Airtel na imebadilisha jina tena kuwa spanco?

Sasa hivi kampuni nyingi zinafanya outsorcing ya wafanyakazi. Mimi naona hii ni njia ya kuwanyima haki wafanyakazi kwa kutowajibika kuhusu leave, medical, retirement nk. Pia hii mbinu inasababisha mishahara kupungua na kufanya wepesi kumwachisha mtu kazi bila sababu za msingi. Sijui vyama vya wafanyakazi zinasemaje kuusu hii issue ya outsourcing.

Kaka outsourcing haiepukiki kwa dunia ya sasa as kampuni nyingi zinatumia hii technique kupunguza cost na wao wanabaki na wafanyakazi wanaodeal na major business of the company,,, na hata mashirika yetu kama tanesco ili yafanye kazi kwa ufanisi inabidi wayavunje vunje kwa ku outsource other service zifanywe na kampuni nyingine as wao wa concentrate kwenye major business.. Vitu kama IT, Logistics etc una outsource kwa kampuni zilizo specialise kwenye hizo shughuli like oracle, Ibm, kwa tanzania infotech, raha na wengineo,, as ni ngumu kuajiri wafanyakazi wote mwenyewe na kuwapa training kwenye standard inayotakiwa, so ni bora kumpa tenda mtu aliye base kwenye hizo shughuli wakati na wewe unaendelea na shughuli ulizospecialize tu,,

Mdogo wangu tembea uione dunia nazan ndo utaelewa vizuri,, siku hizi huko dunian kampuni zinaendeshwa kwa hii sytle ya ku outsource na ndo maana zinafanikiwa sana na zinakuwa, na kuanzia miaka 5 ijayo sitashangaa nikiona tanesco, nssf, tpa, etc zikianza kuvunjwa vunjwa nazo baadhi ya departments na ku outsource kwa proffessional companies walio specialize kwenye hizo shughuli like IT, LOgistics, Customer care etc wawafanyie kazi
 
Mkuu nafikiri this is something you are trying to dream as a very big thing which is not
"Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel."
This is a very correct sentesence kwa mujibu wa lugha, kwa mfano asingetaka kuswanglish angesema
"Spanco has been outsourced to manage Airtel's Customer Care department"
Hapa hata sijui ulikuwa unamaanisha kitu gani! Airtel owns airtel which include the customer care so they can never outsource themselves for something they own. Outsourcing means using services of another company outside your own. Sasa kwa case ya Airtel na Spanco, initially hata facilities zilikuwa zinatumika za airtel before they moved out.
Kwa mfano Makampuni mengi Marekani yameoutsource huduma zao hasa za Customer Care kwa makampuni mengine hasa ya India. Labda kwanini wanaoutsource, mostly ni ku cut down costs za operations na kama unavyojua makapuni mengi yana policies zao tofauti kwa mfano kwenye finance ambazo zinasema pia kiwango cha mishahara kitakacholipwa kwa wafanyakazi so kwa kuoutsorce hizo policy huwa haziapply kwasababu huwa wanasitisha mikataba na wafanyakazi wa kitengo kinachokuwa outsourced na wale wanaotaka kuendelea huwa wanahamia kwenye hiyo kampuni mpya.

kwa kesi ya Airtel na Spanco, i believe wafanyakazi waliokuwa wameajiriwa na airtel kwenye Customer Care Department walisitisha mikataba yao na airtel na kuingia mikataba mipya na Spanco. So pamoja na kwamba wanaonekana kufanya kazi za airtel but sio waajiriwa wa airtel.

Hope nimesaidia kidogo

"Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel."
"wanasitisha mikataba na wafanyakazi wa kitengo kinachokuwa outsourced"

Mbona unajicontradict? Kitengo kinachokuwa outsourced ni kipi Spanco au Customer care? Jipange Mzazi
 
Tulifiwa na ndugu yetu aliyekuwa anafanya kazi Airtel,na walipokuja wafanyakazi
wenzake marehemu tukashangaa wanajiita toka kampuni ya Spanco.Je tayari ni
mwendelezo ule ule wa kubadilisha jina kila baada ya miaka mitano halafu Rais
anaenda kuzindua? Mwenye taarifa zaidi atujuze.

Airtel siyo Spanco.Spanco hii ni kampuni ya wahindi,ofisi zake kwa sasa zipo uchumi supermarket{ndani ya quality group}.Hawa majamaa kazi yao kubwa ni kuchukua tenda ya kampuni zote za simu i.e airtel,tigo n.k...tenda zao ni kitendo cha huduma kwa wateja{customer service}.
Kwahyo kama mtu anajitambulisha kwa jina la spanco then yupo airtel,basi anakuwa hajakosea kwa sababu spanco ndiye muajili wake.
 
"Spanco wamekuwa outsourced ku manage customer care ya airtel."
"wanasitisha mikataba na wafanyakazi wa kitengo kinachokuwa outsourced"

Mbona unajicontradict? Kitengo kinachokuwa outsourced ni kipi Spanco au Customer care? Jipange Mzazi
Hapa kilichokuwa outsourced ni service ya Spanco na sio customer service
 
Kaka outsourcing haiepukiki kwa dunia ya sasa as kampuni nyingi zinatumia hii technique kupunguza cost na wao wanabaki na wafanyakazi wanaodeal na major business of the company,,, na hata mashirika yetu kama tanesco ili yafanye kazi kwa ufanisi inabidi wayavunje vunje kwa ku outsource other service zifanywe na kampuni nyingine as wao wa concentrate kwenye major business.. Vitu kama IT, Logistics etc una outsource kwa kampuni zilizo specialise kwenye hizo shughuli like oracle, Ibm, kwa tanzania infotech, raha na wengineo,, as ni ngumu kuajiri wafanyakazi wote mwenyewe na kuwapa training kwenye standard inayotakiwa, so ni bora kumpa tenda mtu aliye base kwenye hizo shughuli wakati na wewe unaendelea na shughuli ulizospecialize tu,,

Mdogo wangu tembea uione dunia nazan ndo utaelewa vizuri,, siku hizi huko dunian kampuni zinaendeshwa kwa hii sytle ya ku outsource na ndo maana zinafanikiwa sana na zinakuwa, na kuanzia miaka 5 ijayo sitashangaa nikiona tanesco, nssf, tpa, etc zikianza kuvunjwa vunjwa nazo baadhi ya departments na ku outsource kwa proffessional companies walio specialize kwenye hizo shughuli like IT, LOgistics, Customer care etc wawafanyie kazi

Nashukuru na nimepata uelewa zaidi kuusu outsourcing. Asante
 
spanco wana provide customer care service kwa airtel, likewise ilivyo Ero Link who provide Customer Care Service kwa Vodacom Tanzania, Exim Bank etc.
 
Back
Top Bottom