ni kweli kwamba amekamatwa na hata kamishana wa makosa ya jinai wamesema tayari wanafanya utaratibu wa kumsafirisha ili kuja kusomewa makosa yake. kwangu mimi hawa matajiri wafanya biashara ambao wanapata hela zao kwa njia za utata sijui kwann nchi imeendelea kuwalea mpaka wa leo. mbaya zaid wachaga wengi hii kwao ni kawaida yaani watu wana hela ambazo hazijulikani uhakika wake na zimepatikana vipi kumbe wizi tu.
Umeongea ukweli mtupu mzee. Hawa jamaa ni wezi wa kila namna. Ole wenu na sasa hivi wanataka kuchukua madaraka ya hii nnchi.
Mdogo wake na massawe naye si kidogo!! Nimefanya kazi moja kwenye nyumba yao iliyopo barabara ya kibosho kirim,hapo mwanzoni,eneo la karibu na shanty town,huyo naye ni mwizi na alikuwa kiongozi Uvccm pamoja na Malisa.Alex Massawe anakula bata majuu kuna video clip niliwahi kuiona anavyotumbua pesa!ccm hawawezi mkamata hata kikwete alishindwa akamuachia huru
ni kweli kwamba amekamatwa na hata kamishana wa makosa ya jinai wamesema tayari wanafanya utaratibu wa kumsafirisha ili kuja kusomewa makosa yake. kwangu mimi hawa matajiri wafanya biashara ambao wanapata hela zao kwa njia za utata sijui kwann nchi imeendelea kuwalea mpaka wa leo. mbaya zaid wachaga wengi hii kwao ni kawaida yaani watu wana hela ambazo hazijulikani uhakika wake na zimepatikana vipi kumbe wizi tu.
Na makongoro aanaingiaje kwenye kesi?Kwanza nianze kuhakikisha hii habari kuwa ni kweli hata East Africa Radio wameirusha mda si mrefu. Alex Massawe anakabiliwa na tuhuma za mauwaji ya mfanyabiashara ambayo pia Papaa Msofe anahusika. Habari zilizopo ni kuwa mfanyabiashara aliyeuliwa alikopa fedha (inasemekana ni kama mil 200, ila sina uhakika na hii amount) kutoka kwa ALex massawe na akaweka bond nyumba yake iliyopo maeneo ya magomeni. Akamkabidhi Alex masawe hati ya nyumba ikiwa ni sehemu ya mkataba wa mkopo huo. Mfanyabiashara alipotaka kurizudisha zile fedha Alex massawe akawa anapiga chenga hataki kuzipokea kwa madhumuni ya kuupitisha muda riba iwe kubwa jamaa ashindwe kulipa halafu ajihalalishie kuichukua nyumba. Marehemu akawa mjanja akaenda kuiwakilisha zile fedha kwa mwanasheria aliyewafungia mkataba wa mkopo. Baada ya Alex massawe kuona anazidiwa ujanja ndo akaanza kutumia mabavu na kumuuzia ile nyumba Papaa msofe ilihali akijua hana umiliki halali. Baada ya mfanyabiashara kuuawawa, papaa msofe ndo akawa anaighasi familia ya marehemu kuwa hiyo nyumba kashauziwa hivyo watoke na atakuja kuwatoa kwa nguvu. Mke wa marehemu akaenda moja kwa moja kwa Said Mwema na kuilezea habari nzima nzima tangu makubaliano ya mkopo na kuuliwa kwa mumewe na vitisho anavyopata toka kwa wauwaji wa mumewe. Kifupi hili ndo saga lenyewe na kesi ya Papa msofe ilikuwa haiwezi kwenda popote hadi alex massawe atapopatikana kwa sababu ni mtuhumiwa mkuu pia kwenye kesi hii.
shika adab yako we kijana....
shika adab yako we kijana....
Umegundua kuwa habari hii ilikuwa ya uongo? Alex yupo zake anapiga bata anashushia na mbege huko bondeni.huna adabu kabisa
nchi hii balaa....Umegundua kuwa habari hii ilikuwa ya uongo? Alex yupo zake anapiga bata anashushia na mbege huko bondeni.
fanya kaz kijana acha wivu wa kiki...kila tajiri lazima ana untold story...tofaut ni kwamb alex massawe yey amewah kukamatwa na kushtakiwa thats y umejua alichokifanya...Nafkir unaijua vizur concept ya risk-return trade off... eeeh!!
Kwanza nianze kuhakikisha hii habari kuwa ni kweli hata East Africa Radio wameirusha mda si mrefu. Alex Massawe anakabiliwa na tuhuma za mauwaji ya mfanyabiashara ambayo pia Papaa Msofe anahusika. Habari zilizopo ni kuwa mfanyabiashara aliyeuliwa alikopa fedha (inasemekana ni kama mil 200, ila sina uhakika na hii amount) kutoka kwa ALex massawe na akaweka bond nyumba yake iliyopo maeneo ya magomeni. Akamkabidhi Alex masawe hati ya nyumba ikiwa ni sehemu ya mkataba wa mkopo huo. Mfanyabiashara alipotaka kurizudisha zile fedha Alex massawe akawa anapiga chenga hataki kuzipokea kwa madhumuni ya kuupitisha muda riba iwe kubwa jamaa ashindwe kulipa halafu ajihalalishie kuichukua nyumba. Marehemu akawa mjanja akaenda kuiwakilisha zile fedha kwa mwanasheria aliyewafungia mkataba wa mkopo. Baada ya Alex massawe kuona anazidiwa ujanja ndo akaanza kutumia mabavu na kumuuzia ile nyumba Papaa msofe ilihali akijua hana umiliki halali. Baada ya mfanyabiashara kuuawawa, papaa msofe ndo akawa anaighasi familia ya marehemu kuwa hiyo nyumba kashauziwa hivyo watoke na atakuja kuwatoa kwa nguvu. Mke wa marehemu akaenda moja kwa moja kwa Said Mwema na kuilezea habari nzima nzima tangu makubaliano ya mkopo na kuuliwa kwa mumewe na vitisho anavyopata toka kwa wauwaji wa mumewe. Kifupi hili ndo saga lenyewe na kesi ya Papa msofe ilikuwa haiwezi kwenda popote hadi alex massawe atapopatikana kwa sababu ni mtuhumiwa mkuu pia kwenye kesi hii.
Mkuu kwanza tushukuru kama Alex amekamatwa. Pili marehemu alichukua mkopo wa 75mil. Riba ikakua mpaka kufika around 200 mil. Na jamaa akawa anahaha kukomboa nyumba yake. Mke wake akafungua kesi kuwa hajui kuhusu mkopo huo na hakuna sehemu aliyosaini.
Christopher Alex Massawe sio mtoto wa Kidumbuyo (Alex Massawe)hata ukijaribu kuangalia mwanae kilichomfanya aache mpira katika kile kiwango chake cha hali ya juu ni haya maswala ya wizi tu hivyo hiyo ni chain ndefu sana ya wizi kwenye hyo familia.Hata hapa ARUSHA jamaa anayo hotel kubwa tu inaitwa AM hotel nadhan waliopo Arusha ni mashahid wa hili.
Mkuu kwanza tushukuru kama Alex amekamatwa. Pili marehemu alichukua mkopo wa 75mil. Riba ikakua mpaka kufika around 200 mil. Na jamaa akawa anahaha kukomboa nyumba yake. Mke wake akafungua kesi kuwa hajui kuhusu mkopo huo na hakuna sehemu aliyosaini. Ndio shida ikaanza ya kutishana wakitaka pesa yao. Akina Massawe na Papaa Msofe wakauziana hiyo nyumba kwa ubabe ikawa Massawe amechomoka kiaina msala akamwachia Papaa Msofe. Ndio mambo yakaenda mpaka kifo kilipomkuta mdaiwa
Umegundua kuwa habari hii ilikuwa ya uongo? Alex yupo zake anapiga bata anashushia na mbege huko bondeni.