Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

Allah akuongoze katika haqq ni wachache sana wenye uelewa kama wako, umeandika kwa usahihi kabisaaaa nitamalizia kwa misemo miwili ya Waja wema wa kwanza ina imam shafii RahimahuLlaah alisema muamini allah tabaraka halafu kua na msimamo wa kule unachokiamini usiyumbe, wapili ni swahaba Ali bin abdultwalib alisema ukitaka kujua kundi gani lipo sawa basi angalieni mishale ya maadui inaelekea kwa wingi wapi. Allahmdulilah na leo twaona mataifa yamekusanyana kuizima nuru ya uislamu ila waislam wamelala hawajitambui kabisa sasa hao mashabab wametoka kuinusuru dini.
Duh!
 
Allah akuongoze katika haqq ni wachache sana wenye uelewa kama wako, umeandika kwa usahihi kabisaaaa nitamalizia kwa misemo miwili ya Waja wema wa kwanza ina imam shafii RahimahuLlaah alisema muamini allah tabaraka halafu kua na msimamo wa kule unachokiamini usiyumbe, wapili ni swahaba Ali bin abdultwalib alisema ukitaka kujua kundi gani lipo sawa basi angalieni mishale ya maadui inaelekea kwa wingi wapi. Allahmdulilah na leo twaona mataifa yamekusanyana kuizima nuru ya uislamu ila waislam wamelala hawajitambui kabisa sasa hao mashabab wametoka kuinusuru dini.
Acha Upuuzi Chief
 
Unajua Wenzetu Waislamu mna faida moja kubwa.
Nyumba yenu ya Ibada inajulikana kwa jina moja la
Msikiti.
Mtu akisikia Msikiti basi ni moja kwa moja anaelewa kuwa ni Nyumba ya kufanyia ibada kwa Waislamu.
Tofauti na nyumba inayoitwa Kanisa.
Kuna
Free Masonic Church
Lusiferian Church
Church of Satan
Church or Mormon
The Rastafarian Church
NK
Sasa mtu wa kawaida unaona Mashoga wanafunga ndoa kwenye jengo linaloitwa kanisa, mara moja unaanza kudhani Wakristo wanaozesha Mashoga bila kufahamu kuwa hilo ni kanisa la nani.
Hao wanao lishana nyoka kanisani au kulishana majani au dawa ya Jiki.
Watu wasio wakristo wanaamini tu kwakuwa tendo linafanyika Kanisani basi hao waliondani ni Wakristo.
Kumbe sio.
Kanisa la Rastafarian ibada yao ni pamoja na kuvuta bhange, lakini nje limeandikwa neno Kanisa.
Mtu akipita nje atasema Wakristo wanavuta bhange Kanisani.
Ninachotaka kusema ni kuwa Kanisa la Wakristo ibada yake imeelezwa katika Injiri ya Yesu Kristo.
Ukiona ibada inaendeshwa tofauti na Agano Jipya linavyosema basi ujue hilo sio kanisa la Kristo.
Hata ukiona kanisa Lina Sujudia Sanamu ujue hilo sio Kanisa la Kikristo.
Kuna Makanisa mengi sana lakini Makanisa ya Kikristo ni machache mno.
Makanisa ya Kikristo Yanafuata kile tu Yesu Kristo alifundisha.
Hivyo ukisiakia Kanisa la Kilindini usiweke imani yako hapo, angalia wanafanya nini humo Kilindini.
Ulichofanya hapa ni sawa muislamu kusema Al-shabaab sio waislamu kisa wanafanya ugaidi,umetoa jibu jepesi tu kuwa sababu hilo wamenyeshwa "jik" basi sio kanisa la kikristo na hivyo sio wakristo.
 
Che mittoga karibu sn kwenye uislamu maana unaelezea vzr mno ww ata khilafa ikisimama utaishi vzr maana unaelewa vzr sn . katika dola ya uislamu kipindi cha mtume walikuwepo watu ambao si waislam na waliishi vzr na waislam kwa kua walikuwa wanajielewa hao waliitwa dhimmi
 
Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.
Chizi wewe ...utawalazimisha vipi watu kuwa na imani sawa na yako ..ilhali kwamba suala la imani lina depends na hiyari ya mtu binafsi .... kwanini umuamuru mtu kumuabudu mungu na mtume ambaye yeye utashi wake una muambia kwamba hastahiki kuviabudu ... kwanini umlazimishe mtu kuchagua kwenda peponi kama wewe ambavyo unavyo amini ...wakati imani yake yeye ina muambia kuwa haitaji kwenda kwenye hiyo pepo ambayo unataka kwenda wewe .....huwenda ikawa imani yake aliyo nayo ina amini kwamba kuna pepo nyingine bora na salama kuliko ile ambayo unayo iamini wewe .....lakini hata kama imani yake haipo sahihi ikitokea akaenda huko motoni wewe kinachokuuma ni nini wakati mwili na energy ni vyake so hata hauwezi ku-share nae feeling za maumivu ya moto ambayo atakuwa ana yapata wakati wa kuchomwa .....

Kwanini mnataka kulazimisha jamii ambayo itakuwa na mtazamo sawa kiimani duniani ...wakati falsafa ya maisha ili dunia iweze kuendelea inahitaji jamii ya watu ambao watakuwa na mawazo tofauti yenye kuzalisha competition ambayo ndio huwa chachu ya maendeleo mahali popote kule ........

Bila shaka itakuwa umefilisika akili
 
Che mittoga kaka imaan yako watu imewakela sn ila usichoke kuzungumzia haqq mitume na manabii waliletwa kukumbusha watu juu ya swala zima la kumuabudu muumba moja pekee kutoa Zaka na kufanya yale ambayo waja tumeamrishwa sasa basi ikiwa mtu ataki kufanya kile ambacho aliyemuumba kaamrisha basi tafuta sayari yako ambayo utaiunda mwenywe ukaishi ila kama utabaki katika mgongo wa ardhi lazima ufate maamrisho ya muumba wako
 
Che mittoga karibu sn kwenye uislamu maana unaelezea vzr mno ww ata khilafa ikisimama utaishi vzr maana unaelewa vzr sn . katika dola ya uislamu kipindi cha mtume walikuwepo watu ambao si waislam na waliishi vzr na waislam kwa kua walikuwa wanajielewa hao waliitwa dhimmi
Asante sana Mkuu.
Binadamu ni Lazima Tupendane na Kuheshimiana.
Maana Wote Tupo Duniani Kwa Mapenzi ya Mungu.
Tofauti Za Imani Zisitutenge Kwenye Kushirikiana Katika Mambo Mengine.
 
Chizi wewe ...utawalazimisha vipi watu kuwa na imani sawa na yako ..ilhali kwamba suala la imani lina depends na hiyari ya mtu binafsi .... kwanini umuamuru mtu kumuabudu mungu na mtume ambaye yeye utashi wake una muambia kwamba hastahiki kuviabudu ... kwanini umlazimishe mtu kuchagua kwenda peponi kama wewe ambavyo unavyo amini ...wakati imani yake yeye ina muambia kuwa haitaji kwenda kwenye hiyo pepo ambayo unataka kwenda wewe .....huwenda ikawa imani yake aliyo nayo ina amini kwamba kuna pepo nyingine bora na salama kuliko ile ambayo unayo iamini wewe .....lakini hata kama imani yake haipo sahihi ikitokea akaenda huko motoni wewe kinachokuuma ni nini wakati mwili na energy ni vyake so hata hauwezi ku-share nae feeling za maumivu ya moto ambayo atakuwa ana yapata wakati wa kuchomwa .....

Kwanini mnataka kulazimisha jamii ambayo itakuwa na mtazamo sawa kiimani duniani ...wakati falsafa ya maisha ili dunia iweze kuendelea inahitaji jamii ya watu ambao watakuwa na mawazo tofauti yenye kuzalisha competition ambayo ndio huwa chachu ya maendeleo mahali popote kule ........

Bila shaka itakuwa umefilisika akili
Wewe hujanielewa, au umesoma kwa mhemko.
Ukirudia tena kusoma kwa taratibu na kutafakari hapo uliponinukuu utaweza kuelewa vizuri nilivyo andika na kumaanisha.
 
Che mittoga kaka imaan yako watu imewakela sn ila usichoke kuzungumzia haqq mitume na manabii waliletwa kukumbusha watu juu ya swala zima la kumuabudu muumba moja pekee kutoa Zaka na kufanya yale ambayo waja tumeamrishwa sasa basi ikiwa mtu ataki kufanya kile ambacho aliyemuumba kaamrisha basi tafuta sayari yako ambayo utaiunda mwenywe ukaishi ila kama utabaki katika mgongo wa ardhi lazima ufate maamrisho ya muumba wako
Afadhari wewe umenielewa,
Kuna watu Mada za Dini au Imani wanazisoma kwa mihemko sana no bila kutafakari kwa kina.
Na pia wanaegemea upande mmoja na bila kuruhusu akili itafakari kwenye upande mwingine.
Hao ni vigumu kuchangia Mada za Dini kwa uhuru na bila kuegemea uande wao.
 
Al-Shabaab ni mwanafunzi wa Al-Qaeda.
Wanapigana nia yao kuanzisha utawala utakaofuata misingi ya Kiislamu yaani Sharia, ikiwezekana dunia nzima iwe chini ya Sharia.
Al-Qaeda waliwahi kuitawala Afghanistan na waliweka miongozo ya Sharia, na maisha yalikuwa yanakwenda kama kawaida.
Ndio maana nimeandika hao ni Waisilamu wenye msimamo mkali, na katu hawataki kuchamganyika na watu wasiofuata Sharia.
Ukiangalia mchamgo wangu wa kwanza nimesema wazi Kabisa kuwa wao wanapenda Jamii yote ifuate Sharia na hawataki jambo jingine.
Ndio maana hawajawahi kufanya fujo katika nchi ya Irani kwakuwa ni nchi inayofuata Sharia.
Waislamu wanaoshambuliwa ni Wale ambao hawa fuati miongozo ya Sharia, kwani kwao wanaonekana kama Wasaliti wa Dini ya Kiislamu.
Utambue kuwa Uislamu sio dini pekee, hapo haujakamilika.
Uislamu ni Dola kamili yenye mamlaka ya kutawala watu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Uislamu hauitambui Katiba ya nchi bali unaitambua Qurani na Sunna za mtume TU.
Uislamu ni lazima uambatane na utekelezaji wa Sharia ndio maana Waislamu wanadai Mahakama ya Kadhi, kama utimilifu wa imani yao.
Hivyo kwa mujibu wa Al-Shabaab Tanzania hakuna Uislamu na Waislamu kamili, kwani wanafuata Katiba iliyotungwa na binadamu badala ya Sharia iliyoagizwa na Mungu yaani Allah.

(tuendelee kuchangia kwa nia ya kuelimishana)
Huu si uhayawani sasa
 
Una akili sn ww kaka sipendi nikuitee mkuu maana mkuu ni allah tuu, na historia juu ya wanamgambo hao ni kubwa sn ila imefichwa ndo maana mashabab walipochukua umiliki wa nchi mwaka 2012 ndege ya kwanza kabisa ilitua Mogadishu raia wa kwanza kugusa ardhi ya somali alisujudu sijida ya kushukuru na kusema hakika leo tumepata wakombozi ambao ni al shabab na maisha kwenye utawala huo yalikuwa mazuri sn kenya walipoona biashara zao za kuwauzia wasomali mirungi imekwama wakaamua kuanzisha vita kujifanya wanaenda kuwaokoa watalii waliotekwa, waliingia kwenye vita huku hawajui maana ya vita leo wanajuta wanatamani warudi nyumbani ila wanaona aibu
Ok
 
Msikilize huyo kiongozi wa. Al-Shabaab anavyo zungumza, kwamba Kenya ndio walioanza kuwavamia na kuwafanyia uhalifu na waliwaua raia wa Somalia wasio na hatia, hivyo nao wanalipa kisasi.
Yaani hapo ni kama Mkuki ni Kwa Nguruwe.
1. kwani mkuu kulipa kisasi sio dhambi?
2. unazungumzia vipi mtu kumpigania MUngu ilihali Mungu ni mkuu kuliko vyote? Mungu anashindwa kujitetea mwenyewe mpaka atumia wanadamu?
 
Sio kosa lako kuuliza hvy yawezekana ilmu uliyopipokea ndo inasababisha ufikirie hicho ulichoandika number 2, pia inawezekana kabisa hauna dini kabisaaaa wewe.
Je mungu kwann aliwaumba binaadam duniani ina maana alishindwa kuiacha pekee yake hadi aumbe wanaadam! !
1. kwani mkuu kulipa kisasi sio dhambi?
2. unazungumzia vipi mtu kumpigania MUngu ilihali Mungu ni mkuu kuliko vyote? Mungu anashindwa kujitetea mwenyewe mpaka atumia wanadamu?
 
Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.

Mbona hizo dini zenu mnalazimishia watu, kila mtu anafaa kuwa huru kuchagua imani yake, nyie mumejawa pumba sana.
 
Back
Top Bottom