Aise wakuu UKIMWI ni noma

Aise wakuu UKIMWI ni noma

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
 
Hizo dawa za ukimwi tunazo pewa waafrica zimewekewa virutubisho vyenye kuendana na akili za waafrica navyo ni kumfanya msishana awe na umbo No 8 na matako makubwa nk lengo ni kuakikisha watu weusi tunaoungua duniani ...mtu yoyote anapoanza kutumia hizo dawa asilimoa 90 anabadilika na kuwq na umbo la kifedha
Aise ni noma Mkuu kwahiyo ukinywa dawa tu mzigo unasoma namba 8?
 
Mwanaume rijali unaogopaje Ukimwi? Vijana wa Dar mpimwe mkojo
 
Unaongeleaje wadada tuu wakati ulimpeleka rafiki yako mwanaume? Wanaume ma handsome hawakuwepo kwenye foleni?
Mada za kibaguzi hazitakiwi huku jf.
Polee Mkuu mbona nimezungumzia na vijana Kwa maana ya jinsia zote. Au ulitaka niandike Kwa namna unayotaka wewe. Hakuna ubaguzi Hapo ni kukumbushana tu.
 
Back
Top Bottom