Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Usinifanye nipigwe ban bure acha kudaganya watu. Nchi ambayo ina waislamu lkn imegoma kufuata itikadi za kishetani kama hao Alshaabu mojawapo ni Saudi Arabia japo bado inajitahidi kutoka katika sheria za zama za giza. Hakuna Muislamu anayeheshimu na kukubali dini ya mtu mwingine isipokuwa ya kwao. Takutajia hata viongozi wa Tanzania waislamu walioheshimu dini zingine ambao ni Karume (mtoto wa raisi wa kwanza Zanzibar). Nakumbuka siku moja Machui kanisani alialikwa. Alitoa wosia wa namna ya kuishi kwa upendo na amani huku tukiheshimu dini zote.Tembelea Jukwaa la Jamii Intelligent utanikuta.
Toka jana nachangia mada inayosema.
" Wakatoriki ni nini hii ? "
Soma na mada nyingine huko utaniona tu.
Ni Jukwaa ninalolipenda sana.
Nimesema hapo kuwa, hii mada nimeiandika sio kwa ubinafsi wangu bali ki uchambuzi wa Kisomi.
Kwanza wewe sikuoni kwenye majukwaa ya Dini.
Huko sisi wenyewe tunajuana kuna akina Masudi mushahala, huko wataalamu wa mambo ya imani.
Hivi unajua kuwa Marekani ndio waanzilishi wa Al-Qaeda ?
Na huyo Osama Bin Laden alipata mafunzo ya ujasusi huko Marekani ?
Soma Kijana.