Kwani Mwigulu ndie aliemnunulia vile vifaa vya kung'olea meno na kucha?Mwigulu ataabika, sana
hapana, kwann atulie? Lazima dunia ijue ndipo haya mateso na manyanyaso yatakoma.
Kwani Mwigulu ndie aliemnunulia vile vifaa vya kung'olea meno na kucha?
Wembe ni ule ule tutaendelea kuwapiga vipara always ushindi ni wa CCMmwambie mkeo akikutana na mwigulu tena amuulize hilo swali!!
Mingoi maana yake ni uwanja wa ufska linakufaa sana hilo jinaSi vibaya akiungama dhambi zake kwa mungu atamsamehe.
Wewe mama ebu nenda kakune nazi.Mingoi maana yake ni uwanja wa ufska linakufaa sana hilo jina
Wewe hauana akili, kuna sehemu nimetaja ugaidi hapo? Kwani wote waliofungwa wamefungwa kwa kosa la ugaidi? Ndo mnajifariji hivyo siyo? Ana kesi ya kujibu ndiyo maana hajaachiwa huru bali kawekewa dhamana tu mkuu.
Wembe ni ule ule tutaendelea kuwapiga vipara always ushindi ni wa CCM
Kuna mother moja yupo Mombassa anaitwa mama mingoi ana danguro la ufuska kumbe ndio maana yake!! splendid!!!Mingoi maana yake ni uwanja wa ufska linakufaa sana hilo jina
Wa kwako amenusurika na galacha wa wake za watu a.k.a babu?ha ha ha ha kama Mwigulu anavowapiga para wake zenu!!!
Hata watoto wa kiume kama wewe anawauza.Kuna mother moja yupo Mombassa anaitwa mama mingoi ana danguro la ufuska kumbe ndio maana yake!! splendid!!!
Wa kwako amenusurika na galacha wa wake za watu a.k.a babu?
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Toashi unatoa nini?bahati nzuri au mbaya mimi ni toashi!wewe msifu Mwigulu maana mama akienda anarudi na mshiko na mboga bila hivo wafa njaa wewe! hivi wewe na akili zako(kama bado unazo) unaishabikia CCM??
Lwakatare anataka ajizalilishe tu hivi nani atakaye mdanya kwamba hajahusika kupanga kumdhuru msaki?.
Kukaa kimya itakuwa ni kosa kubwa sana ni matarajio yangu tutasikia ihalisia wa kama ile video yaliyopo ni yale tuliyoyasikia au vinginevyo. Ninachokitafakari hapa mwigulu ataificha wapi sura yake pale kila kitu kitakapowekwa hadharani.Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.