Al Jazeera yazidi kuikalia kooni serikali ya Rais Samia

Al Jazeera yazidi kuikalia kooni serikali ya Rais Samia

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,061
Reaction score
136,424
Heko tele ziende kwenye kituo cha Al Jazeera kwa kuendelea kuyamulika yanayoendelea Tanzania.

Jana/ leo wamerusha habari za Boniface Mwangi kutekwa na kuteswa na vyombo vya usalama vya Tanzania.

Kama bado haijatokew basi muda si mrefu itatokea.

Serikali ya Samia itakuja kukifungia kituo cha Al Jazeera kufanya kazi nchini.

Si vigumu kuona kuwa siku za Al Jazeera nchini, zinahesabika.

Tayari sisi ni banana republic. Pia, muda si mrefu tutakuwa ni ‘pariah state’, endapo mambo hayatobadilika haraka.


View: https://youtu.be/0c-Puhlmobo?si=h-qjaw3giJFCsE1B
 
Hakuna kitu rahisi kwa sasa kama kuiomba Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi dhidi ya Samia na Viongozi wa vyombo vya dola vya Tanzania kwa makosa dhidi ya Ubinadamu ya Enforced disappearance na Extra Judicial killings (Murder).

Kwa namna anavyotangazwa duniani kwa sasa tena na vyombo vikubwa kabisa vya habari duniani, ni move moja tu ya Chadema kwenda ICC inamaliza hili Jambo. Ndani ya muda mfupi tutaona Hati za Kukamatwa zimetolewa dhidi ya Samia na Viongozi wake wa vyombo vya dola.

Nimewapa ushauri wangu Chadema. Kama wako Serious kweli kuibadilisha Tanzania wakomae sasaivi na kuiomba ICC kuanzisha Uchunguzi rasmi.

Watumie Wanasheria wa ndani na nje ya nchi kulikamilisha hili.
 
Hakuna kitu rahisi kwa sasa kama kuiomba Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi dhidi ya Samia na Viongozi wa vyombo vya dola vya Tanzania kwa makosa dhidi ya Ubinadamu ya Enforced disappearance na Extra Judicial killings (Murder).

Kwa namna anavyotangazwa duniani kwa sasa, ni move moja tu ya Chadema kwenda ICC inamaliza hili Jambo. Ndani ya muda mfupi tutaona Hati za Kukamatwa zimetolewa dhidi ya Samia na Viongozi wake wa vyombo vya dola.

Nimewapa ushauri wangu Chadema. Kama wako Serious kweli kuibadilisha Tanzania wakomae sasaivi na kuiomba ICC kuanzisha Uchunguzi rasmi.

Watumie Wanasheria wa ndani na nje ya nchi kulikamilisha hili.
Kwakuwa Mbowe sio Mwenyekiti wa CDM kwa wakati huu, hili litawezekana sasa
 
Daah sijui nani anamdanganya Mama yaani katika vitu rahisi ni kuongoza Tanzania hata hao wakina Chadema asingetumia nguvu kubwa wangepata Ubunge tu na maisha yangeendelea kwa hiki anachokifanya kupitia jeshi sio kizuri kimetuchafua sana Kimataifa ile heshima ya Tanzania iliyojengeka kwa muda mrefu kutoka kwa Mwasisi Mwalimu JK Nyerere imebomoka sana.
 
polisi wamekana kuwa sio wao.kama kawaida yao.
Tungekuwa ni umiliki wa silahaa unatoa hata kafara ili wasiwe wanakana
Hakuna haja ya kufika huko. Hawa dawa yao ni kuchunguzwa na ICC na badae zinatolewa rasmi Hati za Kuwakamata.

Hati zinatolewa kumkamata Samia, DGIS, IGP, Kamishna Awadh, SACP Mafwele, RC Mbeya Homera, Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa, Katibu wa Rais Wazir Salum.
 
I don’t know what the morning news are reporting in your world.

Huku kwetu ‘Pepper Pig’ has a little sister named ‘Eve’ndio habari ya week hii


View: https://m.youtube.com/watch?v=9PCcRiaUG80

Sasa ukiona Pepper Pig anachukua headline maana yake hakuna interesting news kwa mtazamo wa mabeberu duniani.

Hao wakenya waache fujo nchi za watu
 
Hakuna haja ya kufika huko. Hawa dawa yao ni kuchunguzwa na ICC na badae zinatolewa rasmi Hati za Kuwakamata.

Hati zinatolewa kumkamata Samia, DGIS, IGP, Kamishna Awadh, SACP Mafwele, RC Mbeya Homera, Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa, Katibu wa Rais Wazir Salum.
Nadhani hili linatakiwa kufanyiwa kazi haraka sana ili upuuzi huu usiwepo tena, nchi hii ni yetu sote. Haiwezekani HAWARA wa Rais akatusumbua watu milioni 60+ namna hii.
 
Hakuna kitu rahisi kwa sasa kama kuiomba Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi dhidi ya Samia na Viongozi wa vyombo vya dola vya Tanzania kwa makosa dhidi ya Ubinadamu ya Enforced disappearance na Extra Judicial killings (Murder).

Kwa namna anavyotangazwa duniani kwa sasa, ni move moja tu ya Chadema kwenda ICC inamaliza hili Jambo. Ndani ya muda mfupi tutaona Hati za Kukamatwa zimetolewa dhidi ya Samia na Viongozi wake wa vyombo vya dola.

Nimewapa ushauri wangu Chadema. Kama wako Serious kweli kuibadilisha Tanzania wakomae sasaivi na kuiomba ICC kuanzisha Uchunguzi rasmi.

Watumie Wanasheria wa ndani na nje ya nchi kulikamilisha hili.
Weweeeee hzo ni minor prevalence hawelawez kutumia resources kwa heresay labda wawe wamebadikisha policy zao wasifanye uchunguz Kenya walikovamia bunge au kongo au Sudan waje kuharibu resources kwa watu wanakula vzr wacha uzwazwa kuna threshold of cruelty bado hata kuangaziwa Tanzania bado
 
Hakuna kitu rahisi kwa sasa kama kuiomba Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi dhidi ya Samia na Viongozi wa vyombo vya dola vya Tanzania kwa makosa dhidi ya Ubinadamu ya Enforced disappearance na Extra Judicial killings (Murder).

Kwa namna anavyotangazwa duniani kwa sasa tena na vyombo vikubwa kabisa vya habari duniani, ni move moja tu ya Chadema kwenda ICC inamaliza hili Jambo. Ndani ya muda mfupi tutaona Hati za Kukamatwa zimetolewa dhidi ya Samia na Viongozi wake wa vyombo vya dola.

Nimewapa ushauri wangu Chadema. Kama wako Serious kweli kuibadilisha Tanzania wakomae sasaivi na kuiomba ICC kuanzisha Uchunguzi rasmi.

Watumie Wanasheria wa ndani na nje ya nchi kulikamilisha hili.
Hati zikitolewa tatizo linaisha?
Wangapi hati za kukamatwa zilitolewa mpaka leo wanadunda tu.

Kesi inahitaji ushahidi sio hizo claims.
 
Weweeeee hzo ni minor prevalence hawelawez kutumia resources kwa heresay labda wawe wamebadikisha policy zao wasifanye uchunguz Kenya walikovamia bunge au kongo au Sudan waje kuharibu resources kwa watu wanakula vzr wacha uzwazwa kuna threshold of cruelty bado hata kuangaziwa Tanzania bado
Hearsay?

Una akili vizuri wewe??

Unasemaje hearsay wakati records zipo kabisa za wapinzani wa kisiasa waliochukuliwa na vyombo vya dola na kuuwawa na wengine kupotezwa hawajulikani walipo hadi leo?

Kama Kenya hakuna aliyefanya such move kuwaomba wachunguze, haimqanishi Tanzania pia tusifanye hiyo move!

Mahakama ya Kimataifa inaweza kuanzisha uchunguzi wenyewe wa makosa ya Jinai kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa endapo itaombwa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom