Alex Massawe kakamatwa!


Suala siyo uzoefu hapo. Ni pesa. Pesa inavuruga kila kitu na mwenye akili anakuwa --------
 
ndo mana mimi nawambia watu mimi tajiri wanakataa kisa naendesha Suzuki swift...lakini ni ya kwangu sijakopa wala sijazulumu....sasa haya majamaa yanajidai yana hela halafu kumbe yameipata kwa shortcut namna hii...bongo wenye kujua kuatafuta hela na kutengeneza utajiri wachache sana...
 
Hiyo story ya huyo alex masawe ni noma jamaa ni kama mafia flan,ingia kwenye interest zake akuangamize
 
Kwa hii post mkuu kama nakutambua hivi. Wewe wa pale mferejini na sasa ni mganga eeh? Aika-mbee!!
 

Sikuzote nasema watambue kuwa Mungu yupo!
Na ipo siku isiyo na jina....
 
chezea shetani weye!
ili baadae aje ajitape Mungu kambariki wakati alikuwa muuaji, ni hivi shetani habebeki hata sikumoja hata umfanyie nini lazima aje akugeuke uaibike kama yeye.

U a very very very ryt mkuu!!!
 
Suala siyo uzoefu hapo. Ni pesa. Pesa inavuruga kila kitu na mwenye akili anakuwa --------

kwa hili pia me naamini serikali haitakubali kuivua nguo interpol,so pesa zake hapa lazima ziwe zinanuka na sio kunukia,haki lazma itatendeka kwakuwa si polisi wa tz waliomkamata,ni polisi wa kimataifa
 
ile 2006 aliposhikiliwa baada ya JK kuingia madarakani na baadaye kuachiwa kwa kusemwa atakuwa chini ya uangalizi nilijua ataacha uhalifu kumbe hamna kitu!
watu kama hawa wameiteka system nzima ya jeshi la polisi na ndo sababu wametamba kwa muda mrefu.
 
duh!! Ama kweli ndani ya nchi hii kila mtu ni intelijensi. Hadi habari za uvunguni mwa kitanda cha mtu zinajulikana??!! Good.

 
Wapewe hukumu hata ya kufungwa maisha au mahakama ichukue uamuz mgumu
 
Huyu ni msure wake ,na christopher nae kwa mara ya mwisho alikamatwa ameiba gari la JWTZ like son like father

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums

Hee!kweli roho hii ipo kazini,wasipotubu itaendelea vizazi na vizazi
 
gfsonwin naelewa but nadhani lengo na nia yake ilikuwa si aje akamatwe bahati ikiisha. My question is still valid hakujua kuwa vile vimashine vya alama za vidole siyo toys za watoto? Hata hao alokuwa anawahonga alipaswa ajue kuwa wanamlia pesa zake na wana mipaka pia.
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu nimegundua

media ni mahakama inayojitosheleza. Kama media haipogii kelele kitu basi ujui kitapotea .. Familia zijitahidi kuripoti miendelezo ya kesi kwenye media, wakikaa kimya tu imekula kwao.. This is tz..
 
duh!! Ama kweli ndani ya nchi hii kila mtu ni intelijensi. Hadi habari za uvunguni mwa kitanda cha mtu zinajulikana??!! Good.


Mkuu hizi mbona zilishavuja long time tangu walivyomuua jamaa (marehemu). Familia ya marehemu, polisi hata baadhi ya waandishi wa habari za mahakamani wanazo hizi.
 
Nikweli kajenga bonge la kasiri hapo mferejini Alex massawe nilifamiana nae wakati huo mzee wangu anamuuzia hilo eneo wakati huo hapo kukiwa na
Machine ya kusagia maindi,
Alex bana kibosho wa mjini handsome
 

Attachments

  • 1423657841603.jpg
    10 KB · Views: 891
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…