Jidanganye kuropoka tena uone,kama hujui umetegwa hapo ulipo.Ushauri wangu kwako Lwakatare kaa tulia na familia yako acha kumtesa mkeo na watoto wako!
Endeleeni kuyapanga hayo majanga kwa sababu ya kujiokoa kwenye jahazi linalozama; lazima mtashindwa tu.Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Radhia napenda nitofautiane na wote wanaokuponda na wewe pia kwa kaul yako, walipaswa wakueleweshe, unajua radhia ukiwa umewah fika jela utalia kuna watu wamefungwa bila hatia na kufanya ndugu kufa kwa presure, kuna wengine mahabusu wanakaa miaka 2-6 halafu wanagundulika kuwa hawana hatia, vip ungekuwa wewe, halafu una siri kubwa moyon? ungekaa kimya? ilhal ulichonacho moyon ni kwel? Radhia mpendwa think twice kuna ndugu zetu wanasota jela bila makosa, acha aseme ukwel ilihal kisheria ni sawa,LWAKATARE AMEKATA TAMAA DHIDI YA WOGA, AMEJITOA KUTETEA WANYONGE WANAOBAMBIKIZIWA KESI, kumbuka polis wa moro walivyombambikia kes raia,je angekuwa baba,kaka yako,n.k amefanyiwa hivyo akitoka selo asiseme namna alivyofanyiwa,utoe uchama kwa baadh ya post.hata mwigulu ana ham ya kujua nn kitasemwa ili wajipange.
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Asipolala mahabusu hatasikika, wee huoni kila kukicha anatajwa kila kona kwa sababu alikuwa lupango.Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Mwaga ukweli mlivyopangaile video ya bukoba inamuonesha sana LWAKATARE akipanga njama za kumdhuru DENIS MSACKY, mbona amekimbilia kuhusisha kukamatwa kwake na Kibanda na siyo MSACKY? Anataka kukwepa nini hapa, hana jipya asitake kutuhadaa watanzaia wenye akili timamu, awafurahishe wapambe wake ila watanzania wapenda amani tutaendelea kumtambua kama Gaidi
Umekimbia matibabu ya ugonjwa wa akili; daktari wako anakusubiri akutibu bure usijidhuru zaidiAsipolala mahabusu hatasikika, wee huoni kila kukicha anatajwa kila kona kwa sababu alikuwa lupango.
Hizi mbinu anazipenda sana kubwa jin..a wa arusha
Ungefuata weweAtueleze pia baada ya kummaliza msaki angefuata nani
Asipolala mahabusu hatasikika, wee huoni kila kukicha anatajwa kila kona kwa sababu alikuwa lupango.
Hizi mbinu anazipenda sana kubwa jin..a wa arusha
mkuu kumbe chanzo cha habari tanzania daima kwa heri mkuu.
kiingereza kibovuuuuuuuu kama nini sijui
mkuu hicho chama kipo hai kwa sababu ya propaganga za Tanzania Daima, lazima waumgurume gazeti lao linapoguswa, nathamani amani itoweke halafu watu wapelekwe the hague tuone kama mkurugenzi wa freemedia atasalimika.
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Jela inamsubiri na kwa muda
huu ambao yupo nje kwa dhamana ningewashauri wananchi kuchukua tahadhari
ili wasing'olewe kucha na kumwagiwa tindikali.