Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,319
- 10,022
Inawezekana nikawa nipo sahihi au sipo sahihi .
Kwa maoni yangu tangu Chalamila afike DSM jiji limetulia, kila kitu ni shwari.
Kinachofurahisha zaidi Chalamila ameishika Dar bila Kiki wala ubabe, ametulia anachapa kazi.
Namuona mtu huyu akija kuwa kiongozi mkubwa zaidi siku za usoni.
Mnyonge mnyongeni lakin haki yake msiache kumpa, Chalamila ni moja Kati ya wakuu wa Mikoa Bora kabisa katika awamu hii.
Kwa maoni yangu tangu Chalamila afike DSM jiji limetulia, kila kitu ni shwari.
Kinachofurahisha zaidi Chalamila ameishika Dar bila Kiki wala ubabe, ametulia anachapa kazi.
Namuona mtu huyu akija kuwa kiongozi mkubwa zaidi siku za usoni.
Mnyonge mnyongeni lakin haki yake msiache kumpa, Chalamila ni moja Kati ya wakuu wa Mikoa Bora kabisa katika awamu hii.