X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,620
- 1,787
Ndege moja aina ya Twin Otter inayochukuwa abiria 8 ilikuwa inatokea mchimbo ya Mwadui Shinyanga, ilianguka na kujichimbia makaburini kule maeneo ya Kahama kata ya Mwendakulima.
Wataalamu wa jeshi la ulinzi wa kuchunguza kuanguka kwa safari za ndege walipofika hapo siku ya tatu yake, walikuta maiti zaidi ya 25 zimepangwa na wenyeji bado walikuwa wanaendelea kufukuwa.
Wataalamu wa jeshi la ulinzi wa kuchunguza kuanguka kwa safari za ndege walipofika hapo siku ya tatu yake, walikuta maiti zaidi ya 25 zimepangwa na wenyeji bado walikuwa wanaendelea kufukuwa.