We Albert wewe ni ngazi ya uongozi na unapingana na maamuzi ya Kamati Kuu, huwezi cheza mpira mwenyewe na refa ukawa mwenyewe kwa hiyo JIUZULU UDIWANI halafu ndo ukomalie kumtetea ZZK, zaidi ya hapo unajaza maji kwenye gunia TUNAMFUKUZA.
Mungu alivyo mwema wasaliti na waasi wote wamejitokeza Peupe kabisa!