TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,282
WELL SAID SWEETHEARTWatu inapokuja kwenye realities wanakuwa wanafiki sana ikitokea utoaji mimba oo mungu hapendi kwenye keyboard wakati huko wanafanya, linapoletwa suala la uzinzi hapa unakuta karibu kila mtu anakemea ila huyo huyo anaendelea kufanya uzinzi, so tupunguze unafiki jama uongelewe ukweli ili watu wajifunze.
Mimi sikubaliani tena nasema tena suala la mtu kufyatua watoto hovyo eti kisa kama wewe ungeuwawa ungekuwepo. Dhambi ni dhambi kwa mungu hakuna dhambi ndogo wala kubwa kuua na kudanganya zote ni dhambi moja mbele ya mungu. so watu waeleweshwe madhara ya utoaji mimba na kufanyana bila condom na sio kuhalalisha kuzaa kila kiumbe kiingiacho tumboni.
watu wanazungumzia tu condom hapa lakini asilimia kubwa ya watu wanatumia condom mara chache sana so tupunguze unafiki, ukweli lazima usemwe hata kama ni mbaya machoni kwa watu
Hili suala ni very controversial na tatizo letu tunahukumu kabla ya kujua chanzo
Binafsi ningependa zaidi tuzungumzie why, how, and if neccesary kutoa mimba kwanza ndio mwisho tu-conclude
m