😁 Sio Kwa ngoma Mkuu au kifo ni kifo?Utelezi mtamu bwana kama ni kufa tutakufa wote... Moisemusajiografii View attachment 3387980
Unayosema ni kweli kabisa ni vile siwezi kusema tu sababu ya Ethics za professionalism yangu lakini,Habari Wakuu.
Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.
Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.
Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.
wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Ni kweli Mkuu vijana inatakiwa wakumbushwe wasitangulize hisia mbelembele wataumia. Mwanamke ukimnyonya chini(uchi wake) hawezi kubali hapohapo umpige denda cuz anajua ile si sehemu ya kupelekea mdomo na Kila mwezi inatoa uchafu.Unanyonya nyuchi ya mwanamke ili iweje? Ni upumbavu na wanaofanya hivo akili zao zina shida au hawajui madhara. Kama umewahi usirudie tena kama Mimi. Jaribu kunyonya halafu kamle denda uone kama atakubali. Ukimwi upo na unaongezeka kila siku na hautawahi kupungua
Hakika Mkuu cycle au chain ni kubwa umakini unahitajika.Huu ugonjwa ukiutazama kwa jicho la mfumo direct utajiona upo salama, ila ukiutazama kwa network kama jinsi ulivyo ndo utaona utishaji wake.
Mfano huyo mdada mwenye makalio unaweza dhani hakuhusu kumbe unaweza kuta ni mpenzi wa mume wa mtu ambaye mkewe ana mchepuko ambaye anatembea na binti anayetembea na X wa mpenzi wako ambaye huwa wanapasha viporo.
Mwee tukae wenyewe tupige nyeto sii ndio maana yake?Unapoanza mauhusiano kitu cha kwanza ni kwenda kupima, ila watu wanajisahau wanaanza kwa kutumia kinga. Baada ya siku 3 mnajiona kama mmeshapima. Wenye wapenzi, wenye ndoa hawataki kutulia na mtu mmoja. Sasa ina maana gani ya kuoa au kuwa na mpenzi?
Kama unakuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.
Nyinyi humu hadi mna thread yenu ya kula kimasihara, kama ni kweli mnafanya hivyo hamjipendi. Mtu anayejipenda kwanza anakuwa na kinyaa na kuchukua tahadhari zote. Ukishindwa kabisa kaa mwenyewe.
Kwani umeambiwa ukiwa na ngoma lazima kula dawa ndio usurviveAu sio Mkuu kula dawa daily ni usela?
Mwisho wa kunukuu😄Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.
Umekaa pabaya...wazee wanapata vijana wanapataka. Na sasa upatikanaji wa mbususu na delibolo kumerahisishwahuu ugonjwa wa kiboya sana….
Mna gegedaje na kondom nyie watu
Kizazi hichi cha ngono na kuchepuka ni kubet tuu🤝 Kupima kabla na matumizi ya kinga muhimu.