Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Mwanasheria feki huyu. Mh tundu ametoa kwenye katiba ya CHADEMA hakutunga yeye yakwambaaa mwana CHADEMA yeyote atakae shitaki mahakaman moja kwa moja atakua amejivua uanachama so huyu mwanasheria Alienda shule kafanya nn? Da!
Mwanasheria huyuhuyu feki si ndo anasimamia kesi ya mwenyekiti kule Hai au? Akiwa Hai jembe, akiwa kwa zzk zunde duuuh.
 
nina uhakika hii kitu imetengenezwa
na tena hata zito si mjinga,alijua itakuwa hivyo.
Na hii ndio siasa.
Wengine twachukua majembe tukalime.
 
Kweli huyo mwanasheria ni mpumbavu, mbona anauliza maswali yaliyo na majibu tayari?
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema
Ni utaratibu wa kawaida, umewahi kujiuliza kama CCM wamewahi kupelekana Mahakamani kwa mambo yaliyopo ndani ya chama chao? umejiuliza kwa nini TFF wanakipengele kinachokataza mambo ya mpira kupeleka mahakamani? mi nasema tumechoka na undumilakuwili lazima aende zake.
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema

Katiba 'inasema akishindwa' , tatizo liko wapi?
 
Hiyo no 2 mwanasheria huna akili, kwani maamuzi yalisha fikiwa toka mwaka jana hivyo ilibakia kutangazwa tu ( iwapo zuio la mahakama lisingekuwepo na hivyo ndio imefanyika jana baada ya kuondolewa).

Tundu Lissu haja mfukuza bali ametangaza maazimio ya Chama ya mwaka jana baada ya kikao cha CC.
 
msando lazima umtetee zzk ili aweze kukulipa
hapo natambua uko kazini ila ukweli unaujua bos wako kachemka aaaa!!!
 
CHADEMA hawajamfukuza Zitto uwanachama,Zitto kajifukuza mwenyewe kwa usaliti wake wa kukisaliti chama na katiba ya chama.

CHADEMA walicho kifanya ni kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la mtu ambaye ameshajifukuza tayari.

Hiki ni kifo kwa Zitto ni kifo kwa bwana zake CCM.
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema
Kwani si alikubaliana na katiba hiyo hiyo kipindi chote hicho?
Acha kubwabwaja kama umekatwa kichwa, Katiba imegeuka ya kidikteta baada ya kumuadhibu Zitto eeh?
 
Huyu jamaa ni Hopeless kweli kauliza maswali ya Kijinga kweli kweli. mi hata sijui kama ana uwezo mzuri wa kumshauri zitto na tatizo kubwa la zitto ana washauri wahuni wahuni tu kama huyu jamaa. anasema nani anamfukuza zitto?
1. anasema kwa nini kama CHADEMA ni chama cha kidemokrasia kinaamuru tu afukuzwe kwa sababu ameenda mahakamani, hili si ni swali la kijinga kabisa? chama cha Kidemokrasia si kinafata katiba? katiba yao inasemaje?
2. mwenye mamlaka ya kumfukuza zitto ni katiba. katiba haiwez toa sauti hivyo mtu mmoja anaongea kwa niaba ya katiba na mwanasheria wa chama ni sahihi kuongea kwa niaba ya katiba
3.uamuzi wa kumfukuza unapaswa uwekwe wazi kama ambavyo yeye alipoweka suala hili kwa umma mahakamani na jinsi ambavyo lipo wazi ni kuwa alishajifukuza kwa mujibu wa katiba. Biblia inasema usiue ukiua tayari umejifukuzisha kwenye kusanyiko la watu wenye kuamini biblia hivyo haina haja tena ya kuja kukwambia kwa siri sababu toka mwanzo umejifunza biblia imeandikwa usiue

hizo points nyingine zimekaa kihisia zaidi kiasi kwamba hata najisikia uvivu kumjibu. huyu nadhani alitumwa tu kumsaidia zitto kuanguka naye zitto hakuwaza vizuri akaanguka kweli kwenye mtego huo mdogo wa kupitia msando
 
Kwanini Msando hataki kuchallenge vifungu kwenye katiba ya CDM vilivyomng'oa ZZK badala ya anazungumza as politicians.
 
Mimi sio mwanasheria lkn nadhani katiba yenu inajieleza kuhusu "Mtu akishitaki chama na yeye kushindwa shauri hilo huwa amejifukuzisha chama"
Kwa Lugha nyepesi angeendelea kuwa mwanachama Chadema mngeivunja katiba yenu.

Kwa hilo amefukuzwa na KATIBA YENU YA CHADEMA.
 
Zitto anahaja ya kupima upya team ya watu wanao mzunguuka hususan washauri wake otherwise atapotea kwenye raman kama Mrema
 
Ninavyomjua Zitto anaweza akawapiga U-turn hata ACT mkashangaa anaingia TLP au NRA...Ngoja muone siku atakapoamua...Ila kwa upande wangu naomba Spika Makinda asikubaliane na CDM amwache mpaka bunge litakapovunjwa July, maana jamaa bado anamajukumu makubwa ya kumalizia eg Escrow, TPA, Pesa zilizoko Uswis etc
Tutammis sana kwenye Bunge lijalo, au ikiwezekana awe mbunge wa kuteuliwa kama Mbatia..maana jamaa bado tunamhitaji sana kwenye siasa za Tanzania ya leo.
 
Back
Top Bottom