Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
Tatizo la CHADEMA imejaza vijana ambao wengi wao wanasumbuliwa na inferiority complex na katika kukabiliana na hali hiyo, inawabidi wawe wapiga majungu na kujipendekeza kwenye CHADEMA party machinery as a "survival of the fittest".Chadema inapaswa kujivunia kuwa na vijana kama Msando.
Hapa CCM ina jambo la kujifunza.
Cc Ritz VUTA-NKUVUTE Ng'wamapalala
Nimepatwa na butwaa na pia kicheko kusikia wengine wanadai wana 'uwezo' wa kushawishi viongozi waliopewa majukumu ya kiuongozi ili kuongoza kwa misingi ya katiba inayoainishwa katika kanuni, maadili na itifaki ili waitishe mkutano wa Baraza Kuu kwa nia ya kuwapokonya baadhi ya wanachama kadi za chama kwa vile tu mitazamo yao ni tofauti na wao.
This is intimidating, threatening in order to induce someone to bend to their twisted politics. Huu ni udikteta wa kiwango cha juu kabisa kama kweli hilo wazo litatimizwa. Hii inatuambia kwamba Kadi ya CHADEMA inauzwa kwa watu ambao hawana mawazo na fikra huru.
Siasa za Tanzania zimejaa personal hatred na ni janga kwa kizazi hiki na kinachokuja.