Ajali mbaya basi la Kimotco lapinduka na kuua wawili

Ajali za barabarani zimeanza kuongezeka.

Mabasi yameanza kupuuza sheria za usalama barabarani.

sio kama mwaka jana, sijaelewa ni kitu gani kimepelekea huu uvunjifu wa sheria, madereva wa mabasi ya abiria siku hizi wanaendesha mwendo kasi bila hata kujali mbele kuna trafiki.

poleni sana wafiwa.
Umesoma mada pale juu ukaielewa lakini???


Naamini kama ungeielewa usingeandika maneno mengi ivi maana umewekewa mpaka sababu ya ajali
 
DUUH ....HIVI AJALI NAZO NI SEHEMU YA KAZI IENDELEE ...!!??

mbona zimekuwa nyingi ...

Una hoja msingi sana. Huenda ni dalili ya kuanza kukithiri kwa rushwa na kulegalega kwa viongozi wa ngazi za chini.
 
Una hoja msingi sana. Huenda ni dalili ya kuanza kukithiri kwa rushwa na kulegalega kwa viongozi wa ngazi za chini.
KILA KITUO POLICCM WANAFANYA UKAGUZI .....QN wanakagua au wana omba chai...

( ttz tairi lilipasuka ) .....
 
Sasahivi kupanda basi ni risk kubwa kuliko kupanda chombo cha kuruka nje ya dunia
 
Watu wanawahi mishe, tumecheleweshwa sana
Ajali za barabarani zimeanza kuongezeka.

Mabasi yameanza kupuuza sheria za usalama barabarani.

sio kama mwaka jana, sijaelewa ni kitu gani kimepelekea huu uvunjifu wa sheria, madereva wa mabasi ya abiria siku hizi wanaendesha mwendo kasi bila hata kujali mbele kuna trafiki.

poleni sana wafiwa.
 
Juzi tu hata wiki haijaisha huyo huyo kimotco gar yake imeanguka katkat ya dodoma na babati
Jamaa huwa wako rafu sana ndo maana route ya Arsha Musoma kupitia kwenye hifadhi walifungiwa wasipite huko sahiv wanazungukia shnyanga huko
 
Serikali ipige marufuku mataili ya kichina, hayaaminiki, yatatumaliza
Ni kweli zamani enzi za akina ngorika,matema,tawaqal nk mabasi yote tairi za mbele zilikuwa za kiwango hasa michelin,bridgestone,dunlop nk lakini leo mchina anatudanganya na muonekano wa bidhaa na si ubora yaani kama itel ya camera 4 kumbe wizi mtupu.
 
Umesoma mada pale juu ukaielewa lakini???


Naamini kama ungeielewa usingeandika maneno mengi ivi maana umewekewa mpaka sababu ya ajali
sawa dereva
ila nawashauri madereva wote wa mabasi acheni kuwa na haraka.
 
Nidhamu hakuna kwa madreva mabasi

Na hili lifanikiwe hili jambo ni Rahisi sana
IGP....fanya hivi hii itakusaidia sana Baba yangu na kukulindia imani yako kubwa kwa watanzania waliokuwa nayo kwako sana

DTO na RTO wamaeneo husika kula vichwa vyao kila inapotokea ajali sehemu zao

Hii itawafanya wawe wakali sana DTO na RTO wote pasipo wewe kuumiza kichwa
Baba IGP Pole kwa kazi zito sana Mzee wangu
 
Ajali za barabarani zimeanza kuongezeka.

Mabasi yameanza kupuuza sheria za usalama barabarani.

sio kama mwaka jana, sijaelewa ni kitu gani kimepelekea huu uvunjifu wa sheria, madereva wa mabasi ya abiria siku hizi wanaendesha mwendo kasi bila hata kujali mbele kuna trafiki.

poleni sana wafiwa.
Mama kasema, hamkalipii mtu yeye ni vitendo vikali tuuu. RTO, DTO ni mwendo wa kulala. Bila kalipio mama, hatufiki watu wako wameanza kupinda.
 
Taarifa zilizotufikia muda huu katika eneo la Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha ni KwaMBA, basi la Kimotco likiwa kwenye mwendo Kasi limepindukia na kusababisha vifo vya watu wawili baada ya kupasuka tairi ya mbele.

Mkurugenzi wa basi Hilo Benedict Mberesero amethibitisha tukio hilo.

Basi Hilo lilikuwa Linatoka mkoani Arusha

View attachment 1987428View attachment 1987429
Juzi natoka Njombe kwenda Dodoma dereva wa Kimotco alikua anaendesha rough sana sana
 
Back
Top Bottom