Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

Acha kulawitiwa upate akili mavi Wewe
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
 
Nadhani kuna mahali watu hawajafikiri vizuri. Hii ajenda ya maslahi kwa watumishi wa uma ,hasa ogezeko la mishahara na kupanda vyeo si ajenda ya kupuuza hata kidogo.

Kwa maoni yangu hakuna kitu hatari kama hiki ,kwa sababu hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja. Huu ni mkate wa kula siku na binadamu akianza kukosa mkate ,ubinadamu huanza kumtoka na unyama huingia kwa kasi ya kutisha.

Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.

Nataka nishauri ,tena natoa ushauri huu kwa moyo safi kabisa. Swala hili kama litaendelea kupuuzwa tutakuwa tunatengeneza hatari kubwa sana. Sitaki yatokee mabaya. Kama kuna watu wanawashauri vibaya viongozi ,watu hao waache Mara moja.

Hela zimeenda kwenye SGR na stirglas,kama hawana hela wafanyeje. Wakipewa hela wataishi km malaika thus watapingana na ajenda ya kutakiwa waishi kishetani
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Sikua najua kama kuna watu ni empty kichwani kiasi hichi
 
Wakati anaomba urais kwa tupushapu twa JKT kuna sehemu alisema ataharibu uchumi? Nigger please, tumia tu akili twako vema.Ni takwa la kisheria kuongeza mishahara na kuboresha maslahi ya watumishi.Siyo ombi.
nani msimamia sheria
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Eti naye huyu ni think tank wa CCM.
Ukitaka kuua taifa lolote duniani usiajiri na chezea rasirimali watu
 
Wafanya kazi tufanye kazi kwa bidii kujenga Taifa letu kwanza, Taifa likishaendelea tutajilipa tu wenyewe mishahara tunayotaka.. Kwa sasa tuwe wavumilivu hata kwa kufanya kazi bure..

Hapa kazi tu..
Kamongo mwingine huyu sawa na yule katibu mwenezi popoma anayemuamuru daktari msomi eti njoo hapa dakika zero!
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Hii nchi ina rasilimali kede kede,"in fact it was supposed to be the donner country "!! Sasa unaposema haiwezi kuongeza mishahara kila MTU anashangaa nini kimetokea. Watu wapewe haki zao bwana,acheni blaa blaa
 
Nimeanza kuelewa Kikwete aliposema hii Nchi ni ya kwetu sote alikuwa sahihi sana
 
Nadhani kuna mahali watu hawajafikiri vizuri. Hii ajenda ya maslahi kwa watumishi wa uma ,hasa ogezeko la mishahara na kupanda vyeo si ajenda ya kupuuza hata kidogo.

Kwa maoni yangu hakuna kitu hatari kama hiki ,kwa sababu hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja. Huu ni mkate wa kula siku na binadamu akianza kukosa mkate ,ubinadamu huanza kumtoka na unyama huingia kwa kasi ya kutisha.

Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.

Nataka nishauri ,tena natoa ushauri huu kwa moyo safi kabisa. Swala hili kama litaendelea kupuuzwa tutakuwa tunatengeneza hatari kubwa sana. Sitaki yatokee mabaya. Kama kuna watu wanawashauri vibaya viongozi ,watu hao waache Mara moja.
Watumishi hawa wanaoandamana kuunga mkono kauli za raisi baada ya upinzani kumbana. ( Reference Kikokotooo)
 
Kuwa mzalendo mkuu, tufanye kazi kwa bidii mpaka ukue kwa 10%, hilo linawezekana kwa kufanya kazi kwa bidii mpaka tufike kaanani na sio kudai dai mishahara wakati bado hatujafika kaanani..

Hapa kazi tu..
CCM oyee..
Kenge hasikii mpaka atoke damu masikioni.
Very sweeping statement, ina maana tumeacha kufanya kazi kwa bidii ndio kisa cha kushuka kutoka 7% mpaka 4%
 
Kwa hiyo CDM ndo imekataza watumishi wasiongezewe mishahara?

CDM inaingiaje hapa kwenye swala la maslahi ya watumishi wa uma?

Unataka kuniambia watumishi wa uma ni wanachama wa CDM? au hoja yako hasa ni nini?

Kwa upande wako watumishi kutokubadilishiwa mishahara ni swala la kawaida tu, wala halipaswi kujadiliwa?

Watu kama wewe wala hamuisadii serikali. Mmejaa unafiki na ushabiki usio na tija. Ninaamini kabisa hata viongozi wanajua kuwa hili ni tatizo na wanafanya kila namna ili kurekebisha kasoro hii. Wewe endelea na ujinga wako.
Mkuu majoka ya kijani yanadhani wapiga zumari like polepole ni watumishi wa umma poor thinking
 
Nadhani kuna mahali watu hawajafikiri vizuri. Hii ajenda ya maslahi kwa watumishi wa uma ,hasa ogezeko la mishahara na kupanda vyeo si ajenda ya kupuuza hata kidogo.

Kwa maoni yangu hakuna kitu hatari kama hiki ,kwa sababu hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja. Huu ni mkate wa kula siku na binadamu akianza kukosa mkate ,ubinadamu huanza kumtoka na unyama huingia kwa kasi ya kutisha.

Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.

Nataka nishauri ,tena natoa ushauri huu kwa moyo safi kabisa. Swala hili kama litaendelea kupuuzwa tutakuwa tunatengeneza hatari kubwa sana. Sitaki yatokee mabaya. Kama kuna watu wanawashauri vibaya viongozi ,watu hao waache Mara moja.
Ungetoa takwimu sahihi za faida na hasara ya mishahara ingekuwa vzuri sana
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
MTUMISHI NA UTUMISHI WA UMMA
 
Wote ni mbuzi tu.

Mtamfanya nini?

Tume ya uchaguzi na wasimamizi wake wote ni watoto wake kawataur wao.

Angalia uchaguzi wa jimbo ya Nassari ulivyofanyika.
Titatak kwisha.

Hata akiamua kushusha mishahara mtamfanyejw kwa mfano?
Mtamsemea kwa mabeberu yenu?

Tulizeni boli.
Sawa iwaingie taratibu

Na mwaka 2025 anamuwek Makonda. Dadeki
Yaani nimekuelewa sana huo ndo ukweli mchungu wenyewe, anasemaga hapendi kupangiwa yaani ukimpangia yeye ndo anakukera zaidi. Kwahiyo atamuweka Makonda kwa makusudi ili awakere zaidi si anajua hawampendi na yeye atamuweka huyo huyo, na hakuna lolote tutakalolifanya zaidi ya kuja hapa JF kulia lia nyuma ya keyboard kwa kutumia ID fake zetu. Shubaakengemiti [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom