Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Na nyie mburura mnaoshabikia katiba mbovu kama hiyo isiyoruhusu mtu akiburuzwa na Chadema asiende mahakamani kutafuta haki yake ni magaggafu sijwahi ona. Hivi hamuoni kuwa hiyo katiba inabeba wateule wa Mtei amabao hata iwe nmna gani vipi hawakosei. Walipovunja katiba kwa kujiongezea muda wa kuwatawala mburura nyie mkauUFYATA mburura wa Bavicha. Sasa badala ya kudai kuwa hicho kipengere kuwa kinavunja hata katiba ya Nchi inayompa ntu Uhuru mtu wa kwenda mahakamani nyie mnakenua meno kishabaiki pupuya. Nyie vipi; inanipa shida sana kujua akili mbofu mbofu hizi mnarithi wapi. JITAMBUE la sivyo mtaburuzwa siku zote kwa kufwanywa maZEZETA wa waleeeeeeeeeeeeeee kule juu mlimani. The con men are taking your shagarabaghara brsin poor you Bavicha. A con artist, also known as a crook, swindler, or scammer, is a person who tricks someone out anything. He/she establishes trust with the victim and uses the ability to read people and a good sense of timing to carry the schemes through. Many have specific modes of operation, although they operate across a wide array of scam types and tend to be hard to pick out of a crowd. These criminals often come into their work because of fiscal hardship, seeing others model the behavior, or because of various psychological needs. KALAGABAO na wajinga ndio waliwao. Keep going Zitto
 
Mh. Zito Katimuliwa Chadema, Atagombea Kupitia Chama Gani Hapo Mwakani? Kama Ni Cuf Au Nccr Mageuzi Vyama Hivi Vimeungana Na Vinaachiana Wagombea.Mfano, Iwapo Atahamia Cuf,je Chadema Jimbo La Kigoma Watakubali Kumuunga Mkono Mh Zito Yaani Chadema Isisimamishe Mgombea Jimbo Hilo La Kigoma Ili Kumuunga Mkono Zito? Na Je Cuf Itampokea Zito Ambae Alifukuzwa Kwa Madai Ya Kukisaidia Chama Cha C.C.M? Na Kama Itampokea Na Kumsimamisha Ubunge Na Chadema Isimuunge Mkono Zito Hapo Nini Kitatokea? Mi Naona mh. Zito Itabidi Ajiunge Na Vyama Visivyo Na Muungano Wa UKAWA.NAWASILISHA.

Mkuu NZEGA YETU unaishi nchi ya wapi? Jaribu kuata mda wa kusoma magezeti. Zitto ana chama chake kinaitwa ACT! Pia kama anaondoka CDM ni kwa sababu katiba inasema wazi kuhusu issue yake!
 
haha kwa hili CCM hauatarudi nyuma CCM kazeni Buti tu Siasa za Upinzani maji taka tu zinaishia bungeni mtaani nothing nchi ya kwenu
 
Baasda ya Jerry Muro kutimuliwa kwa Yanga kufungwa na Simba, Zitto anaenda rasmi kuchukua mikoba.

Unajua maswali ya busara kama haya yanatakiwa majibu ya busara, swali la Zitto ukija kuuliza JF unategemea majibu gani? Ukitaka kujua hitma ya Zitto mftafute Zitto mwenyewe, hapa sanasana utakuwa unawatafutia watu wapigwe ban
Mh. Zito Katimuliwa Chadema, Atagombea Kupitia Chama Gani Hapo Mwakani? Kama Ni Cuf Au Nccr Mageuzi Vyama Hivi Vimeungana Na Vinaachiana Wagombea.Mfano, Iwapo Atahamia Cuf,je Chadema Jimbo La Kigoma Watakubali Kumuunga Mkono Mh Zito Yaani Chadema Isisimamishe Mgombea Jimbo Hilo La Kigoma Ili Kumuunga Mkono Zito? Na Je Cuf Itampokea Zito Ambae Alifukuzwa Kwa Madai Ya Kukisaidia Chama Cha C.C.M? Na Kama Itampokea Na Kumsimamisha Ubunge Na Chadema Isimuunge Mkono Zito Hapo Nini Kitatokea? Mi Naona mh. Zito Itabidi Ajiunge Na Vyama Visivyo Na Muungano Wa UKAWA.NAWASILISHA.
 
Wanamchukua CCM na mwaka huu anagombea ktk jimbo hilo na akishinda mwakani anapewa UWAZIRI,CCM mipango yao ya kuua vyama safari hii imedunda,wanapeleka mashushushu kwenye ofisi za mashushushu imekula kwao unaona sasa hivi zile habari za CDM inakufa hivi karibuni zimeisha. SHUSHUSHU NI MTU HATARI SANA ANAWEZA KUISHI NA WEWE HATA MIAKA 30
 
Kama kweli ZZK anahusika na ACT ni wazi kuna tatizo, huwezi kuanzisha taasisi ndani ya taasisi nyingine tena kwa siri.
Wanaolifahamu hili na kulielewa wanajua kuwa huwezi kukaa na mwanachama wa namna hii. Ndio maana Mh. Kafulila alivyotofautiana na chama chake 'hakufungua ofisi' FB/Twitter bali aliomba msamaha na akasemehewa na sasa anajenga taifa.
Alafu kama huyu wakili kayaongelea haya kwenye hiyo radio ni wazi lao ni moja!

Watu ambao katika historia ya siasa Tanzania walioanzisha Taasisi ndani ya Taasisi (CCJ) na kusalimika kwenye vyama vyao ni Mwakyembe, Nape, Sitta, Mwambalaswa, ........
 
Zitto amevuna alichokipanda maana aliifahamu fika katiba ya CHADEMA lakini alipuuza. Sasa ni zamu ya Alberto Msando kufukuzwa CHADEMA ili waende kuimarisha chama chao cha ACT. Nani alisema CHADEMA haiwezekani bila Zitto? Hana nguvu yoyote chamani bali watu wanapenda Sera za chama na si mtu.

Swadakta Mkuu, CDM imewezekana bila yeye kwa takribani miaka miwili sasa.aende zake kwa wasanii na wapuuzi wenzie ccm au tawi lake la act
 
Mwanasheria feki huyu. Mh tundu ametoa kwenye katiba ya CHADEMA hakutunga yeye yakwambaaa mwana CHADEMA yeyote atakae shitaki mahakaman moja kwa moja atakua amejivua uanachama so huyu mwanasheria Alienda shule kafanya nn? Da!

Ameitoa kwenye katiba ya Chadema ndio, lakini baada ya kubadilishwa ili kupata uhalali huu
 
Ha ha ha ,
mwiba ukiingia mwilini hautoki kirahisi,
kumbukeni maneno ya zitto,
Alisema atakuwa wa mwisho kutoka chadema kwa hiari yake,
mzee slaa nasikia yupo hoi anawaza zitto akienda chama kingine wamekwisha.

Chukua kopo la maji ukanye
 
Ndugu yangu!
Suala la kumsamehe Zitto sioni kama ni mjadala! Hii ni kwa sababu yeye mwenyewe Zitto alipaswa kuliona hilo mapema na kuomba msamaha! sioni kama chama kinapaswa kwenda kumuomba yeye Zitto bali yeye akiri makosa yake na kuomba msamaha! hapo tutamwona muungwana!.Kama akifanya hivyo na viongozi wa chama wakakataa! basi hapo tutasema sio haki!
Hukumu ya mahakama ni mtego kwa CDM
hasa ukizingatia kuwa tuna michakato nyeti
yenye kuhitaji utulivu wa fikra katika vyama
vyetu.

CDM kama chama makini cha demokrasia
wangelimsamehe ZZK ili kuudhilisha kuwa
pamoja na njama,hujma na jitihada za kukidhoofisha
chama zinazofanywa na watu lakini chama bado ni imara
kuliko wanavyofikiria.

Msamaha kwa ZZK kwa CDM si jambo la ajabu bali ni
haki ya chama kutokumpoteza mwanachama wake aliyekuwa
mstari wa mbele katika mageuzi ya fikra za watanzania kupitia
siasa.

Kama inavyojulikana kuwa CDM ni mpango wa Mungu,chama
kifanye maamuzi magumu ya kumsamehe ZZK kwani ili mipango
ya Mungu ifanikiwe ni pawepo na vipingamizi vingi sana.

CDM kumfukuza ZZK ni sawa na kurudi hatua mbili nyuma
na ili kurejesha hali hiyo chama kitatumia rasilimali nyngi
sana ikiwemo matumizi ya nguvu yasiyo na ulazima wowote.
 
Laana ya muhongo itamtafuna maisha yake yote.
 
Moja ya vikwazo vikubwa vya maendeleo
Afrika ni kupoteza muda kujenga watu
badala ya taasisi. Tasisi hazina ukomo,
binadamu tuna ukomo.

tatizo la zzk ana washauri WAJINGA SANA alafu akidondoka wanamcheka huwezi kuwa na lawyer anayeshinda instagram
kurushiana mipasho na akina Le Mutuz,
lazima ushindwe tu, utapigwa
mahakamani maana hakuna namna

nilisema huko nyuma Msando
would benefit (quick fame) but Zitto will
be on the losing end

hahaha kweli Politics can be cruel, kweli zile press
conference za Serena ndo kifo cha
mende hivi?
 
alifukuzwa katibu mkuu kipindi chama kina wabunge 5 pia yeye akiwa mbunge sembuse huyu na angali ,chama kina wabunge zaidi ya 50 watakuja tuu
 
Huyu jamaa ni Hopeless kweli kauliza maswali ya Kijinga kweli kweli. mi hata sijui kama ana uwezo mzuri wa kumshauri zitto na tatizo kubwa la zitto ana washauri wahuni wahuni tu kama huyu jamaa. anasema nani anamfukuza zitto?
1. anasema kwa nini kama CHADEMA ni chama cha kidemokrasia kinaamuru tu afukuzwe kwa sababu ameenda mahakamani, hili si ni swali la kijinga kabisa? chama cha Kidemokrasia si kinafata katiba? katiba yao inasemaje?
2. mwenye mamlaka ya kumfukuza zitto ni katiba. katiba haiwez toa sauti hivyo mtu mmoja anaongea kwa niaba ya katiba na mwanasheria wa chama ni sahihi kuongea kwa niaba ya katiba
3.uamuzi wa kumfukuza unapaswa uwekwe wazi kama ambavyo yeye alipoweka suala hili kwa umma mahakamani na jinsi ambavyo lipo wazi ni kuwa alishajifukuza kwa mujibu wa katiba. Biblia inasema usiue ukiua tayari umejifukuzisha kwenye kusanyiko la watu wenye kuamini biblia hivyo haina haja tena ya kuja kukwambia kwa siri sababu toka mwanzo umejifunza biblia imeandikwa usiue

hizo points nyingine zimekaa kihisia zaidi kiasi kwamba hata najisikia uvivu kumjibu. huyu nadhani alitumwa tu kumsaidia zitto kuanguka naye zitto hakuwaza vizuri akaanguka kweli kwenye mtego huo mdogo wa kupitia msando

Mkuu lakini akiwa kule Hai anamtetea Mbowe anakuwa sio hopless sio?? Machadema akili zenu ziko kwenye maka..o yenu na ndio maana Msando amejaribu kuwakumbusha muache kuwaza kama Mbowe na Slaa wanachowaza...hili fumbo linamaana kubwa sana yaani Mbowe akiwaambia mvue suruali na mkae kichuma mboga na chochote kitakachowaingia mkae kimya ndio ukamanda ama kwa hakika mtafanya hivyo kwa kuwa akili zenu tayari wameshazishika
 
Kama hakuhitaji kubaki CDM ni kwanini alikimbilia mahakamani... Jamani huu "ujasiria-siasa" unawashusha sana hadhi!!
 
Back
Top Bottom