Ajira za walimu zimetoka

Ajira za walimu zimetoka

Sikuzote aliyesoma Sayansi humdharau aliyesoma Arts... Ndio ipo hivo... Tafsiri ni yako usinihusishe
 
Na masamo ya biashara yapo kundi gani harafu kimyaaaa
 
>>> wale WALIOSOMA Physica Education and SPORTS na BIOLOGY kama MASOMO Ya kufundishia wAnatuma ??>>
 
Chakushangaza wamedahili walimu wa arts wengi mwaka huu mpk wanalala wawiliwawili vitandani

Huyu mama huyu Mungu anamuona
 
Unaacha kuajiri walimu unawaza kununua ndege
Ni Sawa na kukimbia Bila breki!
 
Back
Top Bottom