Aise wakuu UKIMWI ni noma

Aise wakuu UKIMWI ni noma

Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
kasikilize ujumbe kwenye wimbo unaitwa kosa la marehemu umeimbwa na uswahilini matola wa mwaka 2002 au 2003 kama sijakosea
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Elimu ni muhimu sana, hao wanaotumia dawa kwa muda mrefu viral load inapungua hivyo hawezi kuambukiza hata mkipiga kavu!!

So ogopa wale waathirika wasio tumia dawa kuliko hao warembo wanaotumia dawa.
 
kasikilize ujumbe kwenye wimbo unaitwa kosa la marehemu umeimbwa na uswahilini matola wa mwaka 2002 au 2003 kama sijakosea
kasikilize ujumbe kwenye wimbo unaitwa kosa la marehemu umeimbwa na uswahilini matola wa mwaka 2002 au 2003 kama sijakosea ile original version sikiliza mashairi hao dada uliowaona wanachukua dawa wameimbwa 2003 wewe umewaona 2024
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Ujumbe mzuri,kuna mtu itamsaidia leo avae kiatu,kuna mtu leo itamsaidia a cancel appointment,kuna mtu leo atavunja uhusiano n.k.hii ni nzuri for awareness...
 
Vitu ambavyo ni ngumu kuviacha. PUNYETO,KUBETI,KONYAGI,MAKU TAMU,NDIZI NA NGURUWE.Hivi vitanipeleka Jehanam
😁 Mimi huwa na principle min -me anajua nakunywaga jioni konyagi ndogo moja inanitosha.

Sasa Jana nimemaliza kunywa jamaa mmoja akiwa na MSHIKAJI wake tukipiga story za hapa na PALEE naaga wakasema usiondokee..

Nikapiga ingine na ingine aisee AISEEEE hapa kichwa kina uma hangover kichwaa kuuma AISEEEE mpaka sina hamu tenaa nimemaliza supu ya kuku sina hamu Ila siachii ntaanza kuzingatia kipimo changu.
 
Jamani ukimwi upo..
Jamani ukimwi unaua sana
Jamani ukimwi upo ila tunaishi nao

Kama kijana mwenzangu afya yako ndio mtaji hvo jilinde sana japo katika magonjwa mengi ambayo yana angamiza vijana ukimwi haupo hata.

Unajua kwanini hi ni kutokana na dawa tulizoletewa... Angalia hii
Screenshot_2025-06-26-09-02-31-436_com.adobe.psmobile.jpg
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Wazee wa chaputa wala hatuna presha, mlenda wetu vuguvugu tunakula tuu pisi kali 🤣🤣🤣🤣
Hiv uti gono wala hatuvijui hivyo vitu
 
Back
Top Bottom