kinya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 495
- 71
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema
Mh Zitto alikuwa naibu katibu mkuu na mjumbe wa kila kikao cha maamuzi ndan ya Chadema kama.katiba ilikuwa inamatatizo alishajaribu kupeleka mapendekezo ya mabadiliko akazuiwa?. Kama jibu ni hapana basi tunashindwa nn kuamini kuwa alikuwa malengo yake binafsi?!