Ajira za walimu zimetoka

Ajira za walimu zimetoka

Ina maana sisi wa primary hatuajiriw?
Kila mwezi unatoa taarifa za mshahara acha utani.

Na yule nani mara nyingi anaibuka tarehe 22,,anaitwa Mbingo ndio bingwa wa kuuliza mshahara hapa Jf.
 
Kila mwezi unatoa taarifa za mshahara acha utani.

Na yule nani mara nyingi anaibuka tarehe 22,,anaitwa Mbingo ndio bingwa wa kuuliza mshahara hapa Jf.
Hahaaa,ni kweli mkuu..but najaribu kuwasemea vijana walo hitimu mafunzo ya Grade A..najaribu kuvaa uhusika.
 
Kutotoa taarfa sahh mwanzn kumepelekea hata vjana kubweteka.... haya sasa msimu wa klm tuchangamkie fursa jmn
 
Ajira za walimu hewani ila ni kwa wale walimu wa sayansi pamoja na hesabu. Ndugu zangu na walimu wenzangu wa masomo ya sanaa hii hawamu ya tano hawatuhitaji.

Kama wewe ni mwalimu wa kiswahili, english, geography n.k hebu anza kutafakari nini hatima ya maisha yako, usikae ukapoteza muda kwakusubilia ajira. Tafuta namna nyingine yakukukwamua ktk maisha.
Eti ualimu ajira za kijinga
 
wakt wa wanakemia huu.....ndugu zangu wana art msife moyo,ipo siku mtatusua tu.
 
Ndugu yangu habari ndiyo iyo kama ulisoma kishazi huru ishakula kwako
Wewe jamaa mjinga hahahahahah umeniacha hoi kabisa ,nimecheka mpaka watu wameshanga duuu you made ma day ,kishazi huru
 
Back
Top Bottom