Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

Ukitaka kuwawin watu wawili unaowaongoza ni simple sana :
Kama Unatakiwa kuwalipa Sh 10,000/= Basi chukua 5000 mpe mmoja wao, kisha Huyu mwingine mpe 2500/=,halafu ukae pembeni uwaangalie.. Mmoja lazima Atalalamika kuhusu malipo, Ila mmoja atapinga Sana Kwan Hawa hawako ktk ratio moja... Mmoja anapata kinono na mmoja kinyume chake.. Kamwe usiruhusu watu uliowaajiri wakawa wanapatana, watakusumbua.. Hahaaaaaa
Ninachokiona hapa ni battle Kati ya waliopandishwa cheo /mshahara Na wahanga wa vyeo na mishahara....
Huu uzi utapoteza maana na lengo kusudiwa maana mnabishana badala ya kujenga hoja ili wahusika wawaone kilio chenu...
Binafsi mi cheo Nimepandishwa na mshahara pia.. Ila siko serikalini...
NB:
Huwez kupandisha cheo watu wote na mishahara yao...hzo Hela unazitoa wapi... Hapa Kama nyota yako ni hafifu jipange ndugu..
 
Wote ni mbuzi tu.

Mtamfanya nini?

Tume ya uchaguzi na wasimamizi wake wote ni watoto wake kawataur wao.

Angalia uchaguzi wa jimbo ya Nassari ulivyofanyika.
Titatak kwisha.

Hata akiamua kushusha mishahara mtamfanyejw kwa mfano?
Mtamsemea kwa mabeberu yenu?

Tulizeni boli.
Sawa iwaingie taratibu

Na mwaka 2025 anamuwek Makonda. Dadeki
 
Natamani umri wa kustaafu kwa hiari uwe miaka 50,ili nipishe mbali hii dhahama
 
Heri yenu watumishi wenye mishahara na kufikia hatua ya kutisha hata amani ya nchi alimradi mishahara yenu iongezeke.

sisi wakulima tunapambana na mvua na jua
 
Nadhani kuna mahali watu hawajafikiri vizuri. Hii ajenda ya maslahi kwa watumishi wa uma ,hasa ogezeko la mishahara na kupanda vyeo si ajenda ya kupuuza hata kidogo.

Kwa maoni yangu hakuna kitu hatari kama hiki ,kwa sababu hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja. Huu ni mkate wa kula siku na binadamu akianza kukosa mkate ,ubinadamu huanza kumtoka na unyama huingia kwa kasi ya kutisha.

Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.

Nataka nishauri ,tena natoa ushauri huu kwa moyo safi kabisa. Swala hili kama litaendelea kupuuzwa tutakuwa tunatengeneza hatari kubwa sana. Sitaki yatokee mabaya. Kama kuna watu wanawashauri vibaya viongozi ,watu hao waache Mara moja.

Mod nakuomba usiunganishe Uzi huu.
..Jamaa asipo angalia kutakuwa na Economic Paralysis,..sababu mishahara kuongezeka ina Multiplier effect kwa uchumi.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
...Jamaa kilasiku anasema tuko right track,..Hiyo right track ndiyo aongeze mishahara sasa. Sababu anajenga kwa jasho letu...
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Pointless
 
Hii ishu ilipoanza 2016 watu walifikiria utani. Hii issue ya kutojali kabisa maslah ya watumishi wa umma ilianza kwa kupunguza wenye mishahara mikubwa.watu wasijue kuwa kumbe ndio ulikua mwisho wa kuitumia standing order ya serikali. Mshahara ukipanda uwezo wa kukopa bank unaongezeka hivo walau unaweza fanya mirad mingi zaid ya maana na serikali ikapata kodi. Hii kitu ina madhara kwa serikali yenyewe. Ni kama serikali inajifunga kamba na kujifukarisha kuwa fukara. Kwa kutopandisha mishahara mapato ya nchi lazima yashuke na yataendelea kushuka kadri ambavyo hapandishi. Mwisho wake atashindwa kulipa mishahara mwishoni mwa mwezi. Hili ni suala la muda subirini.
....umeongea kweli mkuu,..
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.

kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?
Hapo nimekuelewa na wengine watakudhihaki na matusi juu!
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Pumbavu sana wewee.
 
Hili jambo linashangazaga sana.wengine walishapoweaga barua za kupandishwa cheo na kubadilishiwa mshahara lakini huo mshahara mpya hawajawahi lipwa.maafisa utumishi ukiwauliza hawaeleweki .sijui maana yake ni nnini.maana awali walisema wanashughulikia watumishi hewa.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Una maana gani unaposema
"mnasema uchumi ni mbaya atapandisha vipi".

Yaani unachanganya wapinzani wanayoyasema na uhalisia wa serikali?

Ikiwa yanayosemwa na wapinzani juu ya uchumi kuwa taabani ni sahihi?

Basi atoke atueleze wananchi ukweli tujiandae kufunga mikanda na sio kudandia kwenye maoni ya wapinzani na kuyafanya ndiyo uhalisia wa serikali

Kwani ni mangapi serikali kila siku inakanusha yasemwayo na wapinzani?
 
Inaonekana wanaoandika wengi humu sio watumishi wa umma. Mishahara imeongezwa bila matangazo. kama idara yako bado itaongezwa soon kimyakimya lakini vyombo vyote vya ulinzi na usalama, bunge na mahakama TAYARI.
Si kweli
 
Nionavyo tunakoelekea ni kubaya ila baada ya hapo kutakuwa kuzuri ni suala la muda tu.
 
Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.


Hah watumishi sasa hivi wanajua wenyewe wanavyofanya kazi,ni Siri yao.Wamegundua namna mpya ya kukwamisha na kuhujumu.
 
Nimezungumza na watumishi wa kada mbalimbali mioyo yao imevimba kwa hasira. Kichwani wamebeba furushi kubwa la manun'guniko.


Hah watumishi sasa hivi wanajua wenyewe wanavyofanya kazi,ni Siri yao.Wamegundua namna mpya ya kukwamisha na kuhujumu.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Nadhani itabidi watumishi waji organize waunde mtandao utakaoweza kuwaunganisha nchi nzima pengine bara zima ili kijadili changamoto zao huko.

Hii itasaidia wajinga kama huyu bwana ambao ni aibu kuwaruhusu kujadili changamoto za kitaaluma za kiutumishi kujifanya siasa.
 
Acheni unafiki mnasema uchumi haukui ni mbovu sasa hiyo mishahara aongeze atailipaje?

Je cdm hawadaiwi mishahara na watumishi wake kama wanadaiwa kipi bora sasa kutoa mishahara unayowezakulipa au kutoamishahara usiyoweza kulipa?

Unafiki,chuki,uongo vinawaponza cdm badala ya kushughulika na kuongeza namba ya wapiga kura nyie mmekalia majungu tuu muda unaenda watu wanawakimbia sasa ndiyo nini?

Huwezi kuleta ukombozi ndani yanchi kwa kungalia mapungufu tuuuu ya chama kilichopo madarakani lazima uwe mtu wa haki kwa upinzani siyo uadui na ndiyo maana Rais amewachagua baadhi ya wapinzani wenzenu kuwa viongozi ndani ya serikali hiyohiyo mnayoipinga na wamekubali

Huwezi ukaongozwa na kiongozi mwenye njaa hata siku moja atakuuza ili kushiba.
Akili ndogo wewe unaiwaza chadema tu.Watu wanazungumzia hali halisi ilivo ya kiutendaji dhidi ya watumishi wewe unarukia chadema!!??Ni akili finyu inayowaza kuwa kila mtu anayekuja toa mada ya hali halisi ilivo kuwa ni chadema.Change you solid majority.
 
Kwa hiyo CDM ndo imekataza watumishi wasiongezewe mishahara?

CDM inaingiaje hapa kwenye swala la maslahi ya watumishi wa uma?

Unataka kuniambia watumishi wa uma ni wanachama wa CDM? au hoja yako hasa ni nini?

Kwa upande wako watumishi kutokubadilishiwa mishahara ni swala la kawaida tu, wala halipaswi kujadiliwa?

Watu kama wewe wala hamuisadii serikali. Mmejaa unafiki na ushabiki usio na tija. Ninaamini kabisa hata viongozi wanajua kuwa hili ni tatizo na wanafanya kila namna ili kurekebisha kasoro hii. Wewe endelea na ujinga wako.
Asante sn Kwa vidonge sahihi ulivompa huyu juha wa Karne.
 
Back
Top Bottom