Mdogo wangu kwanza wewe unapaswa kujitibia hiyo identity crisis uliyonayo. Pili sijawahi kuficha ukaribu wangu na Zitto. Ni wewe ndiye unayeshindwa kujitambulisha kama mfuasi mkubwa wa genge la Mbowe na mdau wake wa mud Dr Slaa na kuwa wewe CHADEMA ni chama cha nyumbani ambacho kinapaswa kulindwa kuingia mikononi mwa wakuja ambao kwenu ninyi wao wapo kwa ajili ya kutumika tu na sio kuongoza chama. Tatu, nadhani kama unafiki wewe ndiye sura ya unafiki katika siasa za CHADEMA na ndizo unazitegemea kujenga nafasi yako ndani ya chama pamoja na uchaga wako ukiamini kuwa CHADEMA ambao unaamini ndio asset kubwa kwako kisiasa ndani ya CHADEMA. Angalao mimi ni msaidizi wa Dr Salim kama unavyosema lakini wewe ni mpambe wa Mama Josephine aka mwenza wa Dr Slaa. Angalao hata ungekuwa Msaidizi wa Dr Slaa mwenyewe ungeweza kuwa na uhalali wa kuhoji kazi yangu ambayo wengi wenu mnaiotea ndoto. Kama mlizoea kutengeneza uongo na watu wakawaangalia tu huku wakiamini busara ya kukaa kimya ingeliweza kuokoa chama, hapa mlipofika mmepoteza nguvu hiyo. Ni tit for tat inakuja soon....
Kwanza,Niombe radhi kwa kunihusisha na rhetorics zako za ukabila.Siku zote unajenga hoja kwa misingi ya kikabila na kidini.Hiyo ndio common denominator kati yako na unaiwaita maswahiba wako.
Mimi "Mdogo wako" (Kwa reference yako) ninapata fedheha sana kuona kaka zangu walionizidi umri na uzoefu wa kisiasa(Weledi wa Kitaaluma hauhusishwi) mnaegemea katika siasa za kijinga kama hizi.
Pili,Sijawahi kuwa msaidizi wa mtu binafsi.Na siwezi kujivunia kuwa msaidizi wa mtu binafsi kama unavyojinadi wewe.Kama hii sio maana halisi ya mtu mwenye tatizo la 'Identity Crisis" basi msamiati huu wa Kiingereza unatumika vibaya
Tatu,Kusimamia misingi ya CHADEMA kama chama cha siasa sioni aibu hata kidogo.Wewe unaona fahari kusimamia uswahiba juu ya misingi ya kikabila na kidini.Nonesense!
Nne,Tangu nikiwa mdogo nimekua nikipenda harakati za upinzani hasa NCCR-Mageuzi na Baadae CHADEMA.Je, nilikipenda NCCR-Mageuzi kwa kuwa ni chama cha nyumbani?
Tano,Falsafa ya Chura kuwa ndani ya bwawa alikoweka makazi ndio dunia nzima inakusumbua sana acha kufuata falsafa hii maana wewe ni binadamu mwenye utashi na maarifa.Sijawahi kutamani nafasi ya kuwa msaidizi wa mtu binafsi.Kwa mtazamo wako huu wa kujifariji unaonyesha jinsi ulivyo na ambition ndogo.You must be aiming too low.
Sijawahi kuwa na ambition ya kubebea watu mikoba.Nafedheheka sana unaponiita "Mdogo wako" lakini huwezi ku-reason according to your age.
Ungekua kaka yangu niliyezaliwa tumbo moja nawe ningekushauri politely,ikishindikana kwa ukali na kama ungeendeleza mentality hii ningeku-disown.
Usiidhalilishe familia kwa kauli za kijinga kama hizi kwenye public arena.Mume wa mtu na baba wa familia una ambition za ovyo kama hizi?And you are just proud of this? Goshhhh! ! !
Eti kuna maprofesa walikaa darasani na kujivunia kuwa na dumb product kama hii?Kuna classmates wanaoweza kutaja hadharani kwa ujasiri kuwa na historia ya kitaaluma na wewe?
Namuonea Huruma Dr.Salim.Heshima yangu kwake iko pale pale kwa kile ambacho amekua akifanya kwa Tanzania na Afrika.Post yangu hii isitumike kumuhukumu.