Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,607
- 3,187
Hivi hata anachoongea anakijua kweli.
Jamani kwani kutoka Mbeya kwenda Butiama ni mbali kiasi gani? Ajitokeze mtu mmoja hapo Kyela ampatie Mzee nauli aende tuone atakavyomfufua huyo Nyerere kwa hiyo funguo. Kwa nini tujaze server ya JF juu ya kitu kinachoweza kuthibitishwa kuwa ni ukweli au uongo.
Tiba