REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Tulifiwa na ndugu yetu aliyekuwa anafanya kazi Airtel,na walipokuja wafanyakazi
wenzake marehemu tukashangaa wanajiita toka kampuni ya Spanco.Je tayari ni
mwendelezo ule ule wa kubadilisha jina kila baada ya miaka mitano halafu Rais
anaenda kuzindua? Mwenye taarifa zaidi atujuze.
wenzake marehemu tukashangaa wanajiita toka kampuni ya Spanco.Je tayari ni
mwendelezo ule ule wa kubadilisha jina kila baada ya miaka mitano halafu Rais
anaenda kuzindua? Mwenye taarifa zaidi atujuze.