Ajali mbaya basi la Kimotco lapinduka na kuua wawili

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Taarifa zilizotufikia muda huu katika eneo la Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha ni KwaMBA, basi la Kimotco likiwa kwenye mwendo Kasi limepindukia na kusababisha vifo vya watu wawili baada ya kupasuka tairi ya mbele.

Mkurugenzi wa basi Hilo Benedict Mberesero amethibitisha tukio hilo.

Basi Hilo lilikuwa Linatoka mkoani Arusha

k1.jpg
k2.jpg
 
Sababu ambazo huwa wanatoa police wakati mwingine huwa wanabuni tu
Kila leo sababu zilezile
Magari hayaangaliwi kila siku defects zake

Unakuta matairi hayana upepo wa kutosha inayosababisha dereva akipita gari nyingine kurudi sawa inakuwa shida

Halafu sababu zinakuwa za kutunga tu

Poleni wafiwa ila madereva na wenye mali wapewe adhabu kubwa na police pia wakague hata upepo wa matairi na sio bakhshish
 
RAS wa mkoa wa arusha, alipotezea maisha eneo hilo hilo, mwaka 2021 mamia ya watanzania wamepoteza maisha na ulemavu wa kutisha barabara ya arusha kwenda Dodoma.

Siku IGP atafia kwenye hiyo barabara ndipo serikali itakumbuka kuweka camera za kudumu za kusaidia kujua speed za magari kwenye barabara hiyo.
 
Taarifa zilizotufikia muda huu katika eneo la Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha ni KwaMBA, basi la Kimotco likiwa kwenye mwendo Kasi limepindukia na kusababisha vifo vya watu watatu baada ya kupasuka tairi ya mbele.

Mkurugenzi wa basi Hilo Benedict Mberesero amethibitisha tukio hilo.

Basi Hilo lilikuwa Linatoka mkoani Arusha
View attachment 1987059
FCmgZVPXsAUi_ly
 
Ajali za barabarani zimeanza kuongezeka.

Mabasi yameanza kupuuza sheria za usalama barabarani.

sio kama mwaka jana, sijaelewa ni kitu gani kimepelekea huu uvunjifu wa sheria, madereva wa mabasi ya abiria siku hizi wanaendesha mwendo kasi bila hata kujali mbele kuna trafiki.

poleni sana wafiwa.
 
RAS wa mkoa wa arusha, alipotezea maisha eneo hilo hilo, mwaka 2021 mamia ya watanzania wamepoteza maisha na ulemavu wa kutisha barabara ya arusha kwenda Dodoma. Siku IGP atafia kwenye hiyo barabara ndipo serikali itakumbuka kuweka camera za kudumu za kusaidia kujua speed za magari kwenye barabara hiyo.
huyo wamchukue tu maana hata yeye ni ajali kwa watoto wa wenzie
 
Ajali za barabarani zimeanza kuongezeka.
Mabasi yameanza kupuuza sheria za usalama barabarani.
sio kama mwaka jana, sijaelewa ni kitu gani kimepelekea huu uvunjifu wa sheria, madereva wa mabasi ya abiria siku hizi wanaendesha mwendo kasi bila hata kujali mbele kuna trafiki.!!
poleni sana wafiwa.
Ni kweli wameanza kupuuza,juzi jpili gari ya kutoka Mwanza imeingia Mbezi stand saa 4.17 usiku badala ya saa 7 kama ilivyokua huko nyuma,kwa hiyo kwa sasa ni mwendo mdundo tu huko barabarani hakuna anayekemea

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Taarifa zilizotufikia muda huu katika eneo la Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha ni KwaMBA, basi la Kimotco likiwa kwenye mwendo Kasi limepindukia na kusababisha vifo vya watu watatu baada ya kupasuka tairi ya mbele.

Mkurugenzi wa basi Hilo Benedict Mberesero amethibitisha tukio hilo.

Basi Hilo lilikuwa Linatoka mkoani Arusha
View attachment 1987059
FCmgZVPXsAUi_ly
Serikali ipige marufuku mataili ya kichina, hayaaminiki, yatatumaliza
 
Taarifa zilizotufikia muda huu katika eneo la Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha ni KwaMBA, basi la Kimotco likiwa kwenye mwendo Kasi limepindukia na kusababisha vifo vya watu watatu baada ya kupasuka tairi ya mbele.

Mkurugenzi wa basi Hilo Benedict Mberesero amethibitisha tukio hilo.

Basi Hilo lilikuwa Linatoka mkoani Arusha
View attachment 1987059
FCmgZVPXsAUi_ly
Wiki iliyopita gari nyingine tena ya Kimotco ilipata ajali maeneo ya Kolo barabara ya Babati - Dodoma
 
Back
Top Bottom