Kama wanaongezewa nguvu kwa njia hii basi na waende tu ila wajiandae na yatakuyowapa ni shea yao halali. Na kubwa kuliko wasitushirikishe. Huu ni ujinga wa kwenda kutafuta utajiri kwa mganga ambaye hana hata radio ya mchina!ooops, babu umeng'aka sana mbona??Hupendi akina mama wakienda ongeza nguvu za kike kidogo??
mimi kama ni mke wangu narudisha kwao haraka .....Bi dada akaenda guesti
Akamvua kyupi, akaanza kumnyonya VV afu anatemea kwenye hicho kitambaa
Akarudia mara nyingi weeeee
Akapiga magoti akaanza kuvua sarawali yake
Swali kwa wakaka, kama ni mkeo unamwacha?
Swali kwa wadada, inalipa? hata kama asingemwingilia, ila ile kunyonywa tu na kupewa dawa kwa ajili ya ndoa, inalipa??
Huo ni ulimbuken na kukurupuka kufanya mambo bila kufikir nadhan huyu aliye enda angeomba ushaur hata humu ndan angepata
Kuanzia kesho na mimi nakuwa MGANGA..............lol