Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

Kama kuna watumishi wa umma mil 2. Maana yake.kila.mtu kuna watu kumi nyuma yake ambao ni dependants directly or indorectly. Maana yake kuna watu 20Mil wanaoathirika na agenda hiyo. Utumishi wa umma kwa ujumla upo frustrated. Naona vyombo ya ulinzi na usalama.na wanasiasa ndo wananeemeka na nchi yetu. Hawa ambao wanaenda kutekeleza miradi ya afya, elimu, maji, umeme na vinginevyo wao hawapewi kipaombele kama miradi yenyewe. Ni rahisi sana kutibua mfumo wa itumishi wa umma ila itachukua miaka kuirejesha ikakaa vyema.

Miaka ilopita kumekukuwa na maboresho kadhaa ya kanuni za utumishi wa umma pamoja na mfumo mzima, ila miaka mitatu ilopita tangu awamu ya tano ianze, utumishi wa umma umezoroteshwa, matokeo yake yanaweza yasionekana ila najua laana kubwa itawakumba hawa wanayotekeleza haya.

Ukienda kwenye.mamlaka za serikali vyeo sasa hivi vimeanza tena kutolewa kwa upendeleo na kujuana, ikiwa ni pamoja na ukabila au ukaribu. Jambo ambalo linafanyika kwa siri.na hivyo si rahisi kuonekana kwa sasa.

Mishahara kutopanda huku vyakula na mahitaji mengine vinapanda bei ni jambo la hatari, viongozi wetu wa kitaifa hawaoni haya kwasababu wao na familia zao wanakula.na kushiba, huku wakijificha kwenye kivuli cha kutekeleza miradi ya maendeleo bia kuwafikiria wasimamiaji na watekelezaji wa miradi hiyo.

Siku watumishi wa umma wakikosa chakula, viongozi na mnaowatetea mtakuwa vyakula vyao.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
Nadhani kuna mahali watu hawajafikiri vizuri. Hii ajenda ya maslahi kwa watumishi wa uma ,hasa ogezeko la mishahara na kupanda vyeo si ajenda ya kupuuza hata kidogo.

Kwa maoni yangu hakuna kitu hatari kama hiki ,kwa sababu hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja. Huu ni mkate wa kula siku na binadamu akianza kukosa mkate ,ubinadamu huanza kumtoka na unyama huingia kwa kasi ya kutisha.

Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.

Nataka nishauri ,tena natoa ushauri huu kwa moyo safi kabisa. Swala hili kama litaendelea kupuuzwa tutakuwa tunatengeneza hatari kubwa sana. Sitaki yatokee mabaya. Kama kuna watu wanawashauri vibaya viongozi ,watu hao waache Mara moja.
Ninachojua kuna uoga au unafiki kwa wale wanaomwakilisha Rais kwenye mikutano mbalimbali ya makubaliano kuhusu maslahi ya watumishi.

Naamini kuna loose gap somewhere, mtu badala ya kufikisha a complete message anachekacheka kwa mh rais badala ya kwemeleza ukweli wa kilichojadiliwa au maazimio.

Hii ni hatari sana kwa sababu mh Rais naye anatumia roophole hiyo hiyo kupiga kimya au kutekeleza sawa na alivyofikishiwa message, mathalani akiambiwa "TUCTA wamesema haina shida mh rais hata ukiongeza mshahara 2020 hairakuwa shida watumishi hawana nomer" naye hajisumbi kuumiza kichwa course dahamira yake si hiyo na hapati msukumo wa kweli kwenye hilo.

Hatari wanamwaribia Mh rais sana tu.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Kujipendekeza kubaya sana. Suala linaloongelewa ni mhimu kwenye maisha ya watumishi wa umma na sector zingne. Utateteaje kitu kima hiki kimahaba na kulinganisha na vyama siasa? Utafanyaje kazi miaka minne bila nyonngeza mshahara na maisha yazidi kupanda?
 
Kuna watu wanajitoa ufahamu kisa tu wanaona watumishi wako kimya,wanadhni labda Ni waoga kihivyo.Pia wanadhani kwamba wanatuweza.Wanatumia kila aina ya vitisho,watumishi wako kimya tu.Ukimya huu umezaa haya:
1:Kiburi
2:kejeli
3: Dharau
Mtu anasema:
1:Ukiwa unapesa unachagua cha kuanza kanunua
2:Maslahi yameboreshwa kwenye barabara,maji,umeme,shule,afya Nk
3: Mishahara mpaka tujenge uchumi
4:Naibu spika Na chama chake ana kataza kujadili maslahi
5: Propaganda za eti tume ya mishahara
Katika Hali ya kawaida,kama kuna huduma Bora za maji,elimu,afya nk,wanaosababisha huduma Bora Ni watumishi.Taasisi zinaweza kuwa Na kila kitu lakini watumishi wakaamua kususia utendaji,je Hali itakuaje?
Hali hii tunaiona huku ubadhirifu wa Bila sababu za msingi tunauona,na huku watumishi tukitelekezwa.
 
Wote ni mbuzi tu.

Mtamfanya nini?

Tume ya uchaguzi na wasimamizi wake wote ni watoto wake kawataur wao.

Angalia uchaguzi wa jimbo ya Nassari ulivyofanyika.
Titatak kwisha.

Hata akiamua kushusha mishahara mtamfanyejw kwa mfano?
Mtamsemea kwa mabeberu yenu?

Tulizeni boli.
Sawa iwaingie taratibu

Na mwaka 2025 anamuwek Makonda. Dadeki
Mkuu, nimekuelewa. Kamongo mkuu anawaona watumishi wote ni sisimizi ambao hata wakikanyagwa wanakufa bila kupiga kelele.
Tuna jambo la kufanya hapa. Kuwashauri watumishi wa umma kuacha kumpigia kura kamongo mkuu na wenzake. Halaf kila mtumishi amshawishi mwenza wake na wote wawili wawashawishi marafiki zao mmoja mmoja tu. Kura hizo ziende upande wa pili.
Naamini kwabkufanya hivyo makamongo watabaki salama lakini heshima itapatikana.
Watumishi fungeni midomo na kuchapa kazi kadri ya vitendea kazi na mazingira, ila msisahau kupiga kura kwa nia moja ya kupambana na makamongo katika uchaguzi wa Oktoba 2019 na 2020.
Kwa watumishi wa umma wote, KURA YAKO NI SILAHA YAKO KUPIGANIA MASLAHI YAKO.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Nilitaka nitoe neno baya ila nimelimeza....kama unafaidika na ccm,huu uzi sio wa kichama....hujui yanayowasibu wafanyakazi.
 
Mkuu, nimekuelewa. Kamongo mkuu anawaona watumishi wote ni sisimizi ambao hata wakikanyagwa wanakufa bila kupiga kelele.
Tuna jambo la kufanya hapa. Kuwashauri watumishi wa umma kuacha kumpigia kura kamongo mkuu na wenzake. Halaf kila mtumishi amshawishi mwenza wake na wote wawili wawashawishi marafiki zao mmoja mmoja tu. Kura hizo ziende upande wa pili.
Naamini kwabkufanya hivyo makamongo watabaki salama lakini heshima itapatikana.
Watumishi fungeni midomo na kuchapa kazi kadri ya vitendea kazi na mazingira, ila msisahau kupiga kura kwa nia moja ya kupambana na makamongo katika uchaguzi wa Oktoba 2019 na 2020.
Kwa watumishi wa umma wote, KURA YAKO NI SILAHA YAKO KUPIGANIA MASLAHI YAKO.
Bado hujanielewa mkuu kamongo.

SikiliZa.
Kiburi cha jamaa kinakuja kwa sababu anajua kuwa box la kura halichagui kiongozi yoyote hapa Tanzania.

Box la kura ni geresha tu.
Yeye ndio kateua wasimamizi wa uchaguzi kwa hio wao watafanya na watachagua yule wanayemtaka.
Refer ukonga na kinondoni
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Lakin usisahau yy anasema uchumi unakua, Maanake tuosema uchumi mbovu kwa tafsiri yake ni waongo
 
Nadhani kuna mahali watu hawajafikiri vizuri. Hii ajenda ya maslahi kwa watumishi wa uma ,hasa ogezeko la mishahara na kupanda vyeo si ajenda ya kupuuza hata kidogo.

Kwa maoni yangu hakuna kitu hatari kama hiki ,kwa sababu hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja. Huu ni mkate wa kula siku na binadamu akianza kukosa mkate ,ubinadamu huanza kumtoka na unyama huingia kwa kasi ya kutisha.

Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.

Nataka nishauri ,tena natoa ushauri huu kwa moyo safi kabisa. Swala hili kama litaendelea kupuuzwa tutakuwa tunatengeneza hatari kubwa sana. Sitaki yatokee mabaya. Kama kuna watu wanawashauri vibaya viongozi ,watu hao waache Mara moja.
Nafurahi iwe hivyo. Itachangia anguko la Jiwe kwa haraka zaidi.
Nchi za Asia walikopiga hatua za haraka, hawakucheza na maslahi ya watumishi wa umma. Waliwalipa vizuri sana ili kufanikisha mambo yao.
 
Poleni sanà wafanyakazi wa umma nashukuru sipo kwenye utumishi wa umma.
Serikali ya awamu ya tano kiukweli haiwapendi wafanyakazi wake.
Yale makeke ya wafanyakazi hewa, uhakiki, tume ya mishahara ni njia Tu za kudhurumu maslahi ya wafanyakazi.
Hata kama itatatokea mtaongewa hapo baadae, mtaongezewa kidogo sana kwa lengo là kusaidià kumpigia kura mtukufu wenu.
Mi najua mwaka huu 2019 au 2020, mtaongezwa kidogo ili mumsaidie kumrudisha kwenye kiti Cha Enzi,
na sio kwa nia ya kuwapa haki zenu za kisheria za kazi.
Na amini mkishampa kura tena ndio msahau hadi 2026 atakapo kuja mtawala mwingine wa awamu ya sita.
Mwaka huu Au mwakani hata mkiongezewa mtakuwa mmedhurumiwa tu.
Kama mmoja wenu ataongezewa shilingi mfano 50,000/=
Angeongezewa kwa miaka yote minne leo angekuwa na ongezeko là 50,000 x 4 = 200,000/=
Hapo umeibiwa 200,000 - 50,000
Tsh 150,000/= kwa muda uliopita.
Ila kufidia hii hasara napendekeza ongezeko kama litaanza mwaka huu basi lianzie
Tsh 250,000/= kwa wale wa kima cha chini na kuendelea.
Kama Tuli na Mhagama wakipenda.
 
Poleni sanà wafanyakazi wa umma nashukuru sipo kwenye utumishi wa umma.
Serikali ya awamu ya tano kiukweli haiwapendi wafanyakazi wake.
Yale makeke ya wafanyakazi hewa, uhakiki, tume ya mishahara ni njia Tu za kudhurumu maslahi ya wafanyakazi.
Hata kama itatatokea mtaongewa hapo baadae, mtaongezewa kidogo sana kwa lengo là kusaidià kumpigia kura mtukufu wenu.
Mi najua mwaka huu 2019 au 2020, mtaongezwa kidogo ili mumsaidie kumrudisha kwenye kiti Cha Enzi,
na sio kwa nia ya kuwapa haki zenu za kisheria za kazi.
Na amini mkishampa kura tena ndio msahau hadi 2026 atakapo kuja mtawala mwingine wa awamu ya sita.
Mwaka huu Au mwakani hata mkiongezewa mtakuwa mmedhurumiwa tu.
Kama mmoja wenu ataongezewa shilingi mfano 50,000/=
Angeongezewa kwa miaka yote minne leo angekuwa na ongezeko là 50,000 x 4 = 200,000/=
Hapo umeibiwa 200,000 - 50,000
Tsh 150,000/= kwa muda uliopita.
Ila kufidia hii hasara napendekeza ongezeko kama litaanza mwaka huu basi lianzie
Tsh 250,000/= kwa wale wa kima cha chini na kuendelea.
Kama Tuli na Mhagama wakipenda.
du
 
Poleni sanà wafanyakazi wa umma nashukuru sipo kwenye utumishi wa umma.
Serikali ya awamu ya tano kiukweli haiwapendi wafanyakazi wake.
Yale makeke ya wafanyakazi hewa, uhakiki, tume ya mishahara ni njia Tu za kudhurumu maslahi ya wafanyakazi.
Hata kama itatatokea mtaongewa hapo baadae, mtaongezewa kidogo sana kwa lengo là kusaidià kumpigia kura mtukufu wenu.
Mi najua mwaka huu 2019 au 2020, mtaongezwa kidogo ili mumsaidie kumrudisha kwenye kiti Cha Enzi,
na sio kwa nia ya kuwapa haki zenu za kisheria za kazi.
Na amini mkishampa kura tena ndio msahau hadi 2026 atakapo kuja mtawala mwingine wa awamu ya sita.
Mwaka huu Au mwakani hata mkiongezewa mtakuwa mmedhurumiwa tu.
Kama mmoja wenu ataongezewa shilingi mfano 50,000/=
Angeongezewa kwa miaka yote minne leo angekuwa na ongezeko là 50,000 x 4 = 200,000/=
Hapo umeibiwa 200,000 - 50,000
Tsh 150,000/= kwa muda uliopita.
Ila kufidia hii hasara napendekeza ongezeko kama litaanza mwaka huu basi lianzie
Tsh 250,000/= kwa wale wa kima cha chini na kuendelea.
Kama Tuli na Mhagama wakipenda.
Yeah
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Watu wanaongelea mishahara ya watumishi, we unaongelea Cdm na ccm duh!
 
Poleni sanà wafanyakazi wa umma nashukuru sipo kwenye utumishi wa umma.
Serikali ya awamu ya tano kiukweli haiwapendi wafanyakazi wake.
Yale makeke ya wafanyakazi hewa, uhakiki, tume ya mishahara ni njia Tu za kudhurumu maslahi ya wafanyakazi.
Hata kama itatatokea mtaongewa hapo baadae, mtaongezewa kidogo sana kwa lengo là kusaidià kumpigia kura mtukufu wenu.
Mi najua mwaka huu 2019 au 2020, mtaongezwa kidogo ili mumsaidie kumrudisha kwenye kiti Cha Enzi,
na sio kwa nia ya kuwapa haki zenu za kisheria za kazi.
Na amini mkishampa kura tena ndio msahau hadi 2026 atakapo kuja mtawala mwingine wa awamu ya sita.
Mwaka huu Au mwakani hata mkiongezewa mtakuwa mmedhurumiwa tu.
Kama mmoja wenu ataongezewa shilingi mfano 50,000/=
Angeongezewa kwa miaka yote minne leo angekuwa na ongezeko là 50,000 x 4 = 200,000/=
Hapo umeibiwa 200,000 - 50,000
Tsh 150,000/= kwa muda uliopita.
Ila kufidia hii hasara napendekeza ongezeko kama litaanza mwaka huu basi lianzie
Tsh 250,000/= kwa wale wa kima cha chini na kuendelea.
Kama Tuli na Mhagama wakipenda.
Nakumbuka Ghasia alisrma anayeona mshahara hautoshi aache kazi. Mhagama amesema maslahi kwa watumishi ni pamoja na barabara, umeme na hosptal. Wanarithishana kauli kwa kuwa Hawa hakufanywa kitu.

Ila niwahakikishia kuwa serikali haiwezi kushimdana na mtumishi. Tutazalisha bidhaa fake hadi kieleweke.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Mlitaka wenyewe kuongoza nchi wakati hamna uwezo. Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa
 
Back
Top Bottom