Ajitokeza kumfufua NYERERE

Ajitokeza kumfufua NYERERE

944738_554285484630700_523909365_n.jpg



MAAJABU YA MBEYA HEBU SOMA HII KWA MAKINI KABISA.

Huyu mzee alifika katika studio za Kyela FM,

anasema yeye anahitaji Msaada anataka kwenda kumfufua Mwl. Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa aliyefariki Miaka 15 iliyopita,

Na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia!

Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na Mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015.

Na pia anaibashiria CCM kuwa mshindi atatoka katika chama cha CCM.

Hawa wa dini hiyo,huwa wanaamini mambo ya uchawi na miujiza,usishangaye ndio kawaida yao.
 
Si aanzie kufufua wafu wa huko mbeya kwanza, kabla hajapelekwa anapotaka yeye,
kufufua yeye na kutabiri yeye!
 
Kwan hawa wa dinii Hii na hao wengine WAP huwa wanakabidhiwa majini ya kuwalinda tangia wakiwa wadogo na ni wapi ni watabiri na wanajimu???
 
Sim'bishii huyo babu anasema kweli kabisa, hivi hamjui kwamba hii nchi inaongozwa na mizimu? 75% ya viongoz wa CCM na serikali yao wote ni mizimu tu, wenyewe walishakufa muda mrefu sana na hii iliyopo sasa ni mizimu yao!


Mhhhhhhhhhhhhh! Usitishie watoto wakashindwa kulala usiku.
 
Kabla hajasema CCM itashinda 2015 aulizwe kuna vyama vingapi nchini?yaweza kuwa ndio wale wazee wanaodhani bado tuko enzi ya chama kimoja...by the way pia atupatie na historia yake kwenye utabiri mpaka sasa.
 
Psychiatry hii apelekwe mirembe fasta coz atasumbua watu sana.
 
Alianza vizuri, mwishoni akaboronga, hivyo amechemka moja kwa moja, hamna atakalofanikiwa!
 
Hahahaaaaa wonderz never end ..kwakweli..!!sometimes ukiwa na stress usikimbilie viroba vinakwangua utumbo ingia JF tu utamaliza stress zako zooooote
 
944738_554285484630700_523909365_n.jpg

Imani inapokuwa mzigo

MAAJABU YA MBEYA HEBU SOMA HII KWA MAKINI KABISA.

Huyu mzee alifika katika studio za Kyela FM,

anasema yeye anahitaji Msaada anataka kwenda kumfufua Mwl. Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa aliyefariki Miaka 15 iliyopita,

Na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia!

Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na Mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015.

Na pia anaibashiria CCM kuwa mshindi atatoka katika chama cha CCM.

Imani inapokuwa mzigo
 
944738_554285484630700_523909365_n.jpg



MAAJABU YA MBEYA HEBU SOMA HII KWA MAKINI KABISA.

Huyu mzee alifika katika studio za Kyela FM,

anasema yeye anahitaji Msaada anataka kwenda kumfufua Mwl. Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa aliyefariki Miaka 15 iliyopita,

Na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia!

Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na Mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015.

Na pia anaibashiria CCM kuwa mshindi atatoka katika chama cha CCM.


Kama Mungu aliumba watu wengi na kila mtu anafinga print tofauti na mwenzake nadhani pia kuna tofauti ya kuamini kwamba ufufuko utafanywa na Mungu pekee.
 
Hizo ni laana za uzeeni, anashindwa kukaa nyumbani na wajukuu zake kupindi hiki cha baridi aote moto anazurura barabarani na hoja zake zisizokuwa na msingi. kwanza ccm wenyewe hata Yesu arudi leo na kutaka kumrudisha Nyerere hawakubali hata kwa dawa maana wanajua hawezi kukubaliana nao katika haya wanayoyafanay
 
Wanyakyusa Wajanja sana kwa kusaka hela na hasa vibabu. Ila wote tunajua General Mboma ndiyo alikomba za kutosha na kwenda kuzificha Kyela. Yaani haka kawilaya kadogo ila kameshatoa Wakuu wawili wa JWTZ, Msemaji wa Polisi, Mkuu wa Upepelezi Tanzania, Mbunge aliyesababisha Waziri Mkuu ajiuzulu, Mwanakijiji, Mtanzania, Babu wa Loliondo .......

Sasa hebu Mtanzania atupe habari zaidi, kwa nini Babu kaanzia kwenye Radio yake ya Kyela FM? Au wewe kijana na wewe umeanza Ujasilimali wa Babu wa Loliondo? Hahahaaaaaa, Wanyakyusa mpo juu sana. Kuna haja ya sisi jirani zenu wa Sikonge tujifunze mengi sana kutoka huko kwenu.

SAHIHISHO:Jenerali Mboma si mnyakyusa na wala hatokei kyela,kabla lake ni mmalila kutoka ileje,mbeya.
 
944738_554285484630700_523909365_n.jpg



MAAJABU YA MBEYA HEBU SOMA HII KWA MAKINI KABISA.

Huyu mzee alifika katika studio za Kyela FM,

anasema yeye anahitaji Msaada anataka kwenda kumfufua Mwl. Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa aliyefariki Miaka 15 iliyopita,

Na huo ufunguo ameushika mkononi ndiyo wa kumfufulia!

Madai yake mzee huyu anasema anaenda kumfufua na Mwalim ndiye atakuja kusimamia uchaguzi wa mwaka 2015.

Na pia anaibashiria CCM kuwa mshindi atatoka katika chama cha CCM.

Mwigulu Nchemba Njoo umchukue huyu mzee atawaongezea sana umaarufu!!
 
Last edited by a moderator:
Sim'bishii huyo babu anasema kweli kabisa, hivi hamjui kwamba hii nchi inaongozwa na mizimu? 75% ya viongoz wa CCM na serikali yao wote ni mizimu tu, wenyewe walishakufa muda mrefu sana na hii iliyopo sasa ni mizimu yao!

Du!!we ndo umeua bendi kabisa!!!!
 
Back
Top Bottom