Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Lwakatare anataka ajizalilishe tu hivi nani atakaye mdanya kwamba hajahusika kupanga kumdhuru msaki?.
 
Lwakatare alikamatwa kwa kosa gani?
Mara chache jaribu kuficha upumbavu wako uje kama GT

wewe ni mwenda wazimu tu, hujui kuwa kesi ya ugaidi alishafutiwa na akabaki na kosa la jinai la kupanga njama za kutaka kuteka watu na kuwadhuru? Unakuwa mkali kumbe hata haujui mwenendo mzima wa sakata la LWAKATARE? Pole sana
 
wewe haujui chochote kuhusiana na sakata la LWAKATARE. Kesi ya ugaidi alishafutiwa sasa hivi ana kesi ya jinai ya kupanga njama za kutaka kuteka watu na kuwadhuru.

Utekaji na kuwadhuru kumbe ina dhamana
 
Lwakatare alikamatwa kwa kosa gani?
Mara chache jaribu kuficha upumbavu wako uje kama GT
Haya matusi hayatakusaidia pengine ubaki nayo kwenu mtukanane na ndugu zako mpaka basi,lakini usituletee jukwaani humu.
 
Lwakatare anataka ajizalilishe tu hivi nani atakaye mdanya kwamba hajahusika kupanga kumdhuru msaki?.


Na alivyomjinga anatoka mahakamani anataka kutuhadaa kwa kuhusisha kukamatwa kwake na KIBANDA badala ya MSACKY mpuuzi kweli huyu gaidi, angeongelea asivyihusika na tuhuma dhidi ya MSACKY ningemuelewa, anarukia KIBANDA au hata kwa kibanda yupo nini anaona alimalize kwanza ambalo alikwishatekeleza?
 
Utekaji na kuwadhuru kumbe ina dhamana

Unabishana na mimi au. Sheria iliyompa haki ya kupata dhamana? Kama angekuwa hana hatia si angeambiwa nenda zako hauna hatua wewe gaidi.
 
Jela inamsubiri na kwa muda huu ambao yupo nje kwa dhamana ningewashauri wananchi kuchukua tahadhari ili wasing'olewe kucha na kumwagiwa tindikali.

Haki ya mungu ww ni kilaza na propaganda zenu zitawazidishia chuki na wananchi japo mnalipwa bk7 badilisheni style,mnafikiri kwa masaburi na mnaserukambwa.id yako ina sadifu tabia zako. shame on you
 
Mkuu Sumu!...kumbe bado mnampango wa kumpeleka jela?, sasa kwanini bado mnazungumzia kuwang'oa kucha watu wengine!...ni nani atakayefuata katika list yenu?........FUNGUKA MKUU
 
Lwakatare alikamatwa kwa kosa gani?
Mara chache jaribu kuficha upumbavu wako uje kama GT


unaonekana umevaa tai kwenye avatar yako kumbe ni kama KUB pale mjengoni na form four yake ambayo haina msaada kwa umma
 
Tusimtishe Lwak, na wanasheria wake wasimbanie, Watanzania tunataka afunguke atuambie ile sura kwenye ile video ni yake? Maelezo yale alikuwa na maana gani? au alikuwa ana act bongo movie nyumbani kwake!!!
 
Kumbe siku hizi unaweza kufanya makosa halafu ukaenda kujikosha kwa wanahabari lwakatare kapanga kuteka na kudhuru kwa sumu leo anataka afunguke nini au ataelezea alivyokuwa anapanga kumdhuru msack denis.
 
Slaa alihangaika weeee kuanika mafisadi lakini hakuna chochote cha maana alicho-achieve

We mwenyewe umeshajua mafisadi ni nini hiyo ni elimu tosha. Kina mramba na wengine waliojinyonga wanajua nani ni Slaa.
 
Weka link ya mwigulu akitamba Arusha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Chadema kwa nini walimpigania lwakatare peke yake na rudovick wamemwacha asote rumande hapo inahitaji akiri ya kawaida sana kuthibitisha kuwa chadema ya lwakatare wamehusika na utekaji wa msack pasipo shaka hata kidogo.
 
Weka link ya mwigulu akitamba Arusha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu siyo akitamba bali akieleza ukweli wa jinsi cdm wanavyohusika na huu utekaji na mauaji.
 
Kumbe siku hizi unaweza kufanya makosa halafu ukaenda kujikosha kwa wanahabari lwakatare kapanga kuteka na kudhuru kwa sumu leo anataka afunguke nini au ataelezea alivyokuwa anapanga kumdhuru msack denis.

Uliza kwanza Mwigulu alifadhili vifaa vya kurekodi kwa kina nani kama amekiri kuwa kazi ya chama saa ingine hazikamiliki kama zinavyopangwa.
Mlisema Zitto anawekewa sumu akasema si yeye wala hakuwa na kikao na wahusika Mwigulu nae Katubu kwa aliyofanya ww umekazana na Msack ilihali Mtekwaji yeye hazungumzi hata cku moja juu ya plan hyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom