Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,706
- 96,276
ICT ni sayansiict ujui upo group gani duh
ICT ni sayansiict ujui upo group gani duh
Inaweza ikawa ni sayansi lakini wakawa awana uitaji nayoICT ni sayansi
Wewe tuma mambo mengine baadayeICT N sayansi ,computer science na computer Engineering
Ina maana sisi wa primary hatuajiriw?
Mkuu na wewe ni mmoja wao nini uliepatwa na jiwe liliorushwa gizani?polis wanatakiwa wadeal na watu kama wewe uliyepost uongo.
nahisi ni weweMkuu na wewe ni mmoja wao nini uliepatwa na jiwe liliorushwa gizani?
huo ni wivuMimi nimefurahi haiwezekani tangu nimegraduate 2011 $ijapata kazi ma dogo wa 95 wanizidi milisoma ESM
Huo ubish wako utakuchelewesha...deadline n 16th..amkapolis wanatakiwa wadeal na watu kama wewe uliyepost uongo.
Sio kwamba sanaa haitajiki ila sasa hivi uhitaji wa walimu wa sayansi na hesabu uko juu sana na wakati walimu.wa sanaa kwenye ajira ni wengi sana. Kuna shule moja ya sekondari hapa Dar ambaye nimeshuhudia walimu wa masomo ya sanaa wanagawana topic na siyo vipindi.kama ni kweli basi tena Sanaa waifute nchini
Hyo ni zaid ya hatar...Je na waliomaliza 2016 awata ajiriwa mbona waoo awajaambiwa watume vyeti
hio shule kiboko akati shele nyingi za vijijini walimu hata hao was sanaa ni mbinde kuwakutaSio kwamba sanaa haitajiki ila sasa hivi uhitaji wa walimu wa sayansi na hesabu uko juu sana na wakati walimu.wa sanaa kwenye ajira ni wengi sana. Kuna shule moja ya sekondari hapa Dar ambaye nimeshuhudia walimu wa masomo ya sanaa wanagawana topic na siyo vipindi.
Hata hivyo ajira ziko hata nje ya serikali..Mi sielewi dhana ya watanzania kila mtu aliyempata degree lazima kuajiriwa na serikali wanaipata wapi. Private sector zipo zinaajiri pia. Hayo masomo ya sanaa nayo yanahitajika ila watu hawajaweza kufikiria mwajiri mwingine tofauti na serikali. Kuna wakati Misri walihitaji walimu 1000 wa kiswahili wenye level ya phd hapa Tanzania wakokosa. Walitaka kuanzisha program kwenye univeristies zao. Nawashauri watu wafikirie hata waajiri wengine ndo wataweza kuona kuwa hakuna ya kufuta sanaa kwasababu serikali haijawaajiri.
Hahahaha kwa hiyo wajaribu tu sanaa mbona Diamond ameweza japokua hajasomea sanaa km wao.Habari ipo ivo wakuu kama mnabisha ingieni kwenye tovuti ya wizara...hapa ni hesabu na sayansi tu......wa sanaa tukaimbe bongofleva
Sasa kama umeweza kuingia JF siungie www. Moe.go.tz uangalie inaonekana mnapenda story kuliko kingia tovuti!!Kunaukweli jamani hapa?