Aise wakuu UKIMWI ni noma

Aise wakuu UKIMWI ni noma

Wazee ukiona kabisa ume uza mechi nenda hospital kabla ya masaa 72 sema ukweli kuna dawa uta pewa.

Zingatia iwe ndani ya masaa 72 lakini una meza ck 30 kila ck kidonge kimoja,

Mm ni shahidi iliwahi nitokea kumbuka kuuza mechi sio ujinga ina weza kutokea bila kukusudia.
Good Mkuu.
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Uchi hauna Ukimwi Damu ndo Ina ukimwi. Post yako ni mbaya imekaa kiunyanyapaa.
Unahitaji ushauri Ili ubadilishe mtazamo wako. Naona ulikuwa unadhani ukimwi unakondesha kama utapiamlo kulee Syria au Somalia au sio..!?
Pia ukimwi haupimwi kwa macho kwa kuangalia Mwili
 
Uchi hauna Ukimwi Damu ndo Ina ukimwi. Post yako ni mbaya imekaa kiunyanyapaa.
Unahitaji ushauri Ili ubadilishe mtazamo wako. Naona ulikuwa unadhani ukimwi unakondesha kama utapiamlo kulee Syria au Somalia au sio..!?
Pia ukimwi haupimwi kwa macho kwa kuangalia Mwili
Virusi vinaweza patikana kwenye fluids zingine nje ya damu, unaweza pata pia. Kunyonya uchi ni very risky
 
na kule kwenye bunge lao la kisanii ndio kuna moto balaa yaani asilimia karibia 80 wanaumwa lakini huwezi kudhania wanavyojishaua na hivi wana mahela mengi ya walipa kodi akhuuuuuuuuuuu wanawaka tu na kuendelea kugonga meza. poleni sana maukimwi yapo tena sana na kwakua trump kakaza ngojeni muone mambo mwak huu watapukutika kama majani
 
Aise ni noma Mkuu kwahiyo ukinywa dawa tu mzigo unasoma namba 8?
Hata watoto wa kike wanaozaliwa na HIV wanao tumia dawa toka wadogo, ukichunguza kwa akili utagundua wanakuwa na shepu kabla hata ya kuvunja ungo yani hata wakiwa na miaka chini ya 10 wanakuwa no 8 ...unakuta katoto kana miaka 7 ila ukikatazama kamesha katika shepu no 8
 
Na hii ndio point yangu Mkuu.
Kabisa mkuu tuwe makini, hi ishu kama yako nilishaiona Temeke hospital kuna kipindi nilikuwa na mishe kule sasa nikawa nawahi sana ofisini kutokana na kukwepa foleni .
Sasa nilikuwa nafika kuwa asubuhi sana saa 12 ,so nilikuwa nikipark gari natembeatembea kwenda kununua magazeti pamoja na kupata breakfast kule sokoni .
Sasa pale hospitali kule nyuma mara nyingi nilikuwa nakuta kuna foleni 2 tofauti, nikawa interested sana na zile foleni so nikamuuliza jamaa mmoja pale .
Ndipo akanieleza ile foleni unaona kuna watu wamechokachoka kama wamelewalewa ni ya waraibu wa dawa za kulevya wanakuja kupewa dawa pale wale wanapewa na maji wanakunywa dawa hapo hapo .
ILe foleni nyingine ambayo watu wapo smart ni watu wanaochukua dawa za kufubaza virus vya Ukimwi (ARV).
Kwa kweli ile foleni ya watu wa arv kulikuwa na watu wengine wana vitambi , mabinti wazuri yaani huwezi kuwazania kama wanaishi na virus vya Ukimwi.
Halafu yule mdau akaniambia wengi unaoona wanachukua dawa za hiv hapa sio wenyeji wa hapa hawa wengi wanatoka maeneo ya mbali kuja pale temeke kwani dawa zilikuwa za kutosha na pia hawataki kuchukua karibu na makwao kwani wanaogopa uwezekano wa kuonwa na watu wanaowafahamu
 
Hata watoto wa kike wanaozaliwa na HIV wanao tumia dawa toka wadogo, ukichunguza kwa akili utagundua wanakuwa na shepu kabla hata ya kuvunja ungo yani hata wakiwa na miaka chini ya 10 wanakuwa no 8 ...unakuta katoto kana moaka 7 ila ukikatazama kamesha katika shepu no 8
Hawa wapo sana South Africa , kuna kipindi nilikwenda kule kwenye kozi flani tukawa tunasoma kozi na kabinti kazuri kana shepu na kalikuwa na harakati za kuhamasisha kuhusu HIV.
Kuna siku nikapata nafasi ya kuongea naye akanieleza story kwamba alizaliwa na huo ugonjwa , akaeleza moja wapo ya kutumia sana dawa ni kubadi maumbo ya mwili kwa kufanya ukuwe zaidi mtu anakuwa na buts kubwa ,maziwa makubwa wakati umri ni mdogo.
South Afrika kuna mabinti wengi wazuri wana virus kutokana na kuzaliwa navyo kutoka kwa mama yake .
Kutokana na huduma bora wanasurvive wanapata wenza wanazaa watoto wengine wanapata hadi wajukuu
 
Dawa imeshagunduliwa Marekani, kwahiyo ni mwendo wa kula mbususu tuu
Mbona hii story haieleweki , nimesoma articles nyingi sana ila ni kama vile dawa bado ila wanaelekea kupata.mwanga wa kutengeneza hiyo dawa , ila dawa kwa kweli bado
 
Muda mwingine tunapenda kudanganyana sana, UKIMWI siyo tu kwa waafrika, upo nchi zote duniani, ustaarabu na kufuata kanuni ndiko kunatoa utofauti.
Waafrika hawana haja ya kupunguzwa kwa sababu si washindani wa wazungu katika teknolojia au angle ya kisiasa.

Tuacheni uongo wazungu wanasaidia sana kuipa tafu ngozi nyeusi.
Kupata UKIMWI hatulazimishwi bali ni ujinga wetu wenyewe.
Kabisa kabisaa yan. Huu upumbavu sijui kwann bado umewakaa watu mpaka leo.
Ukimwi unapata kwa ujinga wako mwenyewe halaf unawalaumu wazungu, jaman, so crazy yan!!!. Bado unapewa dawa, unalaumu tena wazungu, stupid kabisa
 
Uwezo wako wa akili ni mdogo nijibu kwanini ukimwi tu ndiyo ugonjwa unaopendelewa sana dunia hadi kuweza kutoa dozi za bure kuliko magonjwa yote unajua kwanini je kwanini wasiweke dozi ya mwezi japo sh10000 unajua sababu na hekima yake ? Kama dawa za kufubaza HIV vingeuzwa hata kwa sh 10000 tu basi ukimwi ungezingatiwa sana tofauti na sasa ...usizani wazungu ni wema sana kutoa dawa bure kuna hekima zaidi ya 3 ovu ndani yake
Aliyekuambia hizo dawa zinatolewa bure nani??? Kama hujui bas, serikali za africa zinaingia gharama kuubwa sana kwaajili ya hizo madawa. Hakuna cha bure mzee. Hizo pesa za Arv unazilipia mpaka wewe ambaye hujaathirika!! Unalipa mzee usifikiri zinatolewa bure. Tunalipa wooote!!
 
Back
Top Bottom