did i get it right ama?ndege ya watu wa nane imeua watu 25??may be tudanganywe hao 17 wa ziada ndio crew members,na watu waliokuwa ardhini..vinginevyooo sijui niiweke habari hii katika upande gani wa ubongo wangu maana haiingii akilini kuwa hata ndege za kibongo nazo zataka mpaka waambiwe mambo ya LEVEL SEAT!!
mmojawapo wa mwana anga alieponea chupu chupu kwenye ajali hiyo
amehijiwa jana na inasemekana ni Co-pilot. Katika maelezo yake kasema Rubani alisahau miwani yake so alidhani anatua uwanja we ndege wa Shinyanga kumbe makaburini. Kumbe Tanzania tuna marubani vipofu... Lol
Kama ndege imeangukia makaburini basi jamaa walifukua maiti nyingine zilizikwa eneo hilo.... may be with hopes of finding some gold or something!