanza ni mtu mpole asiyejua kuropoka wala kukaa anaongea hovyo kama wanasiasa,halafu unataka aongee ataongea nini anachokijua katika hili tatizo kwani majambazi yakipanga kuja kuvamia kwako wewe utajua kuwa kunawatu wamepanga kuja kuvamia kwako?,ndivyo ilivyo kwa msaki yeye alikuwa anaandaliwa mpango wa kumteka na ni mpango wa siri halafu unataka aseme atasema nini sasa,mkuu vipi unawaza nini.
 
Unalisha watu sumu halafu unajitapa eti utoe ya moyoni? Hata aibu hana? Ujasiri wa kizuzu kweli huu
 
Hata kama lwaka atatoa mpaka ya tumboni hakuna atakayeweza kumwelewa ile video ya kweli asitufanye watu wajinga yeye acha ajitape lakini jamii inajua ukweli wa mambo haya.
 
hapo ndo hatasema kitu kabisa, angekuwa ni wa kusema angesema hiyo jana. nadhan mnakumbuka wale wote walioahidi kutoa ya moyoni juu ya majanga waliofanyiwa na magamba wanaishiaga mitini tu. mwakyembe, ulimboka, mpaka leo hawajawahi kusema. walichagua kumuachia MUNGU tu, chezeya magamba wewe...
 
Hata kama lwaka atatoa mpaka ya tumboni hakuna atakayeweza kumwelewa ile video ya kweli asitufanye watu wajinga yeye acha ajitape lakini jamii inajua ukweli wa mambo haya.
jamii ipi unayoizungumzia? Hii ambayo hata mimi nimo! Umechemka..kifup4 watu wameipuuzia movie yenu ndo maana ilikosa impact, hata wanaCcm wastaarabu walimuachia mwigulu mwenyewe na siasa zake chafu alipoona ametengwa ikabidi awatafute vidampa kadhaa ambao njaa yao imezidi utu wao kumsaidia lakini ukweli movie imebuma, subiri mziki utakavyowageukia!!
 
Bado masaa tu ili ifike kesho tupate mbivu na mbichi kabla ya kuzichuja na kuzifanyia maamuzi
 
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.

Radhia napenda nitofautiane na wote wanaokuponda na wewe pia kwa kaul yako, walipaswa wakueleweshe, unajua radhia ukiwa umewah fika jela utalia kuna watu wamefungwa bila hatia na kufanya ndugu kufa kwa presure, kuna wengine mahabusu wanakaa miaka 2-6 halafu wanagundulika kuwa hawana hatia, vip ungekuwa wewe, halafu una siri kubwa moyon? ungekaa kimya? ilhal ulichonacho moyon ni kwel? Radhia mpendwa think twice kuna ndugu zetu wanasota jela bila makosa, acha aseme ukwel ilihal kisheria ni sawa,LWAKATARE AMEKATA TAMAA DHIDI YA WOGA, AMEJITOA KUTETEA WANYONGE WANAOBAMBIKIZIWA KESI, kumbuka polis wa moro walivyombambikia kes raia,je angekuwa baba,kaka yako,n.k amefanyiwa hivyo akitoka selo asiseme namna alivyofanyiwa,utoe uchama kwa baadh ya post.hata mwigulu ana ham ya kujua nn kitasemwa ili wajipange.
 
Jidanganye kuropoka tena uone,kama hujui umetegwa hapo ulipo.Ushauri wangu kwako Lwakatare kaa tulia na familia yako acha kumtesa mkeo na watoto wako!
 
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Kuropoka haitawezekana. Amesema ataonana na viongozi na wanasheria wake kwanza.Hiyo ina maana kwamba watamshauri
cha kusema na namna ya kusema. Ningependa sana aeleze jinsi alivyoingia mkenge wa kurekodiwa bila kuhisi matumizi ya kurekodiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom