Albert Chalamila asema hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo na pia wapigakura wana gubu sana

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,469
17,309
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bwana. Albert Chalamila amesema yeye hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo, hawezi kusema 1+1 jibu ni 3 ama 4 huku akijua kabisa jibu ni 2.

Pia Chalamila amesema sababu nyingine kwa nini ubunge hauwezi ki kwanba wapigakura wana gubu sana, kitu kidogo tu lawama kwa mbunge huku wakijua kabisa mbunge hana hela zake mwenyewe kwani hata kama ni miradi ya maendeleo lazima mbunge aende kwa mkurugenzi ama spika ama mkuu wa mkoa kuomba apewe fedha za miradi.

Chalamila anasema gubu nyingine ya wapigakura kutotaka mbunge aishi vizuri, aendeshe gari nzuri vyote watasema ni hela zao.

Msikilize hapa.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bwana. Albert Chalamila amesema yeye hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo, hawezi kusema 1+1 jibu ni 3 ama 4 huku akijua kabisa jibu ni 2.

Pia Chalamila amesema sababu nyingine kwa nini ubunge hauwezi ki kwanba wapigakura wana gubu sana, kitu kidogo tu lawama kwa mbunge huku wakijua kabisa mbunge hana hela zake mwenyewe kwani hata kama ni miradi ya maendeleo lazima mbunge aende kwa mkurugenzi ama spika ama mkuu wa mkoa kuomba apewe fedha za miradi.

Chalamila anasema gubu nyingine ya wapigakura kutotaka mbunge aishi vizuri, aendeshe gari nzuri vyote watasema ni hela zao.

Msikilize hapa.
Daaah🙁
 
Jamaa yupo sahihi kwa maana kuwa kuwa mbunge inabidi uwe muongo pia unakuwa huna nguvu ukitaka pesa za jimbo mpaka uende kwa mkurugenzi ko kibongo bongo yeye anauona ubunge ni miyeyusho si anawaona wanavopuyanga
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bwana. Albert Chalamila amesema yeye hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo, hawezi kusema 1+1 jibu ni 3 ama 4 huku akijua kabisa jibu ni 2.

Pia Chalamila amesema sababu nyingine kwa nini ubunge hauwezi ki kwanba wapigakura wana gubu sana, kitu kidogo tu lawama kwa mbunge huku wakijua kabisa mbunge hana hela zake mwenyewe kwani hata kama ni miradi ya maendeleo lazima mbunge aende kwa mkurugenzi ama spika ama mkuu wa mkoa kuomba apewe fedha za miradi.

Chalamila anasema gubu nyingine ya wapigakura kutotaka mbunge aishi vizuri, aendeshe gari nzuri vyote watasema ni hela zao.

Msikilize hapa.
Kwahiyo Mkuu wa Mkoa ndo ana pesa za kumpa Mbunge atekeleze miradi? Daaah!!!
Wabunge wamwite huyo bungeni akathibitishe wao ni waongo.
 
Kwa maana nyingine wabunge wa ccm waongo
Kwani uongo? Halafu wanafiki balaa. Mambo yanayopitishwa bungeni ni kwa maslahi ya maisha yao siyo wananchi. Iko wazi.

Kwani ilikuwaje kuhusu bandari? Nini kinaendelea? Kodi kwetu ziko palepale na bandari ishauzwa.

Wabunge hawahawa wametudanganya.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bwana. Albert Chalamila amesema yeye hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo, hawezi kusema 1+1 jibu ni 3 ama 4 huku akijua kabisa jibu ni 2.

Pia Chalamila amesema sababu nyingine kwa nini ubunge hauwezi ki kwanba wapigakura wana gubu sana, kitu kidogo tu lawama kwa mbunge huku wakijua kabisa mbunge hana hela zake mwenyewe kwani hata kama ni miradi ya maendeleo lazima mbunge aende kwa mkurugenzi ama spika ama mkuu wa mkoa kuomba apewe fedha za miradi.

Chalamila anasema gubu nyingine ya wapigakura kutotaka mbunge aishi vizuri, aendeshe gari nzuri vyote watasema ni hela zao.

Msikilize hapa.

Hizi post za ukuu wa mikoa, wilaya nk ni za kuondosha kwenye serikali zijazo
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bwana. Albert Chalamila amesema yeye hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo, hawezi kusema 1+1 jibu ni 3 ama 4 huku akijua kabisa jibu ni 2.

Pia Chalamila amesema sababu nyingine kwa nini ubunge hauwezi ki kwanba wapigakura wana gubu sana, kitu kidogo tu lawama kwa mbunge huku wakijua kabisa mbunge hana hela zake mwenyewe kwani hata kama ni miradi ya maendeleo lazima mbunge aende kwa mkurugenzi ama spika ama mkuu wa mkoa kuomba apewe fedha za miradi.

Chalamila anasema gubu nyingine ya wapigakura kutotaka mbunge aishi vizuri, aendeshe gari nzuri vyote watasema ni hela zao.

Msikilize hapa.
Tatizo limeanza na hao hao wanasiasa. Wanapoomba ubunge huwadanganya wananchi kuwa wao wanao uwezo wa 'kuwaletea maendeleo'. Sijui wao wanayatoa wapi hayo maendeleo!? Elimu ya uraia kwa wananchi ni ziro kabisa, kwa kuamini kuwa mbunge au diwani anaweza kuleta maendeleo. Bw. Chalamila kasema ukweli....
 
Back
Top Bottom