rekebisha hapo kidogo alex masawe ni jambazi maarufu hakuna asiejua malipo duniani, tunachoomba sheria ifate mkondo wake ifikie mahali watu clonic kama haw pesa zao ziwafunge na sio ziwape uhurua kila siku.una maanisha nini wapewe interview live? Wewe unafikiri tuhuma za mauwaji zinkajibiwa kwenye vyombo vya habari!..ili iweje? Umaarufu pembeni wakanyee debe, mahakama ndiyo itaamua nani muuwaji!
Kwanza nianze kuhakikisha hii habari kuwa ni kweli hata East Africa Radio wameirusha mda si mrefu. Alex Massawe anakabiliwa na tuhuma za mauwaji ya mfanyabiashara ambayo pia Papaa Msofe anahusika. Habari zilizopo ni kuwa mfanyabiashara aliyeuliwa alikopa fedha (inasemekana ni kama mil 200, ila sina uhakika na hii amount) kutoka kwa ALex massawe na akaweka bond nyumba yake iliyopo maeneo ya magomeni. Akamkabidhi Alex masawe hati ya nyumba ikiwa ni sehemu ya mkataba wa mkopo huo. Mfanyabiashara alipotaka kurizudisha zile fedha Alex massawe akawa anapiga chenga hataki kuzipokea kwa madhumuni ya kuupitisha muda riba iwe kubwa jamaa ashindwe kulipa halafu ajihalalishie kuichukua nyumba. Marehemu akawa mjanja akaenda kuiwakilisha zile fedha kwa mwanasheria aliyewafungia mkataba wa mkopo. Baada ya Alex massawe kuona anazidiwa ujanja ndo akaanza kutumia mabavu na kumuuzia ile nyumba Papaa msofe ilihali akijua hana umiliki halali. Baada ya mfanyabiashara kuuawawa, papaa msofe ndo akawa anaighasi familia ya marehemu kuwa hiyo nyumba kashauziwa hivyo watoke na atakuja kuwatoa kwa nguvu. Mke wa marehemu akaenda moja kwa moja kwa Said Mwema na kuilezea habari nzima nzima tangu makubaliano ya mkopo na kuuliwa kwa mumewe na vitisho anavyopata toka kwa wauwaji wa mumewe. Kifupi hili ndo saga lenyewe na kesi ya Papa msofe ilikuwa haiwezi kwenda popote hadi alex massawe atapopatikana kwa sababu ni mtuhumiwa mkuu pia kwenye kesi hii.
kwanza nianze kuhakikisha hii habari kuwa ni kweli hata east africa radio wameirusha mda si mrefu. Alex massawe anakabiliwa na tuhuma za mauwaji ya mfanyabiashara ambayo pia papaa msofe anahusika. Habari zilizopo ni kuwa mfanyabiashara aliyeuliwa alikopa fedha (inasemekana ni kama mil 200, ila sina uhakika na hii amount) kutoka kwa alex massawe na akaweka bond nyumba yake iliyopo maeneo ya magomeni. Akamkabidhi alex masawe hati ya nyumba ikiwa ni sehemu ya mkataba wa mkopo huo. Mfanyabiashara alipotaka kurizudisha zile fedha alex massawe akawa anapiga chenga hataki kuzipokea kwa madhumuni ya kuupitisha muda riba iwe kubwa jamaa ashindwe kulipa halafu ajihalalishie kuichukua nyumba. Marehemu akawa mjanja akaenda kuiwakilisha zile fedha kwa mwanasheria aliyewafungia mkataba wa mkopo. Baada ya alex massawe kuona anazidiwa ujanja ndo akaanza kutumia mabavu na kumuuzia ile nyumba papaa msofe ilihali akijua hana umiliki halali. Baada ya mfanyabiashara kuuawawa, papaa msofe ndo akawa anaighasi familia ya marehemu kuwa hiyo nyumba kashauziwa hivyo watoke na atakuja kuwatoa kwa nguvu. Mke wa marehemu akaenda moja kwa moja kwa said mwema na kuilezea habari nzima nzima tangu makubaliano ya mkopo na kuuliwa kwa mumewe na vitisho anavyopata toka kwa wauwaji wa mumewe. Kifupi hili ndo saga lenyewe na kesi ya papa msofe ilikuwa haiwezi kwenda popote hadi alex massawe atapopatikana kwa sababu ni mtuhumiwa mkuu pia kwenye kesi hii.
weka wazi habari ili tukusome mdau, kwa kweli nimekosa uhondo.
tena mamilioni ya pesa..na kuweka hati nyumbaNa huyo marehemu alitokana wapi na hawa majambazi akina masawe, kwanini asingeenda kukopa benki?
Nalipongeza Jeshi la Tanzania kwa kushirikiana na interpol kwa kumuweka Huyu mfanyibiashara maarufu mikononi, ila angalizo - money can buy anything!
Ingependeza Kama wangepewa interview live ili ijulikane Nani hasa aliyefanya Yale mauaji ya Yule Kijana Na kutoa utata Wa Papa Msofe kuendekea kuwekwa ndani
Mathawe hawezi kuacha wizi ha siku moja.
MASAWE, ALEX SIRIAMAKA
Wanted by the judicial authorities of Tanzania for prosecution / to serve a sentence
Identity particulars
[TABLE="class: table_detail_profil table_detail_profil_result_datasheet"]
[TR]
[TD="class: col1"]Present family name :[/TD]
[TD="class: col2 strong"]MASAWE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]Forename :[/TD]
[TD="class: col2 strong"]ALEX SIRIAMAKA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]Sex :[/TD]
[TD="class: col2 strong"]Male[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]Date of birth :[/TD]
[TD="class: col2 strong"]30/06/1956 (57 years old)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]Place of birth :[/TD]
[TD="class: col2 strong"] MOSHI, Tanzania [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]Language spoken :[/TD]
[TD="class: col2 strong"] English, Swahili [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: col1"]Nationality :[/TD]
[TD="class: col2 strong"] Tanzania [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Charges Published as provided by requesting entity
[TABLE="class: table_detail_profil table_detail_profil_result_datasheet"]
[TR]
[TD="class: col1"]Charges :[/TD]
[TD="class: col2 strong"] MURDER
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Photos
If you have any information please contact
Your national or local police
General Secretariat of INTERPOL
Mkuu Private Candidate hebu tuwekee hadithi nzima ya kuunganisha dots za kesi yake maana mimi naona gap kubwa sijui kitu hapa.
Kama ni kweli, mtandao huu kwishney
Christopher Alex massawe,alikuwa.mchezaji wa simba huyu jamaa ni mshuwa wake?