Wanyakyusa Wajanja sana kwa kusaka hela na hasa vibabu. Ila wote tunajua General Mboma ndiyo alikomba za kutosha na kwenda kuzificha Kyela. Yaani haka kawilaya kadogo ila kameshatoa Wakuu wawili wa JWTZ, Msemaji wa Polisi, Mkuu wa Upepelezi Tanzania, Mbunge aliyesababisha Waziri Mkuu ajiuzulu, Mwanakijiji,
Mtanzania, Babu wa Loliondo .......
Sasa hebu
Mtanzania atupe habari zaidi, kwa nini Babu kaanzia kwenye Radio yake ya Kyela FM? Au wewe kijana na wewe umeanza Ujasilimali wa Babu wa Loliondo? Hahahaaaaaa, Wanyakyusa mpo juu sana. Kuna haja ya sisi jirani zenu wa Sikonge tujifunze mengi sana kutoka huko kwenu.