Airtel na imebadilisha jina tena kuwa spanco?

hawa airtell hawajiamini kabisa sijui wanakuwa wanawaza nini ? ni mara nyingi hii kampuni imebadirisha jina lake!! na inavyo onekana anayemiliki kampuni hii akawa MSHIRIKINA MKUBWA SANA na huenda ikawa wazo la mganga wake !!!

You deserve your name
 
Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel.. So airtel ni kampuni inayofanya kazi na kampuni nyingi as subcontractors... Mfano network wanafanya NSN, Logistics wanafanya SDV, customer care wanafanya Spanco, IT wanafanya infotech kama sikosei.. Na mengineyo Airtel kama airtel wamebaki kwenye management, sales etc

Nadhani ulimaanisha kwamba Customer Care Airtel wamekuwa outsourced?
 
Spanco mbona hata hapa kwetu Tigo wapo,
Ndugu yako tu alikua hataki kukiri yuko kwa wahindi yeye alitaka ujiko wa Jahazi la kioo hapo morocco!

Nina uhakika alikuwa anfanya kazi Airtel na ofisi yake ilikuwa ndani ya jengo hilo linalokubabaisha wewe la kioo
Morocco.Any way haya mkuu.
 
Tulifiwa na ndugu yetu aliyekuwa anafanya kazi Airtel,na walipokuja wafanyakazi
wenzake marehemu tukashangaa wanajiita toka kampuni ya Spanco.Je tayari ni
mwendelezo ule ule wa kubadilisha jina kila baada ya miaka mitano halafu Rais
anaenda kuzindua? Mwenye taarifa zaidi atujuze.

hiyo inaitwa outsourcing
Airtel wameoutsource customercare department kwa kampuni ya Spanco
na Tigo nao wameoutsource customercare kwa kampuni hiyohiyo ya Spanco
so airtel cc inaitwa SpancoAirtel
while tigo cc inaitwa Spanco tigo
hao Spanco ni wahindi directly from India aisee wanabana mishahara sipata kuona loo
 
Tulifiwa na ndugu yetu aliyekuwa anafanya kazi Airtel,na walipokuja wafanyakazi
wenzake marehemu tukashangaa wanajiita toka kampuni ya Spanco.Je tayari ni
mwendelezo ule ule wa kubadilisha jina kila baada ya miaka mitano halafu Rais
anaenda kuzindua? Mwenye taarifa zaidi atujuze.

hiyo inaitwa outsourcing
Airtel wameoutsource customercare department kwa kampuni ya Spanco
na Tigo nao wameoutsource customercare kwa kampuni hiyohiyo ya Spanco
so airtel cc inaitwa SpancoAirtel
while tigo cc inaitwa Spanco tigo
hao Spanco ni wahindi directly from India haya sasa nahisi wahindi unawajua japo kidogo
 
Nina uhakika alikuwa anfanya kazi Airtel na ofisi yake ilikuwa ndani ya jengo hilo linalokubabaisha wewe la kioo
Morocco.Any way haya mkuu.

upo sawa kabisa huyo aliajiriwa na Airtel kabla SPanco hawajaja na mkataba wake alisaini na Airtel
kwa maana spanco ni wapya hapa town kwa sasa wanamwaka mmoja tu na miezi 2 iliyoisha wamehama morocco wamehamia Nyerere road jengo la Quality plaza
 
well said mkuu..maelezo yako mazuri sana..ni ya kisomi aisee!!!thanks a lot...big up!
Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel.. So airtel ni kampuni inayofanya kazi na kampuni nyingi as subcontractors... Mfano network wanafanya NSN, Logistics wanafanya SDV, customer care wanafanya Spanco, IT wanafanya infotech kama sikosei.. Na mengineyo Airtel kama airtel wamebaki kwenye management, sales etc
 
Binafsi nampongeza mtoa thread kwa kuwa Observant and suspicious. waTZ wote tungekuwa hivi hata wale Twiga KIA wasingetoroshwa mchana kweupeeeeeeee!
 
Ujinga huu, kujuwa kwingi mbele kiza.kuchamba kwingi ni lazima utoke na kinyesi. sasa hapo ni kipi ulichomsahihisha wewe?

Don't Jump on the band wagon,chilax Hommie,hivi hauoni kama hizo sentensi zipo tofauti?

"Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel."

"Nadhani ulimaanisha kwamba Customer Care Airtel wamekuwa outsourced"

kijana JB WISER Customer care ndio imekuwa outsourced that means Airtel wameuza Customer care kwa spanco na sio Spanco ndio imekuwa outsourced
 
Tulifiwa na ndugu yetu aliyekuwa anafanya kazi Airtel,na walipokuja wafanyakazi
wenzake marehemu tukashangaa wanajiita toka kampuni ya Spanco.Je tayari ni
mwendelezo ule ule wa kubadilisha jina kila baada ya miaka mitano halafu Rais
anaenda kuzindua? Mwenye taarifa zaidi atujuze.
Mimi ninacho jua nikwamba kuna kampuni inayoendesha shuguli za customer care siyo wafanyakazi wa airtel
 
hiyo inaitwa outsourcing
Airtel wameoutsource customercare department kwa kampuni ya Spanco
na Tigo nao wameoutsource customercare kwa kampuni hiyohiyo ya Spanco
so airtel cc inaitwa SpancoAirtel
while tigo cc inaitwa Spanco tigo
hao Spanco ni wahindi directly from India haya sasa nahisi wahindi unawajua japo kidogo

Ebwana mi mwenyewe nilikuwa sijui hilo shukrani kwa kunitoa ushamba kwa hili.
Asie elewa basi tena.
 
Sasa hivi kampuni nyingi zinafanya outsorcing ya wafanyakazi. Mimi naona hii ni njia ya kuwanyima haki wafanyakazi kwa kutowajibika kuhusu leave, medical, retirement nk. Pia hii mbinu inasababisha mishahara kupungua na kufanya wepesi kumwachisha mtu kazi bila sababu za msingi. Sijui vyama vya wafanyakazi zinasemaje kuusu hii issue ya outsourcing.
 
Don't Jump on the band wagon,chilax Hommie,hivi hauoni kama hizo sentensi zipo tofauti?

"Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel."

"Nadhani ulimaanisha kwamba Customer Care Airtel wamekuwa outsourced"

kijana JB WISER Customer care ndio imekuwa outsourced that means Airtel wameuza Customer care kwa spanco na sio Spanco ndio imekuwa outsourced
Mkuu nafikiri this is something you are trying to dream as a very big thing which is not
"Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel."
This is a very correct sentesence kwa mujibu wa lugha, kwa mfano asingetaka kuswanglish angesema
"Spanco has been outsourced to manage Airtel's Customer Care department"
Hapa hata sijui ulikuwa unamaanisha kitu gani! Airtel owns airtel which include the customer care so they can never outsource themselves for something they own. Outsourcing means using services of another company outside your own. Sasa kwa case ya Airtel na Spanco, initially hata facilities zilikuwa zinatumika za airtel before they moved out.
Kwa mfano Makampuni mengi Marekani yameoutsource huduma zao hasa za Customer Care kwa makampuni mengine hasa ya India. Labda kwanini wanaoutsource, mostly ni ku cut down costs za operations na kama unavyojua makapuni mengi yana policies zao tofauti kwa mfano kwenye finance ambazo zinasema pia kiwango cha mishahara kitakacholipwa kwa wafanyakazi so kwa kuoutsorce hizo policy huwa haziapply kwasababu huwa wanasitisha mikataba na wafanyakazi wa kitengo kinachokuwa outsourced na wale wanaotaka kuendelea huwa wanahamia kwenye hiyo kampuni mpya.

kwa kesi ya Airtel na Spanco, i believe wafanyakazi waliokuwa wameajiriwa na airtel kwenye Customer Care Department walisitisha mikataba yao na airtel na kuingia mikataba mipya na Spanco. So pamoja na kwamba wanaonekana kufanya kazi za airtel but sio waajiriwa wa airtel.

Hope nimesaidia kidogo
 
Back
Top Bottom