Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Kama uwakili wenyewe ndo huu ni mashaka makubwa.Sikujua kama Wakili Msando wakati unamtetea Zitto ulikuwa umevaaa kofia ya mwanachama mkereketwa au ya Uwakili!!!!
 
Albert Musando ni muhuni tu kama huyo muhuni mwenzake ZZK. Yeye akiwa ni mwanachama wa CDM na diwani wa Kata ya Mabogini mkoani Kilimanjaro hakupaswa kumtetea mtu mmoja ZZK labda tu iwe ni kwa maslahi ya chama.
Mwanachama mtiifu kwa Chama chake hawezi kufanya uhuni aliofanya Wakili Musando. Yeye hana tofauti na rafiki yake Zitto.Wote ni wasaliti wa chama.

CHADEMA isiwaonee haya watu kama hawa maana ni mamluki wa CCM wanaotaka kukiangamiza chama. Musando lazima naye achunguzwe na Chama kwa sababu kwa kesi hii anayomtetea Zitto Kabwe haina maslahi kwa chama isipokuwa kukiumiza na kukididimiza.
 
nlijua tu watakuja hivi wamejua washaharibu....tutaona tu mwisho wake nyiyi si TAMAA mbele NCHI na chama nyuma
 
Msando kula gwala man! Haya ndio tunekuwa tukiwakumbusha watu wenu humu, kudumisha fikra za mwenyekiti waachieni tanu.
Kufukuzwa sio issue ila, unafukuzwaje na kuzingatia misingi yenu wenyewe. We komaa nao wataelewa tu!
 
Albert Musando ni muhuni tu kama huyo muhuni mwenzake ZZK. Yeye akiwa ni mwanachama wa CDM na diwani wa Kata ya Mabogini mkoani Kilimanjaro hakupaswa kumtetea mtu mmoja ZZK labda tu iwe ni kwa maslahi ya chama.
Mwanachama mtiifu kwa Chama chake hawezi kufanya uhuni aliofanya Wakili Musando. Yeye hana tofauti na rafiki yake Zitto.Wote ni wasaliti wa chama.

CHADEMA isiwaonee haya watu kama hawa maana ni mamluki wa CCM wanaotaka kukiangamiza chama. Musando lazima naye achunguzwe na Chama kwa sababu kwa kesi hii anayomtetea Zitto Kabwe haina maslahi kwa chama isipokuwa kukiumiza na kukididimiza.
BAADA YA SHAURI LA MH ZITTO KABWE KUPATIWA UAMUZI WA MAHAKAMA,,NAJIULIZAA,,HIVI NI KWELI KWAMBA KAMATI KUU YA CHADEMA HAIKUWA IKIFAHAMU KWAMBA:-

Ibara 6.3.6(d) ya Katiba ya Chama chao cha Chadema inasema;“Kiongozi aliyechukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka yake ya nidhamu anayo haki ya kukata rufaa ngazi ya juu ya ile mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi hiyo utakuwa wa mwisho”.???

Kwamba Ibara 6.3.6(e) ya Katiba ya Chama;“Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini tangu tarehe ya kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya mamlaka iliyotoa adhabu”.,,na kwamba ;Kanuni za Uendeshaji zinatoa
UTARATIBU ambao unatakiwa ufuatwe ili kiongozi aliyeadhibiwa aweze kutumia HAKI yake ya kukata rufani kwa maneno haya??

Kwamba Kanuni ya 6.5.8 ya Kanuni za Uendeshaji za chama hichohicho cha chadema,inasema;“Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi wa maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumuwezesha kuamua kukata rufani au la”??

Kwamba Kanuni ya 6.5.9 ya Kanuni za Uendeshaji;“Mwadhibiwa atakayeamua kukata rufani atatakiwa kufanya hivyo katika muda wa siku thelathini baada ya kuarifiwa uamuzi wa adhabu”??

Kwamba Kanuni ya 6.5.10 ya Kanuni za Uendeshaji;“Baada ya kutoa uamuzi kikao husika kinalazimika kuandaa taarifa kamili ya mwenendo wa shauri na kuwasilisha ngazi ya juu.??

Na kwamba Taarifa hiyo, lazima ifike katika muda wa siku kumi na nne baada ya kikao cha maamuzi”??

NITASHANGAA KAMA TUNDU ANTIPAS LISSU ATAACHWA AENDELEE KUWA MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA,BAADA YA MAKOSA HAYA YA KITAALUMA

NI WAZI ATAKUWA BILA KUMUNG'UNYA MANENO,,AMESHINDWA KUISHAURI VEMA,NA KISHERIA,KAMATI KUU YA CHAMA CHAKE,ILI IONE JINSI AMBAVYO ILIKUWA INAVUNJA VIPENGELE HIVI VYA KATIBA AMBAYO NDIYO SHERIA MAMA
 
Albert Musando ni muhuni tu kama huyo muhuni mwenzake ZZK. Yeye akiwa ni mwanachama wa CDM na diwani wa Kata ya Mabogini mkoani Kilimanjaro hakupaswa kumtetea mtu mmoja ZZK labda tu iwe ni kwa maslahi ya chama.
Mwanachama mtiifu kwa Chama chake hawezi kufanya uhuni aliofanya Wakili Musando. Yeye hana tofauti na rafiki yake Zitto.Wote ni wasaliti wa chama.

CHADEMA isiwaonee haya watu kama hawa maana ni mamluki wa CCM wanaotaka kukiangamiza chama. Musando lazima naye achunguzwe na Chama kwa sababu kwa kesi hii anayomtetea Zitto Kabwe haina maslahi kwa chama isipokuwa kukiumiza na kukididimiza.

Dhambi ya ubaguz haitawaacha salama

SASA MNAANZA KUBAGUANA WENYEWE KWA WENYEWE??MSANDO SI MCHAGA MWENZENU HUYO??

MNAMBAGUA KWA LIPI SASA,UDINI,UKANDA AU UKABILA??

MNA LAANA NYINYI
 
Ameongea maneno ya busara sana bila kupendelea upande wowote
 
Amejitaidi kama mwanasheria, ni kweli, haki ni vizuri ionekane ikitendeka lakini kwa kufuata sheria,kanuni na taratibu! Chadema wafanyie kazi mawazo haya!
 
Msomi gani mjinga hivyo kwani yeye alikuwa pale kama mwanachadema au wakili.
 
Kweli wewe msomi unamshauri mwanachama, aende kushtaki mahakani badala ya kumwandalia vithibitisho vya kwenda kujitetea ndani ya chama. Hafu huyu kijana naye Zito kamkamata hamjui MM motives zake, Nilimwamini sana huyu MM lakini mwaka 2011 ndo nilishangaa pale alipoleta kampuni lakitapeli huku kwetu, sasa nashangaa watu wanamwita MANDELA inawezekana akawa Mandela wa karne hii ya 21, wa kuja kututapeli.

Wakili msomi AlbertMsando ametoa yaliyo moyoni. Kupitia ukarasa wake wa Fb haya ndio aliyoandika.

By; Albert Msando

Kwa marafiki zangu,


Hatujashinda kesi dhidi ya chama. Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA.

Natambua kwamba kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA mojawapo ya madhumuni ya chama ni kuendeleza na kudumisha Demokrasia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa, kujenga utamaduni wa demokrasia katika jamii kwa kutambua haki za wengi katika maamuzi na pia kutambua haki za wachache kusikilizwa, kuheshimiwa na kulindwa, sambamba na kukubali ushindani huru, wa haki na wa wazi ....

Pia natambua kwamba kwa mujibu wa Katiba ya chama Wajibu wa mwanachama wa Chadema ni kuwa tayari kupambana na namna yeyote ya uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi.

Wajibu huu ni ndani na nje ya chama. Hatuwezi kutekeleza wajibu upande mmoja. Binafsi ninalo jukumu kutekeleza wajibu wangu kwa manufaa ya chama.

Kumekuwa na lawama, shutuma na malalamiko kwamba nilichokifanya kinadhoofisha chama. Napinga kwa nguvu zangu zote. Inawezekana kabisa nilichofanya kinadhoofisha watu wachache ndani ya chama ila sio CHAMA.

CHADEMA sio mtu binafsi. Ni taasisi. Wanachama wake ndio nguzo muhimu. Sio Zitto wala Mbowe wala Slaa. Hawa ni viongozi tu ambao wajibu wao ni kuendelea kujenga chama.

Uwezo wao upimwe kwa matokeo ya sasa. Sio kwa mvuto na haiba zao. Fundisho la haya yote ni moja: KUVUMILIANA SIO KUFICHIANA SIRI AU UDHAIFU. Kosa limetendeka na kukubali kosa sio dhambi.

Ni wazi kabisa kumekuwa na kutokuelewana kwa muda mrefu. Ni dhahiri viongozi wetu wamekuwa wanajua udhaifu wa kila mmoja wao. Lakini kwa sababu ambazo hazijawa wazi waliamua kukaa kimya. Au labda ilikuwa ni kwa kuamini kwamba yatamalizika bila athari. Sasa matokeo yake ndio haya.

Kinachohitajika sasa sio kutafuta mchawi. Ni jukumu la kila mmoja wetu kuwajibika ipasavyo na kuhakikisha suluhu inapatikana. Na niseme wazi kabisa, kama suluhu ni mtu kufukuzwa basi tuhakikishe hilo linafanyika kwa mujibu wa Katiba na Kanuni kwa kuzingatia haki za msingi kama ambavyo tumekuwa tukipigania.

Haki itendeke, na zaidi lazima ionekane imetendeka. Pamoja tunaweza.

Mwisho, tusiruhusu muendelezo wa 'ufuasi' wa watu ndani ya chama. Tuwe wafuasi wa misingi ya chama. Bado nafasi ipo ya kurekebisha pale tulipoangukia kama busara na hekima vitatumika.

Nawatakia kila kheri ndugu zangu.

"In a battle for the minority rights we have to promote the rights of the majority and we will remain united" AGM 2014.

Msando

 
wachaga wengine mnazingua sana,hasa nyinyi sampuli hii,

wengine wana kengeza hadi vichwani mwao,

wengine kama nyinyi mnarembua rembua hadi vichwani mwenu,yani ili mradi tabu tuh kujitoa ufaham,,

HIVI UKANDA,UDINI NA UKABILA UTAWASAIDIA NINI NYINYI MAPIMBI??

HEBU KAZA MACHO HAYO,UNAREMBUA REMBUA NIN MTOTO WA KIUME??AU NI ..MTOTO SIO....,, MALIZIA MWENYEWE
Yaani wewe kiumbe ni mjinga sana…hivi ulizaliwa kutoka kwenye uke wa binadamu au mnyama?

Wewe siyo bure ni lazima ulizaliwa kwa kupitia makalio…i mean ulizaliwa kwa kujambwa.
 
sasa nani unamlegea macho cheupe??

CC Ritz, ahmed deedat,,

We sio bure,,utakuwa mchele mchele wa mbowe,au yule mzee muuza gongo
Unaanza kuwa cc wafia dini wenzako? why? jisimamie mwenyewe…wewe si unamdomo kama tundu la choo?
Nina uhakika wewe umezaliwa kupitia makarioni…maana huna unachoandika hapa jamvini zaidi ya chuki.
 
Da Freema Agyeman ... nilijiunga Chadema nikiwa chuo inspired by Zitto Kabwe...inaniuma kuwa nilimfuata snitch!

Hajawahi kuwa role modal wangu.

Huyu bwana mdogo zitto nilimwona hafai tangu enzi za mgomo wa vyuo vikuu enzi za mkapa. Dogo alikuwa anauza taarifa za kamati ya wawakilishi wa viongozi wa vyuo vikuu vyote. Kila mkikutana mtaani police tayari walishajua mlipo.

Mwulize mwembechai nani alimpa hela ya pango la nyumba nzima?
 
Last edited by a moderator:
Mbona mi naona ni kama anajitetea vile,
Tuko upande wa taasisi na sio mtu mmoja tuna heshimu maamuzi ya kamati kuu mpaka maamuzi mengine yatakapo tolewa na kamati kuu au chombo kingine cha maamuzi ndani ya chama na si vinginevyo
MTEJA WAKO ZZK NI MUHAINI, MSALATI WA CHAMA
MIMI NAPENDA AFUKUZWE NA MTAANI HASA NILIPO WANATAKA AFUKUZWE.
 
Jinsi tu Msando alivyoongea anaonekana yuko smart sana kichwani,Ameongea point ya msingi sana.Haya wale wasioweza kabisa kutumia akili zao ipaswavyo katika kudadavua mambo ya msingi na hoja madhubuti kama hizi ni fursa yenu nyingine kuporomosha mitusi,kumwaga kashfa na kuwaita wenzenu majina ya dharau kama mlivyokwishaanza kufanya hapa.Hatuwalaumu ndio upeo wenu wa kufikiri ulipogotea hapo.Kwa tulio na akili zetu kubwa na huru Msando tumekuelewa sana na hongera kwa maneno ya busara na yenye kuonyesha ukomavu wa hali ya juu wa kifikra na kimawazo.

Hawa watu hawashauliki kichwa kuuma utasikia matusi yake ila wapo watu makini wamesikia akili kumukichwa tunampa big up zake.
 
Naomba wenye taaluma za sheria wanisaidie, Je Msando na ZZK wameshinda kesi waliyofungua mahakamani? Je pingamizi lilowekwa na akina Lissu lilikuwa ndio kesi ya kina Msando? Naomba maelezo ya kisheria kwani sielewi namwona Msando na ZZK wakishangilia eti wameshinda kesi dhidi ya Chama na wanachadema. ZZK+Msando +CCM VS Chadema
 
Dhambi ya ubaguz haitawaacha salama

SASA MNAANZA KUBAGUANA WENYEWE KWA WENYEWE??MSANDO SI MCHAGA MWENZENU HUYO??

MNAMBAGUA KWA LIPI SASA,UDINI,UKANDA AU UKABILA??

MNA LAANA NYINYI
Kwanza kwa kupitia hizi comment zako za chuki chuki nimegundua wewe unaishi maisha ya kiwahili swahili sana…yaani wewe hata kama ulipitia shule basi hiyo shule yako haijakusaidia hata kidogo. mburula sana wee mdudu
 
Huyu ndio anaeneza propaganda kwamba kashinda na sasa anataka suluhu ili aonekane mwema!,bado mnajaribu kushindana na chama na wanachama wake lkn hamta shinda.Ngoja kesi ianze na nakushauri mwambie Zito akachukue karatasi zake pale ofisini kuonyesha jinsi alivyovuliwa vyeo.Nendeni pamoja nae,nawe Msando diwani wa mabogini na huku hukai mabogini ulipewa kwa heshima ya chadema tu sasa subiri uone moto.

Kwani kesi ni ya kuonyesha jinsi alivyofukuzwa au ni kupata karatasi za maamuzi ili akate rufaa kwa baraza kuu. Wenye maamuzi hatimaye ni baraza kuu siyo mahakama kuu. Amabyo nafikiri ni sahihi ili kuhakikisha haki inatendeka.
 
Back
Top Bottom