Albert Msando apotoka tena

Albert Msando apotoka tena

'Tuwe' principled sasa. Wote. Na hapa wote unajua namaanisha nani na nani. Ni hatua gani zichukuliwe na sisi ambao tunatakiwa kuwa principled?

Nafasi yangu na yako katika hili hazitofautiani. Nini kifanyike, lini, wapi na nani?

Msando,
Hivi tayari ulishajibu swali la Mwaikenda kuhusu neno Dharura? au wewe unalitafsirije?
Wewe ni kijana mdogo angalia usituaminishe kwamba na akili yako ni ndogo pia.
Mambo ya DARUSO yaliishia DARUSO usituchanganyie unafiki.
Nakuomba usije ukajishushia heshima yako kwanza wengine humu ni wateja wako, ila kwa upuuzi huu unaoufanya Im getting in doubt brother
 
Yaani nyie CHADEMA mnakera sana siku hizi.

Why don't y'all just go away for sometime. Just take time out and disappear from the face of the earth and then come back after a month or two.

hivi na wewe beneficiary
 
Wewe huaminiki ni kama Zitto tu, uliaminiwa na Nyaga ukamwibia mili 60 za ujenzi wa barabara kutoka dodoma road mpaka kwenye ofisi zake licha ya kukuhudumia kama mkewe bado ulishindwa kuwa mwaminifu... ni sawa na huyo zitto kasaidiwa kwenye masomo yake na mbowe na gari la kutembelea kipindi hicho leo anamtangaza kuwa ndiye adui yake..
Ukomavu wa siasa ni kupingana kwa hoja siyo matusi jenga hoja.
 
Tumeanzia hapo kiongozi. Nasubiri maelekezo

Asante kwa majibu yako.

Lakini kubali kosa unapokosolewa.Kwamba ni nje ya taratibu na maadili ya chama kwenda pale Serena na kuanza kuianika na kubishana na Kamati Kuu ya chama chako.

Ungepaswa kufanya hizo unazoita taratibu ndani ya chama na wala leo Magazeti ya Uhuru na Jamboleo yasingekupamba.

Lakini naomba tu nikuhakikishie kwamba unaowatetea ni lazima wataondolewa ndani ya chama kupitia Baraza Kuu.Nitakukumbusha ukweli huu siku ya kikao cha Baraza Kuu.

Huyo unayemtetea kama ni mkweli akuambie kwamba kwenye Kikao cha Baraza Kuu mwanzoni mwa mwaka huu ni Mbowe alimuokoa baada ya wajumbe kuleta hoja ya kukosa imani naye!

Nitatumia uwezo wangu kuwashawishi viongozi wakuu waitishe Baraza Kuu haraka Iwezekanavyo ili ijulikane moja kwamba ni AMA CHADEMA AU WASALITI.

Asante sana!!
 
'Tuwe' principled sasa. Wote. Na hapa wote unajua namaanisha nani na nani. Ni hatua gani zichukuliwe na sisi ambao tunatakiwa kuwa principled?

Nafasi yangu na yako katika hili hazitofautiani. Nini kifanyike, lini, wapi na nani?

Tuwe Principled kwa kusimamia kanuni tulizojiwekea,kwa kufuata taratibu tulizojiwekea ,Kufuata itifaki zinazotuongoza na maadili ya katiba tuliyojiwekea bila kuathiri malengo ya kitaasisi kwa sababu ya urafiki au uadui wetu.Principle!

Tufanye mambo sahihi kwa wakati sahihi na mahali sahihi .

Tuwe na ujasiri wa kutangaza maslahi tunaposhughulika na jambo lenye maslahi kwetu.Hii ni Principle ya faireness and transparency.

Ndio maana mahakimu,mawakili au majaji ambao ni principled wanajitoa kwenye kesi.

Hata katika siasa ndio maana Spika wa Bunge Samwel Sitta siku Moja alijiondoa kwenye kiti cha spika mke wake ambaye ni waziri aliposogelea podium kutimiza jukumu lake.Alitangaza maslahi na for the sake of principle alimuachia mwingine akalie kiti.

Haya Hebu tuendelee Albert,Mwanachadema Halisi,Diwani wa CHADEMA,Kiongozi wa CHADEMA na Mwanasheria wa Watuhumiwa wa Mashtaka 11 waliotakiwa kutoa utetezi wao kwa maandishi kwa Kamati Kuu kwa mujibu wa kanuni,taratibu,itifaki na Katiba ya CHADEMA...
 
Sheria ni facts na.kama hana.facts si atashindwa tu na wanasheria wenzake ndani ya chama sasa maneno ya nini enyi ndugu zangu!!!!!??????

Acheni sasa huu uwe mwanzo wa kumaliza hili zogo yeye haaminiki sawa; mnaowaamini huko ndani watamshinda kwa facts baaaasi!!!!!

Au akishindwa facts ndio na udiwani mta mpoka maaana sasa kama tuko mwituni! !!!!!

Mkuu,Huwezi kuanza sasa kuamrisha watu warudishe ndani mjadala wakati watu wamepotosha na kutia tuhuma hadharani ambayo ni subject of debate public kwa sasa
 
Kanuni,maadili,utaratibu sijui nini hivyo ni vichaka vya watawala dhidi ya watawaliwa!!!!!Kutaka kukaa huko as if ni postmorteum/sorcery kwa nini usiri kama manufaa ni ya chama na na nchi kwa ujumla wake???!!!!Nini siri hapa mpaka kuitisha press iwe dhambi??!!!!Mnapigania kumkomboa Mtanzania na wakati huo hamtaki apate habari ya chama chake na viongozi???!!! Retrograde agenda????!!!!!

Ndio haya mawazo ya kuwa Bunge lisiwe live yaanza hivyo kichwani kwako!!!!!

Hogwash itajukikana tu as watu wanasoma na wana akili timamu ndio maana tunataka uwazi na ukweli ili kila hatua iwe wazi kwa umma kama mnavyoomba kura kwa uwazi!!!!!!! Liache likae wazi kadri iwezekanavyo kwa manufaa ya umma kwa upana wake hii ndio transparency na ni sehemu ya demokrasia mnayohubiri!!!!!

Hivi kweli dhamira ni Watanzania hawa?????!!!!
Mimi ninasumbuliwa na hili jicho moja linalotumika kuona sehemu moja kwa baadhi ya wanaojiita wanaCHADEMA.

Hawa watu kwa maksudi hawataki upande wa pili usikike katika jamii na wako tayari hata kutumia mbinu chafu kama hizi za character assassination kuziba watu midomo pale wanaposhindwa kubainisha makosa yanayofanyika kwa sababu hata wao wanakifanya kile kile ambacho upande wa pili unakifanya.

Kama kweli wanadhani kinachofanyika kinakigawa chama, kwa nini wao wenyewe hawaachi kutumia majukwaa ya siasa kwa mlango wa "kukijenga chama" wakati nia kuu ni kujijenga kisiasa wao wenyewe.

Kuna ubaya gani kueleza wanachama kile kinachoendelea katika shauri ambalo jamii iko na shauku kufahamu na kikubwa kabisa, hata upande wa pili ndivyo unaendelea kukifanya.

What we're witnessing now is some sort of dictatorial mentality among the so called CHADEMA leaders/members.
 
Mkuu,Huwezi kuanza sasa kuamrisha watu warudishe ndani mjadala wakati watu wamepotosha na kutia tuhuma hadharani ambayo ni subject of debate public kwa sasa


Na ukirudi ndani ntalia machozi hadharani mkuu; nao wajibu kwa press ili uwazi uendelee mimi sipendi "vichaka" mkuu Ben!!!!
 
Ben saanane, lmpact ya anachokifanya Albert ni kama ifuatayo.
1. Wanachama wa chadema kupata fulsa ya kujua
katiba yao
2. Kujua vizuri makosa aliyofanya zitto kama
yapo au makosa waliyofanya uongozi wa
chadema kama yapo

Na huu utakuwa mfano au fundisho zuri kwa wanachama na uongozi wa chadema kujua nin kinatakiwa. Na kitu ambacho uongozi wa chadema unatakiwa kufanya ni kuonyesha na kuwaelimisha wanachama wake alichokosea zitto kama kipo ili kutoa dhana ya uonevu. Najua ben unalijua na chama pia, hili swala kuna walioona ni sahihi uongozi ulichokifanya na pia kuna watu wanaoona uongozi umekosea.

What albert is doing is perfect kwa wanachama, wapenzi na wafuatiliaji wa siasa.
 
Kwanza,Kama katiba ni kichaka basi nina wasiwasi kama ulistahili kuishi katika jamii iliyostaarabika maana jungle law inaweza kuwa muongozo wa kukufaa zaidi


Pili,Nilimuomba Albert atoe Muongozo juu ya hili la watu kuomba kujiuzulu baada ya kelemewa na tuhuma walizoshindwa kuzijibu na badala ya kupewa ridhaa ya kujiuzulu kama walivyoomba ikatolewa alternative way ya kuwavua uongozi kutokana na kujiridhisha kuwa hawastahili heshima walioiomba (Heshima ya kukubaliwa kuwa iandikwe kuwa 'wamejiuzulu').Je utaratibu ulikiukwa wapi hapo?Tuanzie hapo.Na hili amekwepa kulijibu


Hilo lake atalijibu tu nadhani so far anajibu hoja zote tumoe muda!!!!!

Hili la katiba kuwa vichaka litaisha siku ambayo uandaaji na haki za wananchi an wanachama zikiwa shirikishi from the grass root level mkuu!!!!!!

Huu mchakato wa sasa hivi wewe mkuu unaukubali kwa asilimia ngapi kwenye ushiriki wa wananchi???!!!!
 
"mkuu umejenga hoja makini na za msingi watu wajadili au kukosoa kwa Hoja makini pia" but with time ukweli utajulikana tutajua nani mkweli kuhusu utaratibu wa kufukuza viongozi ndani ya Chama'

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.[/QUOTE]
 
ni kwel uliyoyasema..yule si mwanasheria...kwanza ni mwanachama wa ccm..jambo lingine inakuaje kwenye kikao zito na wenzake wakubali kuwa wamekosea halafu et huku nje anakana?? Kwan sis watoto??? Na iweje badala ya kujibu tuhuma anatafuta mwanasheria na kukata rufaa? Kwan alifukuzwa uanachama??? Yaan we upewe barua kazin ya kujieleza kufanya makosa,badala ya kujib tuhuma et unakata rufaa? Utakataje rufaa wakat hujahukumiwa?? Kusimamishwa uongoz si kufukuzwa uanachama..kuna tofaut ya kusimamishwa kazi au uongoz ili kupisha uchunguzi au kujitetea na kufukuzwa kazi au uanachama...zito na wenzake wamesimamishwa na kupewa barua wajibu tuhuma na wafike mbele ya kamat kuu kujieleza,badala yake wamekata rufaa huku mwingine (mwigamba) akikimbilia kwa msajili akilia asaidiwe,hiv si kuchochea kufukuzwa uanachama??? Wanang'ang'ania nn chadema?????

Acheni siasa za kiujanjaujanja. Aliyekubali makosa ni Kitila Mkumbo ambaye pia alikiri kuwa hawakuwa wamemfahamisha Zitto mkakati huo na ndio maana walikuwa wanaongelea option nyingine endapo "Dogo" wakimaanisha Zitto ataukataa. Na hii sio mara ya mwanzo kwani hata wakati ule wa Kafulila anaenda NCCR naye alikuwa na mpango wa kwenda kumtayarishia mazingira Zitto bila ya ridhaa yake. Zitto hajawahi kukubali kosa la mkakati wa kuliondoa genge la Mbowe madarakani ili kuboresha chama na kukisafisha CHADEMA na liability ya uongozi wa Mbowe.
 
Mimi ninasumbuliwa na hili jicho moja linalotumika kuona sehemu moja kwa baadhi ya wanaojiita wanaCHADEMA.

Hawa watu kwa maksudi hawataki upande wa pili usikike katika jamii na wako kutumia mbinu chafu kama hizi za character assassination kuziba watu midomo pale wanaposhindwa kubainisha makosa yanayofanyika kwa sababu hata wao wanakifanya kile kile ambacho upande wa pili unakifanya.

Kuna ubaya gani kueleza wanachama kile kinachoendelea katika shauri ambalo jamii iko na shauku kufahamu na kikubwa kabisa, hata upande wa pili ndivyo unaendelea kukifanya.

What we're witnessing now is some sort of dictatorial mentality among the so called CHADEMA leaders/members.

Shauku?Unamaanisha kwamba tuendeshe siasa kwa kukidhi shauku au hamu ya/za watu?

Yaani ukiuke taratibu na kanuni kwa kisingizio cha kutimiza shauku za watu?Hii ni kichekesho.Hivi kwa fikra hizi kweli tutajenga taifa kubwa ? Tunatengeneza taifa la mihemko.Quick fixing style of leadership.

Tunatengeneza mfumo unaofanya kazi kwa style ya Viagra.No offence! Eti watu wana Shauku ya kusikia?

Halafu jamani,unaposema wanachama na viongozi wana mentality za kidikteta unamaanisha nini?Sijui kama unaelewa unachotaka kuandika hapa maana dhana ya udikteta ni debatable

Hata Demokrasia ni udikteta wa wengi dhidi ya Wachache.Kwa hiyo kama wanachama wengi na viongozi wanasimamia misingi,kanuni,na taratibu za chama dhidi ya watu wachache wanaopambana to suit their senseless ambitions basi huo ni udikteta wenye tija na ndio unaofaa.
 
Mimi ninasumbuliwa na hili jicho moja linalotumika kuona sehemu moja kwa baadhi ya wanaojiita wanaCHADEMA.

Hawa watu kwa maksudi hawataki upande wa pili usikike katika jamii na wako tayari hata kutumia mbinu chafu kama hizi za character assassination kuziba watu midomo pale wanaposhindwa kubainisha makosa yanayofanyika kwa sababu hata wao wanakifanya kile kile ambacho upande wa pili unakifanya.

Kama kweli wanadhani kinachofanyika kinakigawa chama, kwa nini wao wenyewe hawaachi kutumia majukwaa ya siasa kwa mlango wa "kukijenga chama" wakati nia kuu ni kujijenga kisiasa wao wenyewe.

Kuna ubaya gani kueleza wanachama kile kinachoendelea katika shauri ambalo jamii iko na shauku kufahamu na kikubwa kabisa, hata upande wa pili ndivyo unaendelea kukifanya.

What we're witnessing now is some sort of dictatorial mentality among the so called CHADEMA leaders/members.

Tulipofika ni pazuri wanahiari ya kuchukua maoni ya watu au kuendelea na mtazamo wao; sisi tutaamua kwa busara sana 2015
 
Ben saanane, lmpact ya anachokifanya Albert ni kama ifuatayo.
1. Wanachama wa chadema kupata fulsa ya kujua
katiba yao
2. Kujua vizuri makosa aliyofanya zitto kama
yapo au makosa waliyofanya uongozi wa
chadema kama yapo

Na huu utakuwa mfano au fundisho zuri kwa wanachama na uongozi wa chadema kujua nin kinatakiwa. Na kitu ambacho uongozi wa chadema unatakiwa kufanya ni kuonyesha na kuwaelimisha wanachama wake alichokosea zitto kama kipo ili kutoa dhana ya uonevu. Najua ben unalijua na chama pia, hili swala kuna walioona ni sahihi uongozi ulichokifanya na pia kuna watu wanaoona uongozi umekosea.

What albert is doing is perfect kwa wanachama, wapenzi na wafuatiliaji wa siasa.

Thanx a lot
 
Acheni siasa za kiujanjaujanja. Aliyekubali makosa ni Kitila Mkumbo ambaye pia alikiri kuwa hawakuwa wamemfahamisha Zitto mkakati huo na ndio maana walikuwa wanaongelea option nyingine endapo "Dogo" wakimaanisha Zitto ataukataa. Na hii sio mara ya mwanzo kwani hata wakati ule wa Kafulila anaenda NCCR naye alikuwa na mpango wa kwenda kumtayarishia mazingira Zitto bila ya ridhaa yake. Zitto hajawahi kukubali kosa la mkakati wa kuliondoa genge la Mbowe madarakani ili kuboresha chama na kukisafisha CHADEMA na liability ya uongozi wa Mbowe.

Wekeni wazi jamani kila kitu mnaojua ukweli wa ndani wa hii saga ili siku ya majumuisho kusiwe na sababu za kujua ukweli na haki
 
Acheni siasa za kiujanjaujanja. Aliyekubali makosa ni Kitila Mkumbo ambaye pia alikiri kuwa hawakuwa wamemfahamisha Zitto mkakati huo na ndio maana walikuwa wanaongelea option nyingine endapo "Dogo" wakimaanisha Zitto ataukataa. Na hii sio mara ya mwanzo kwani hata wakati ule wa Kafulila anaenda NCCR naye alikuwa na mpango wa kwenda kumtayarishia mazingira Zitto bila ya ridhaa yake. Zitto hajawahi kukubali kosa la mkakati wa kuliondoa genge la Mbowe madarakani ili kuboresha chama na kukisafisha CHADEMA na liability ya uongozi wa Mbowe.

Ha ha haha! Hivi unaelewa unaandika kwenye public forum?Bila ridhaa yake?What do you mean?

Omar,Kwanza declare interest zako katika hili sakata.Leo wanafiki wote watajitokeza.

Urafiki wako na watu usijaribu kuuingiza kwenye mijadala maana hautakua objective zaidi ya kuleta mihemko.

Nilishakuambia mara kadhaa jenga hoja kulingana na age na uwe principled.Wewe kama msaidizi wa Dr.Salim ulitakiwa ujifunze mengi kutoka kwake.

Unafiki utalimaliza taifa kama tutaacha kuwaambia ukweli watu wa sampuli yako.
 
Back
Top Bottom