Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,723
- 5,662
- Thread starter
- #221
Vipi ccm kwenye huu mziki wa Zito mnaushikia kidedea sana? !!!!!!!!!!!!!
Wewe hujajua tu,Chama tawala kinafurahi manaake mwiba umeng'olewa.
Vipi ccm kwenye huu mziki wa Zito mnaushikia kidedea sana? !!!!!!!!!!!!!
Watu Kama Hawa Ndio Wanatukatisha Tamaa Kusomesha Watoto, We Kasoma Mpaka Kapewa Chet Cha Uwakili Arafu Uelewa Wake Ndio Huu! Aisee Hii Ni Hatari.
Zitto asamehewe chondechonde baba yetu mhe.Mbowe, wanachadema tusamehe na tusahau yaliyopita, zitto asamehewe bure bila masharti nawaombeni, tusimuache aende.
Nakuunga mkono
Ni kipengele kinacho mnyima mwana CHADEMA haki yake ya msingi ya kukimbilia Mahakamani
Ni kipengele cha "kishetani"
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema
Mkuu unaemwombea hayo hataki hicho
Zito anajua anachokifanya
Hayuko chadema siku nyingi sana.
Hamumfahamu zito vizuri nyie
KATIBA ya chama.... na hiyo ndiyo imemfukuza Zitto!Swali la mdingi, nani mwenye mandate ya kumfukuza ZITTO?
Ha ha ha ,Mkuu unaemwombea hayo hataki hicho
Zito anajua anachokifanya
Hayuko chadema siku nyingi sana.
Hamumfahamu zito vizuri nyie
Kwani chadema wanasera gani ya maana zaidi ile ya maandamano.Zitto amevuna alichokipanda maana aliifahamu fika katiba ya CHADEMA lakini alipuuza. Sasa ni zamu ya Alberto Msando kufukuzwa CHADEMA ili waende kuimarisha chama chao cha ACT. Nani alisema CHADEMA haiwezekani bila Zitto? Hana nguvu yoyote chamani bali watu wanapenda Sera za chama na si mtu.
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;
1. Amehoji je, kama CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?
2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.
3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?
4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?
5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.
6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.
7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.
9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.
Chanzo: Clouds TV
Ha ha ha ,
mwiba ukiingia mwilini hautoki kirahisi,
kumbukeni maneno ya zitto,
Alisema atakuwa wa mwisho kutoka chadema kwa hiari yake,
mzee slaa nasikia yupo hoi anawaza zitto akienda chama kingine wamekwisha.