Akina dada, mtafanya mauaji haya mpaka lini?

Jamani mnapoanza kukataa kujua sababu za utoaji huo wa mimba hizo, ni sawa na kutibu malaria wakati mazalia ya mbu bado yako kibao.

Sasa na wale madaktari wanaotoa mimba ili kuokoa maisha ya mama nao ni dhambi?? Hebu tuache kutreat sympoms tudeal na root causes ndicho nisemacho mie. Kama ni maadili tudeal na maadili lakini haitasaidia kitu kama tunaruhusu tabia mbovu zizaliwe huku tukisubiri kuzicondem wakati matatizo yeshatokea

Fikiria binti yako ambaye ana umri wa miaka 15 au 16 yuko sekondari na anafanya vizuri sana kimasomo kuna mpumbavu mmoja kamdanganya na hatimaye kumtia mimba. Kama Mzazi katika hali kama hii huwezi kukubali binti yako apoteze elimu yake kwa kuendelea kuwa na hiyo mimba, ili kuhakikisha binti yako anakuwa na bright future ni lazima ufanya maamuzi magumu mno. Miye sifagilii kabisa utoaji mimba lakini kuna wakati mwingine kama alivyoelezea MJ1 hapo juu kama Mume unakuwa huna jinsi.
 
Halazimishwi na kwani unafikiri anapenda kubeba hovyo? sometimes si bahati mbaya tu au kwa sababu sisi viungo vyetu ndio vinavyopokea ndio maana mnatupia tu lawama mwanamke. lawama ni kwa wote tu. Kwani kama ni kuua hata kutumia condom ni kuua kwani mungu ameruhusu watu kutumia condom?

Mi ndo hapa huwa tunabishana na wanawake wengi eti bahati mbaya hakuna bahati mbaya ni uzembe labda kama umebakwa umepanua miguu kwa raha zako ukaona haitoshi ukaamua kukunama ili iingie vizuri kwa raha zako kesho unapata mimba unasema imeingia kwa bahati mbaya mm hapo hatuelewani wallah huo ni uzembe
 
MJ1 kutoa mimba kwa kuokoa maisha ya mama pia hata ya huyo mtoto ni sawa.Swala la kwamba watu hawataki kujua sababu siafikiani nalo..tatizo ni kwamba sababu na visingizio vilivyozoeleka sio kama hazizuiliki.Nyingi watu hua hawaziangalii/jali mpaka mimba itunge ndo mtu anagundua kwamba huyu mwanaume hafai kuzaa nae.Kama mtu anataka starehe bila karaha ya mimba kama wanavyoona wao wafanye kila wawezalo kuzuia kupata mimba badala ya kufanya kosa na kutaka huruma hapo hapo.
 
Fikiria binti yako ambaye ana umri wa miaka 15 au 16 yuko sekondari na anafanya vizuri sana kimasomo kuna mpumbavu mmoja kamdanganya na hatimaye kumtia mimba. Kama Mzazi katika hali kama hii huwezi kukubali binti yako apoteze elimu yake kwa kuendelea kuwa na hiyo mimba, ili kuhakikisha binti yako anakuwa na bright future ni lazima ufanya maamuzi magumu mno. Miye sifagilii kabisa utoaji mimba lakini kuna wakati mwingine kama alivyoelezea MJ1 hapo juu kama Mume unakuwa huna jinsi.

Kama unampenda kweli mtoto wako kwanini usim-support kwa wakati mgumu wa ujauzito,
ajifungue then umrudishe shule?

So bora kuua tu kisa rehema ipo utaomba msamaha badae?
 
Mi huwa nawasusia mm jukumu langu nikuzamisha yeye ndo atajijua kama yupo kwenye joto baridi ni jukumu lake

Mi ndo hapa huwa tunabishana na wanawake wengi eti bahati mbaya hakuna bahati mbaya ni uzembe labda kama umebakwa umepanua miguu kwa raha zako ukaona haitoshi ukaamua kukunama ili iingie vizuri kwa raha zako kesho unapata mimba unasema imeingia kwa bahati mbaya mm hapo hatuelewani wallah huo ni uzembe

Hongera sana bwana mkubwa
 
Kama unampenda kweli mtoto wako kwanini usim-support kwa wakati mgumu wa ujauzito,
ajifungue then umrudishe shule?

So bora kuua tu kisa rehema ipo utaomba msamaha badae?
Nakuunga mkono kwa asilimia moja na tano.Aunt yangu mmoja alipata mimba akiwa form two akatulia nyumbani baada ya kujifungua akarudi shule.Mzazi akitaka inawezekana sana...elimu ipo na itaendelea kuwepo.
 
Nakuunga mkono kwa asilimia moja na tano.Aunt yangu mmoja alipata mimba akiwa form two akatulia nyumbani baada ya kujifungua akarudi shule.Mzazi akitaka inawezekana sana...elimu ipo na itaendelea kuwepo.

Aliye nizaa mimi alikua na miaka 15 that time,std7
pamoja na purukushani zote hakutoa mimba (ambayo ndo mimi huyu),...
alistrugle mwenyewe,jana kafikisha 39years na last year kachukua masterz yake!

Nimegundua humu kuna watu wametoa mimba nyingi sana,ili wapate peace ndani ya mioyo yao wana jaribu kutetea abortion!
 
Hapo kwenye red inawezekana tu iwapo huyo dada alibakwa.
Zaidi ya hapo hamna wakumtupia lawama zaidi ya mwanamke mwenyewe.Swala la mwanaume kukataa mimba au mwanaume kutokidhi sifa za mdada kutaka kuzaa nae ndo mara nyingi hua linatumiwa kama kisingizio.
Huko ni kukataa majukumu yaliyotokana na matendo binafsi...kama mtu ulimwona anafaa kuhusiana nae kimapenzi bila tahadhari iweje baadae mtu aseme ahhhh mi simpendi kwahiyo siwezi kuzaa nae???
Mwanaume anaekataa mimba yake nae ni yule ambae anahisi/ona hayuko tayari kuwa na majukumu makubwa kama kulea mtoto kwahiyo wanachagua njia rahisi na kukataa matunda ya kazi zao.Ubaya wa hapa ni kwamba mara nyingi sisi wadada hua tunajiachia bila kujua malengo ya wenzetu yako wapi.Tue na mazoea ya kuongea na kuwachimba kujua kama kitu flani kikitokea je itakuaje....sio hujui hata kama mwenzako atapenda kua na mtoto huko mbeleni alafu we unajilegeza mpaka kupata mimba.

Kitu kingine ni kwamba kama unajua hutaki ama huwezi kua na uwezo wa kulea mtoto iwe mwenyewe au na mwenzako.....USIHUSIANE KIMWILI AU ATLEAST KUA MUANGALIFU.
Starehe zako zisiwe tabu kwa vimalaika vya Mungu maana kuna watu wanatoa mpaka imekua mazoea!!!


Well said Lizzy ni kweli kabisa HASA kwa wale wanawake ambao wanafanya kwa starehe.hawajashurutishwa wala kulazimishwa. Mara nyingi huwa ninaamini mwenye say ya mwisho juu ya mwili wake ni MWANAMKE ALIYE KWENYE UHUSIANO NNJE YA NDOA!!

Waliobaki wote tuko subjected na circumstance ambazo kusema ukweli zinatuweka kwenye risk nyingi sana. Utoaji wa mimba hata kwa wanandoa hufanyika tusiconfine tu kwa wasichana ....unless tukiamua kuspecify hivyo. So kama lilivyo janga la UKIMWI kwa wanandoa, the same applies kwa suala la mimba.....kuna circumstances ambazo mwanake anakuitana nazo anajikuta hana jinsi..............hebu fikiria mmama wa kijijini ambaye hana hata say juu ya mwili wake sembuse kutumia kinga?? hajui haki yake kama mwanamke, hajui ajihami vipi anapolazimishwa siku ambazo anajua kabisa ni hatari...........afu mwisho wa siku mume anamwambia sitaki mtoto.....tayari ana mimba..................hana mbele wala nyuma, ana watoto wadogo sasa azae ili aachike au afuate matakwa ya mume?

Scenerio ni nyingi sana na kila mmoja ukiielezea kiundani utaona kabisa inajustify atachokifanya mtu ndio maana nasema instead of just pointing fingers kwa waliotoa mimba tuangalie na mambo yanayosababisha kuwepo na mimba zisizotakikana!!
 
Kama unampenda kweli mtoto wako kwanini usim-support kwa wakati mgumu wa ujauzito,
ajifungue then umrudishe shule?

So bora kuua tu kisa rehema ipo utaomba msamaha badae?
Speaker ni kweli kabisa usemayo lakini ni wangapi wako na moyo kama wa mama yako?? jamani tuepuka kujudge upesi.............wapo wenye uwezo wa kuwasupport na wale ambao hivyo tu bila mtoto mwenye mimba kuishi ni tabu na msisahau wazazi wengine binti kapata mimba baba anakuwa mbogo kwa wote mtoto na mke ........................ jamani acheni kabisa nyie ndo maana nasisitiza kuangalie zaidi namna ya kuzuia haya na si kunyoosha vidole
 
kweli ila wanajamii wenzangu ndio maana wababaduaji wamesema kuwa kuna mtu na binadamu..zaidi tuache tujifunze kuona kibaya kikatazwe kila mahali tukiweza kurejesha hali ile ya zamani kila mtu kukemea tutashinda kama tuk=tafuata umagharibi kwisha habari yetu.
 
Aliye nizaa mimi alikua na miaka 15 that time,std7
pamoja na purukushani zote hakutoa mimba (ambayo ndo mimi huyu),...
alistrugle mwenyewe,jana kafikisha 39years na last year kachukua masterz yake!

Nimegundua humu kuna watu wametoa mimba nyingi sana,ili wapate peace ndani ya mioyo yao wana jaribu kutetea abortion!

Pole sana watu tuna watoto wakubwa tu tumewazaa toka tuko darasa la tano nini wako darasa la 7 mpaka tunawajukuu. Peace ndani ya moyo haiwezi kuletwa jf kuna sehemu za kuipatia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mi huwa nawasusia mm jukumu langu nikuzamisha yeye ndo atajijua kama yupo kwenye joto baridi ni jukumu lake
Ahaaaa ahaaa homeboy nimekwambia lazima nikupe Groan za kutosha kuna mtu TIP TOP tayari kaishabeba lol
 
Speaker ni kweli kabisa usemayo lakini ni wangapi wako na moyo kama wa mama yako?? jamani tuepuka kujudge upesi.............wapo wenye uwezo wa kuwasupport na wale ambao hivyo tu bila mtoto mwenye mimba kuishi ni tabu na msisahau wazazi wengine binti kapata mimba baba anakuwa mbogo kwa wote mtoto na mke ........................ jamani acheni kabisa nyie ndo maana nasisitiza kuangalie zaidi namna ya kuzuia haya na si kunyoosha vidole

Yeye alifukuzwa kwao kabisaaaa,na hata limtu lilo mpa lilimfukuza!
Lakini mbona alivumilia?

Swala ni kuwa tayari kubeba matunda ya matendo yako,..
kubadilisha,...
tutaongea hapa hadi dunia iishe,lakini labda watakao badilika ni wachache wanao weza kusoma humu!
Huku duniani watu wana nyofoa watoto kama wanafumua nywele vile.

kuna mtu namfahamu,mwanachuo katoa zygotes mbili mwaka huu,...huyu nae kashindwa nini kutunza au?
anatoa kwa sababu anapewa ushauri na watu kama maty wasio penda kuona watoto wanaishi
 
Pole sana watu tuna watoto wakubwa tu tumewazaa toka tuko darasa la tano nini wako darasa la 7 mpaka tunawajukuu. Peace ndani ya moyo haiwezi kuletwa jf kuna sehemu za kuipatia

JF ni moja kati ya hizo sehemu!
 
Ahaaaa ahaaa homeboy nimekwambia lazima nikupe Groan za kutosha kuna mtu TIP TOP tayari kaishabeba lol

Kabla ya kumega huwa natoa tahadhari mapema kuwa bwana usije ukaniambia una mimba yangu jukumu la kuzuia mimba hiyo ni lako mwenyewe kwa hiyo anaelewa mapema. Wadada wengi wanapata mimba kizembe zembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom