fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,825
- 2,849
- Thread starter
- #241
Good Mkuu Very Good.Unapoanza mauhusiano kitu cha kwanza ni kwenda kupima, ila watu wanajisahau wanaanza kwa kutumia kinga. Baada ya siku 3 mnajiona kama mmeshapima. Wenye wapenzi, wenye ndoa hawataki kutulia na mtu mmoja. Sasa ina maana gani ya kuoa au kuwa na mpenzi?
Kama unakuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.
Nyinyi humu hadi mna thread yenu ya kula kimasihara, kama ni kweli mnafanya hivyo hamjipendi. Mtu anayejipenda kwanza anakuwa na kinyaa na kuchukua tahadhari zote. Ukishindwa kabisa kaa mwenyewe.