Aise wakuu UKIMWI ni noma

Aise wakuu UKIMWI ni noma

Mkuu ni kuomba Mungu unaweza kuta hao wanaotumia ARV wakaishi maisha marefu ya furaha ,amani na upendo kulipo wewe ambaye huna hiv aid na wala hutumi ARV.
Kuna mzee hapa kitaa mke wake alikufa kwa ngoma enzi zile za babu wa kikombe kule loliondo .
Yule mzee yupo hana hata wasi anakwambia yeye anatumia vidonge mwaka juzi kastaafu kazi Tanesco alikuwa injinia wa umeme.
Watu kibao hapa kitaa wamevuta kwa maajali , wengine magonjwa mengine ,ila mzee wa watu yupo .
Maisha ni fumbo cha muhimu ni kuwa makini na kumshirikisha Mungu kwenye kila jambo
 
Mkuu ni kuomba Mungu unaweza kuta hao wanaotumia ARV wakaishi maisha marefu ya furaha ,amani na upendo kulipo wewe ambaye huna hiv aid na wala hutumi ARV.
Kuna mzee hapa kitaa mke wake alikufa kwa ngoma enzi zile za babu wa kikombe kule loliondo .
Yule mzee yupo hana hata wasi anakwambia yeye anatumia vidonge mwaka juzi kastaafu kazi Tanesco alikuwa injinia wa umeme.
Watu kibao hapa kitaa wamevuta kwa maajali , wengine magonjwa mengine ,ila mzee wa watu yupo .
Maisha ni fumbo cha muhimu ni kuwa makini na kumshirikisha Mungu kwenye kila jambo
Huyo TANESCO jau unajua umeme mpaka sasa hakuna huku
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Kumbe wanatumia dawa?

Hao ni salama sana.

Ukikutana na mwenye nao halafu dawa hachukui kinakuramba mapema tu.
 
Mkuu ni kuomba Mungu unaweza kuta hao wanaotumia ARV wakaishi maisha marefu ya furaha ,amani na upendo kulipo wewe ambaye huna hiv aid na wala hutumi ARV.
Kuna mzee hapa kitaa mke wake alikufa kwa ngoma enzi zile za babu wa kikombe kule loliondo .
Yule mzee yupo hana hata wasi anakwambia yeye anatumia vidonge mwaka juzi kastaafu kazi Tanesco alikuwa injinia wa umeme.
Watu kibao hapa kitaa wamevuta kwa maajali , wengine magonjwa mengine ,ila mzee wa watu yupo .
Maisha ni fumbo cha muhimu ni kuwa makini na kumshirikisha Mungu kwenye kila jambo
Inawezekana sana,unajua waliopata maambukizi wanakua karibu sana na Mungu kwa majuto ya mienendo yao ya maisha, na ndipo Mungu anachukua jukumu la kuwalinda
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Hizo dawa za ukimwi tunazo pewa waafrica zimewekewa virutubisho vyenye kuendana na akili za waafrica navyo ni kumfanya msishana awe na umbo No 8 na matako makubwa nk lengo ni kuakikisha watu weusi tunapungua duniani ...mtu yoyote anapoanza kutumia hizo dawa asilimoa 90% anabadilika na kuwa na umbo la kifedha
 
Hizo dawa za ukimwi tunazo pewa waafrica zimewekewa virutub8sho vyenye kuendana na akili za waafrica navyo ni kumfanya msishana awe na umbo No 8 na matako makubwa nk lengo ni kuakikisha watu weusi tunaoungua duniani ...mtu yoyote anapoanza kutumia hizo dawa asilimoa 90 anabadilika na kuwq na umbo la kifedha
Muda mwingine tunapenda kudanganyana sana, UKIMWI siyo tu kwa waafrika, upo nchi zote duniani, ustaarabu na kufuata kanuni ndiko kunatoa utofauti.
Waafrika hawana haja ya kupunguzwa kwa sababu si washindani wa wazungu katika teknolojia au angle ya kisiasa.

Tuacheni uongo wazungu wanasaidia sana kuipa tafu ngozi nyeusi.
Kupata UKIMWI hatulazimishwi bali ni ujinga wetu wenyewe.
 
Muda mwingine tunapenda kudanganyana sana, UKIMWI siyo tu kwa waafrika, upo nchi zote duniani, ustaarabu na kufuata kanuni ndiko kunatoa utofauti.
Waafrika hawana haja ya kupunguzwa kwa sababu si washindani wa wazungu katika teknolojia au angle ya kisiasa.

Tuacheni uongo wazungu wanasaidia sana kuipa tafu ngozi nyeusi.
Kupata UKIMWI hatulazimishwi bali ni ujinga wetu wenyewe.
Uwezo wako wa akili ni mdogo nijibu kwanini ukimwi tu ndiyo ugonjwa unaopendelewa sana dunia hadi kuweza kutoa dozi za bure kuliko magonjwa yote unajua kwanini je kwanini wasiweke dozi ya mwezi japo sh10000 unajua sababu na hekima yake ? Kama dawa za kufubaza HIV vingeuzwa hata kwa sh 10000 tu basi ukimwi ungezingatiwa sana tofauti na sasa ...usizani wazungu ni wema sana kutoa dawa bure kuna hekima zaidi ya 3 ovu ndani yake
 
😁 Mimi huwa na principle min -me anajua nakunywaga jioni konyagi ndogo moja inanitosha.

Sasa Jana nimemaliza kunywa jamaa mmoja akiwa na MSHIKAJI wake tukipiga story za hapa na PALEE naaga wakasema usiondokee..

Nikapiga ingine na ingine aisee AISEEEE hapa kichwa kina uma hangover kichwaa kuuma AISEEEE mpaka sina hamu tenaa nimemaliza supu ya kuku sina hamu Ila siachii ntaanza kuzingatia kipimo changu.
Mwanangu nahisi wakati unaambiwa usiondoke ulijua kabisa ushushe ile mikono tena na ilivyokuja ukameza tena mate moyoni ukisema one for ze road in texas voice🤣🤣🤣
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Unaongeleaje wadada tuu wakati ulimpeleka rafiki yako mwanaume? Wanaume ma handsome hawakuwepo kwenye foleni?
Mada za kibaguzi hazitakiwi huku jf.
 
Back
Top Bottom